The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Kwahiyo mtu akiua mtu inabidi mlalamikaji awe yule ambaye amesha uawa?Mlalamikaji ni lazima awe paka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mtu akiua mtu inabidi mlalamikaji awe yule ambaye amesha uawa?Mlalamikaji ni lazima awe paka
Sasa mkuu unashangaa paka anapigwa kiberiti binadamu wangapi wanachomwa Moto wakiwa hai huku wakiomba msaada ndio kwanza wanaongeza tairi kuukoleza Moto... binadamu tunapande mbili roho ya utu na roho ya shetani ole wako ukutane na roho ya shetani utajuta kuja duniani. utaona bora baba ako angepiga punyeto akumwage chooniNimefuga kuku sana wa kienyeji mbegu za hapa hapa nchini, mbegu ya malawi (wale weusi tiiii) na mbegu ya Kuroiler. Kwa kweli inauma sana pale kuku anapokufa mda mwingine unakosa hadi raha. Kuna kuku kishingo kila nikiingia kwenye malazi ya kuku huwa alikuwa ananifata nyuma nyuma nikstokea kumpenda sana yule kuku. Siku mojan nimedamka mapema kwenda kulisha kuku nikakuta kuku wangu kishingo kadanja nilikosa raha siku nzima. Baba yangu mdogo mfugaji nae alikuja nisabahi home ile kunikuta na simanzi akanitusi acha ufala wewe akisema “mimi nafuga ngombe na mbuzi na wanakufa, wewe kafa kuku unatia huruma, angekufa ngombe wa million 3 si ungekufa??” hahah
Nimeandika haya nikimfikiria huyu mchaga ana roho ya namna gani kuchoma paka moto. Mie kama kuna paka anakula mifugo ningemuwekea sumu kwenye samaki. Lakini huyu jamaa ana roho ya namna gani. Mimi ni mchaga wa mkuu Rombo lakini aisee kuna wachaga wana roho ngumu sana. Nawataadharisha wale wenye wenza wa kichaga chungeni sana kuweni makini mnooo...
View attachment 2004793
Huyo mshenzi ataandamwa na mikosi na mabalaa maisha yake yote, na wote ambao mmeshaua Paka msijishangae mambo yenu hayaendi sawa ni kile kivuli cha Paka ulichokiua kinakuwinda,
Binaadam hua tunafikiri hii Dunia ni yetu peke yetu, tunasahau kuna viumbe wengine tunachangia nao, tuache ubinafsi, tuache ukatili, Dunia ni mahala salama kama tukipaweka salama.
Ni utaahira, amemsababishia mateso makali sana
Sasa mkuu unashangaa paka anapigwa kiberiti binadamu wangapi wanachomwa Moto wakiwa hai huku wakiomba msaada ndio kwanza wanaongeza tairi kuukoleza Moto... binadamu tunapande mbili roho ya utu na roho ya shetani ole wako ukutane na roho ya shetani utajuta kuja duniani. utaona bora baba ako angepiga punyeto akumwage chooni
Mijusi huwa wanauwawa na watoto wa ile dini ya kupata sawabu tena wanawaita kafili sijui kakosea nini kiumbe asiye na madhara kwa binaadamu yeye anapiga zake pushapu kwenye mawe na akimuona mtu analala mbeleSasa unakuja utotoni mwako ulikua unaua ovyo mijusi. Unashika mjusi, unamkatakata nawembeeeee
Kwann usiwe na roho katili ukubwan?
Kipo chama Cha kutetea haki za wanyama kinaitwa TSPCASimtetei huyu mchaga kweli kafanya kitendo cha kikatili
Je wanao ua ng'ombe na mbuzi nao pia sio makatili?
Wale wanaokula nyama yetu pendwa ya kitimoto, wanamuua vibaya mno hakuna mnyama anauliwa mbaya kama kitimoto nao sio wakatili?
Tena hata wewe ushawahi ua mbu ambae haelewi chochote na anafata instincts zake
Kumpiga shaba hapo sishauri. Kwa wenzetu kuna haki za wanyama. Tanzania sijajua zimekaaje, ila tunatakiwa sana kuboresha haki za wanyama. Ukigonga mnyama wa mbugani unashtakiwa, ila matukio ya kikatili yanaendelea sana huku duniani. Ndo mana nashauri binadamu tuwe VEGANS, kama mimi naheshimu pia haki za wanyama...
Ulikoseaaa!!! Ungevaa helmet ya pikipiki ndio uanze vita, paka akishakuwa shume mzee havumiliki watu wanaongea tuu ila hawajawahi kukutana na paka shume. Anafanya makusudi na anajua kabisa ni kosaWako very displined wakiwa wadogo mpk umri wa kati,yule alianza tabia za ajabu alivyoanza kuzurura na mipaka ya mtaani.
Ila mwanzo alikua poa sana na nimekaa nae muda tu.
Yes nilifungua mlango atoke,,maana alipoona nampiga akawa anaruka na makucha yake ananata ukutani nikimrushia gongo pale anaruka kuniatack usoni.
Namkwepa
Nikaona tutauana humu
Nikafungua mlango.
Wale wadudu ni km chui ndugu akigeuka zile kucha zake ni ndefu sana.
Anakudhuru vizuri tu.
Ilitakiwa uvae kama mwana apolo ndio umtembezee kisagoWako very displined wakiwa wadogo mpk umri wa kati,yule alianza tabia za ajabu alivyoanza kuzurura na mipaka ya mtaani.
Ila mwanzo alikua poa sana na nimekaa nae muda tu.
Yes nilifungua mlango atoke,,maana alipoona nampiga akawa anaruka na makucha yake ananata ukutani nikimrushia gongo pale anaruka kuniatack usoni.
Namkwepa
Nikaona tutauana humu
Nikafungua mlango.
Wale wadudu ni km chui ndugu akigeuka zile kucha zake ni ndefu sana.
Anakudhuru vizuri tu.
Sikubaliani na ukatili jamaa alioufanya. Ila nashindwa kuelewa uhusiano wa tukio hilo na kabila. Its a waste. Na zaidi ukajikita kwenye ndoa. Inashangaza sana.
Wesukwa msasha? Ama uvekundi iandika tiki?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Adhuali lo uambe kwamba dweva ku? Loholo ni savasava msasha? Halaf utakolye ni vafidi akwa kbs. Wefumia kwa ma ivi? Utane iamba vandu uviishwa adi ku. Yaan sooso duipambana na vandu veiduamba uviishwa na vahave se? Ure vana va kaa fo? Ure vavao fo? Tra aiseeFo machame kure vandu vere roho nvishwa
Valeduwaa varombo vesa ndiafo
Kwa kweli tukio la kikatili sana. Hata mahakama inaruhusu kunyonga ila sio kwa maumivu hivi
Ata kawari ngenywa ku, labda ngiveloswaaa kwayaaa kuhewa paaa
Said Abinallah a.k.a JombiYaani Ni sawa na ww kumuwinda jambazi Jombi wa Mbeya,unaweza ishia kuliwa mate tu na jombi.
MburaaAdhuali lo uambe kwamba dweva ku? Loholo ni savasava msasha? Halaf utakolye ni vafidi akwa kbs. Wefumia kwa ma ivi? Utane iamba vandu uviishwa adi ku. Yaan sooso duipambana na vandu veiduamba uviishwa na vahave se? Ure vana va kaa fo? Ure vavao fo? Tra aisee
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
NadjaAdhuali lo uambe kwamba dweva ku? Loholo ni savasava msasha? Halaf utakolye ni vafidi akwa kbs. Wefumia kwa ma ivi? Utane iamba vandu uviishwa adi ku. Yaan sooso duipambana na vandu veiduamba uviishwa na vahave se? Ure vana va kaa fo? Ure vavao fo? Tra aisee
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Wachagga ni watu katili kuanzia wanawake adi wanaume ukijiuliza kwanini idadi kubwa ya wachinjji ni kutoka uko utaelewa na wengine wanaongoza kwa kuua waume zao...Nimefuga kuku sana wa kienyeji mbegu za hapa hapa nchini, mbegu ya malawi (wale weusi tiiii) na mbegu ya Kuroiler. Kwa kweli inauma sana pale kuku anapokufa mda mwingine unakosa hadi raha. Kuna kuku kishingo kila nikiingia kwenye malazi ya kuku huwa alikuwa ananifata nyuma nyuma nikstokea kumpenda sana yule kuku. Siku mojan nimedamka mapema kwenda kulisha kuku nikakuta kuku wangu kishingo kadanja nilikosa raha siku nzima. Baba yangu mdogo mfugaji nae alikuja nisabahi home ile kunikuta na simanzi akanitusi acha ufala wewe akisema “mimi nafuga ngombe na mbuzi na wanakufa, wewe kafa kuku unatia huruma, angekufa ngombe wa million 3 si ungekufa??” hahah
Nimeandika haya nikimfikiria huyu mchaga ana roho ya namna gani kuchoma paka moto. Mie kama kuna paka anakula mifugo ningemuwekea sumu kwenye samaki. Lakini huyu jamaa ana roho ya namna gani. Mimi ni mchaga wa mkuu Rombo lakini aisee kuna wachaga wana roho ngumu sana. Nawataadharisha wale wenye wenza wa kichaga chungeni sana kuweni makini mnooo...
View attachment 2004793