Kwasababu hamjawahi kuwa na touch na mfugo mnaofuga ni rahisi sana kumlaumu mangi. Angalia hapo pembeni kuna kuku wake hana kifaranga hata kimoja halafu paka mwenyewe ki muonekano tu ni yale mapaka pori yasiyo na mwenyewe.
Paka anaedokoa mboga anavumilika maana ni njaa lakini paka anaegeuza banda lako la vifaranga ndio sehemu yake ya mwindo huyo hafai.
Ukute Manginkajaribu mbinu zote, kaimarisha banda lake, kamtega kwa sumu zote zimefeli mwisho kamnasa kwa mtego afanyeje? Njia rahisi ya kumuua ilikua ni hiyo ya kumpelekea moto tu au nyinyi mnadhani ndani ya hiyo cage angemuuaje?
Sent from my Infinix X624 using
JamiiForums mobile app