Kuna watu makatili kweli kweli, achoma paka moto akiwa hai

Kuna watu makatili kweli kweli, achoma paka moto akiwa hai

Nilivyosoma juu juu mwanzo nikajua ulimpa kipigo paka mpaka akafungua mlango
Kumbe wewe ndo ulifungua mlango
Inasadikika paka ndio mnyama msafi na mstaarabu sana. Ukimfuga na kumfundisha vyema anafugika kuliko wanyama wengine wote. Mwanyama huko nje wanakuwa trained. Hata ukitupa chakula chini haokoti, na wala hawanyi hovyo hovyo.
Wako very displined wakiwa wadogo mpk umri wa kati,yule alianza tabia za ajabu alivyoanza kuzurura na mipaka ya mtaani.
Ila mwanzo alikua poa sana na nimekaa nae muda tu.
Yes nilifungua mlango atoke,,maana alipoona nampiga akawa anaruka na makucha yake ananata ukutani nikimrushia gongo pale anaruka kuniatack usoni.
Namkwepa
Nikaona tutauana humu
Nikafungua mlango.
Wale wadudu ni km chui ndugu akigeuka zile kucha zake ni ndefu sana.
Anakudhuru vizuri tu.
 
Ukimpa paka pilau akala ananyonyoka manyoa yote
Akiingia kwenye shimo anashindwa kutoka
Ila atakaa mpaka akonde na atatoka hata kama week mbili
Paka kweli ana roho ngumu, ila roho ya paka kuwa saba, sijui hilo
Hapo kwny mziki wa moto aprove kua na roho ngapi Mkuu?
 
Wako very displined wakiwa wadogo mpk umri wa kati,yule alianza tabia za ajabu alivyoanza kuzurura na mipaka ya mtaani.
Ila mwanzo alikua poa sana na nimekaa nae muda tu.
Yes nilifungua mlango atoke,,maana alipoona nampiga akawa anaruka na makucha yake ananata ukutani nikimrushia gongo pale anaruka kuniatack usoni.
Namkwepa
Nikaona tutauana humu
Nikafungua mlango.
Wale wadudu ni km chui ndugu akigeuka zile kucha zake ni ndefu sana.
Anakudhuru vizuri tu.
Nilishaona kinondoni mtaa wa togo karibu na transformer la TANESCO
Kuna paka shule alikuwa anakula nyama mpaka iliyoinjikwa kwenye jiko
Yani inaweza kuwa inachemka jikoni na anapita nayo
Majamaa wakaja na mbwa watatu wakamlia timing
Wale mbwa walipigana na wawili wakafa pale pale
Yule mwenye mbwa wake akakimbia nae na watu wakampiga mawe yule paka
Yani mpaka saa kumi na mbili jioni hawezi hata tembea lakin alikuw anapumua

Kilichonishangaza yule paka alivimba akawa mkubwa kama unavyosema chui
Watu walimpiga mawe lakin tumbo zilikuwa zinapanda na kushuka (bado anapumua)
Paka ana roho nyingi sana
 
Nilishaona kinondoni mtaa wa togo karibu na transformer la TANESCO
Kuna paka shule alikuwa anakula nyama mpaka iliyoinjikwa kwenye jiko
Yani inaweza kuwa inachemka jikoni na anapita nayo
Majamaa wakaja na mbwa watatu wakamlia timing
Wale mbwa walipigana na wawili wakafa pale pale
Yule mwenye mbwa wake akakimbia nae na watu wakampiga mawe yule paka
Yani mpaka saa kumi na mbili jioni hawezi hata tembea lakin alikuw anapumua

Kilichonishangaza yule paka alivimba akawa mkubwa kama unavyosema chui
Watu walimpiga mawe lakin tumbo zilikuwa zinapanda na kushuka (bado anapumua)
Paka ana roho nyingi sana
Paka ni km binadamu mkuu wana roho ngumu sana na kila kitu wanajua.
X wangu alikua na paka wawili mama na mwanae wa kiume.
Ajabu nikiwepo pale mama yuko benet mda wote ataniganda hana vurugu.
Huyu mtoto sasa na lilikua limevimba kweli paka paka haswa.
Naingia nikale mbususu litafungua mlango linajilaza katikati.
Kumtoa hapo mtakesha.
Nikana isiwe tabu nikajikata.
 
Nilivyosoma juu juu mwanzo nikajua ulimpa kipigo paka mpaka akafungua mlango
Kumbe wewe ndo ulifungua mlango
Inasadikika paka ndio mnyama msafi na mstaarabu sana. Ukimfuga na kumfundisha vyema anafugika kuliko wanyama wengine wote. Mwanyama huko nje wanakuwa trained. Hata ukitupa chakula chini haokoti, na wala hawanyi hovyo hovyo
paka ni kati ya wanyama jeuri sana asee.. anaweza akafanya kitu, anajua kabisa sio sahihi kukifanya, huku anakuangalia usoni kama kusema: "yeah, nasukuma glasi ianguke ivunjike na huna la kunifanya." mbwa ndo kidogo unaweza kum-train akaeleweka, ila paka! hapana.
 
Back
Top Bottom