Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,316
Tuliochangia huu uzi wote ni bure kabisa
Afadhali mimi sijachangia chochote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliochangia huu uzi wote ni bure kabisa
Bure kabisaAfadhali mimi sijachangia chochote
Mh account hackedWewe ni mwanachama wa ccm, wewe ni bure kabisa.
Mwanangu ujobless ulinifanya nikawa sihudhurii sherehe za ndugu maana wa mwsho kula tulikuwa majobless nimepiga sana koko enz za ujoblesMa jobless pro max Bolotoba, na makutupora aisee bora u jobless kuliko kugombania ukoko🤣😂
Amini hvy mkuuMh account hacked
Sasa nifanyaje mkuu🤭
🤣🤣Eeeeeh na mate anarushaaaa! Punguaniiiii mkubwa bure kabisaaaaa!
Hayo yote yanawezekana kutokana na aina yakichwa chako kama bufa utafosi lakini kam ni memoryQ huwezi fosiKuna Watu Ni Bure Kabisa! 😀😀
View attachment 3217001
1. Unapewa lift unamwambia mwenye gari apunguze sauti ya redio na wakati kuna ngoma yake anasikiliza! Wewe ni bure kabisa😀!
2. Unaingia kwenye ofisi ya mtu, simu inaita unapokea na kuanza kuongea tena kwa sauti ya juu, wanakukata jicho huelewi maana! Wewe ni bure kabisa😀!
3. Unakwenda kwa watu unalazimisha ulale pale na wakati wenzako sebule ndiyo chumba, usiku wanatandika vya kulalia, unawasababishia kero. Wewe ni bure kabisa!
4. Unamuomba mtu hela, amekwambia siko vizuri, lakini unaendelea kulazimisha akupe utadhani ulimuwekeza. Wewe ni bure kabisa😀!
5. Unaenda sehemu, unakuta watu wana mazungumzo yao, unakaa na kuanza kuongea mambo yako bila kujua ajenda yao. Wewe ni bure kabisa😀!
6. Unaazima gari la watu lina mafuta, unatumia unarudisha taa inawaka, unashindwa kuongeza. Wewe ni bure kabisa😀!
7. Unamkuta mtu yupo bize na laptop anafanya kazi halafu unaanza kumuongelesha. Wewe ni bure kabisa😀!
8. Unataka kumpigia mtu simu wakati wa kazi ili tu mpige stori za hapa na pale, akisema ntakucheki unasema anaring. Wewe ni bure kabisa😀!
9. Unawahi nyumbani unakuta familia inaangalia vipindi vyao kwenye TV unaondoa channel yao unaweka mpira. Wewe ni Bure kabisa!
10. Unapiga simu ya kwanza haipokelewi, simu ya pili haipokelewi, unapiga mpaka mara 20 haipokelewi. Wewe ni bure kabisa😀!
11. Unakuta missed calls kwenye simu yako, huwatafuti waliokupigia na meseji zao hujibu. Wewe ni bure kabisa😀!
12. Chakula kimekuja, bakuli lina minofu mitano ya kuku na mko watano lakini wewe unapakua minofu miwili. Wewe ni bure kabisa😀!
13. Unaamka asubuhi na kuzunguka kwa majirani zako na mswaki mdomoni! Wewe ni bure kabisa!
14. Kila unayekutana naye unaanza kumpa stori za mpira ukidhani kila mtu ni shabiki wa mpira.
Wewe ni bure kabisa!
15. Unataka watu wote wakubaliane na mawazo yako, wakikupinga unazila
UNASUSA..
. Wewe ni bure kabisa😀!
*
😂😂😂😂
Kua na makasiriko wewe ni Bure kabisa😂😂😂Point to note: "Wewe ni bure kabisa!"
😂😂😂 Si ndo mida ya kulisha wafu iyoooAlafu we mbona nyuzi zako huwa ni saa tano saa sita, mida yako ya kuruka eeeh ba ungo kama lilivyo jina lako
Wewe ndio Bure kabisa 😂😂😂
😂😂 Kazi kuongelea tabia za watu, wewe ni Bure kabisaKuna Watu Ni Bure Kabisa! 😀😀
View attachment 3217001
1. Unapewa lift unamwambia mwenye gari apunguze sauti ya redio na wakati kuna ngoma yake anasikiliza! Wewe ni bure kabisa😀!
2. Unaingia kwenye ofisi ya mtu, simu inaita unapokea na kuanza kuongea tena kwa sauti ya juu, wanakukata jicho huelewi maana! Wewe ni bure kabisa😀!
3. Unakwenda kwa watu unalazimisha ulale pale na wakati wenzako sebule ndiyo chumba, usiku wanatandika vya kulalia, unawasababishia kero. Wewe ni bure kabisa!
4. Unamuomba mtu hela, amekwambia siko vizuri, lakini unaendelea kulazimisha akupe utadhani ulimuwekeza. Wewe ni bure kabisa😀!
5. Unaenda sehemu, unakuta watu wana mazungumzo yao, unakaa na kuanza kuongea mambo yako bila kujua ajenda yao. Wewe ni bure kabisa😀!
6. Unaazima gari la watu lina mafuta, unatumia unarudisha taa inawaka, unashindwa kuongeza. Wewe ni bure kabisa😀!
7. Unamkuta mtu yupo bize na laptop anafanya kazi halafu unaanza kumuongelesha. Wewe ni bure kabisa😀!
8. Unataka kumpigia mtu simu wakati wa kazi ili tu mpige stori za hapa na pale, akisema ntakucheki unasema anaring. Wewe ni bure kabisa😀!
9. Unawahi nyumbani unakuta familia inaangalia vipindi vyao kwenye TV unaondoa channel yao unaweka mpira. Wewe ni Bure kabisa!
10. Unapiga simu ya kwanza haipokelewi, simu ya pili haipokelewi, unapiga mpaka mara 20 haipokelewi. Wewe ni bure kabisa😀!
11. Unakuta missed calls kwenye simu yako, huwatafuti waliokupigia na meseji zao hujibu. Wewe ni bure kabisa😀!
12. Chakula kimekuja, bakuli lina minofu mitano ya kuku na mko watano lakini wewe unapakua minofu miwili. Wewe ni bure kabisa😀!
13. Unaamka asubuhi na kuzunguka kwa majirani zako na mswaki mdomoni! Wewe ni bure kabisa!
14. Kila unayekutana naye unaanza kumpa stori za mpira ukidhani kila mtu ni shabiki wa mpira.
Wewe ni bure kabisa!
15. Unataka watu wote wakubaliane na mawazo yako, wakikupinga unazila
UNASUSA..
. Wewe ni bure kabisa😀!
*