Kuna Watu ni wabinafsi, ila Mchepuko wangu kazidi. Nimemnyoosha

Ok,if that's the case....Ila mama J ataishi sana kwako[emoji2]
Huyu mamaJ bado Niko nae Sana,
Sema ananipasua sana Kichwa, nikipata alietulia nampiga chini
 
Imagine huyo ndio angekuwa mke umeweka ndani, mkuu tushukuru kupata wake wanyenyekevu na wenye busara, kuna wanawake ni pasua kichwa balaa.
 
Samahani ndugu mtoa post kama utakwazika na maoni yangu lakini baada ya kupitia stori yako na stori zako za nyuma kuhusu huyu mchepuko wako.....nathibitisha kuwa wewe ni mwanaume dhaifu.......na unapaswa kuitazama hili kwa makini kabla ya anguko lako......... niwie radhi ndugu mtoa post.......
 
Pipa na mfuniko wake mmekutana
 
Duuh! Pole sana! Anafanana na demu wangu kabisa. Hela yangu ndiyo ya kufanyia yake na yake pia ni ya kufanyia yake
 
Alisema ni ufundi wa kitandani aliyonao mamajay hii ndio main
Kwa mwanaume asiyeweza vumilia drama hata uwe fundi vipi unamaliza mizungu yote ukimletea huo upasua kichwa atakuacha.

Yaani Kama hizo drama alizofanya bar ingekuwa yule mwamba wangu mbona ningepandishwa vilima vya upareni kwa miguu nikatubu kwa ancestors.
 
Siriaz

Kama hamna tatizo na mkeo
Sioni sababu ya kuchepuka
 
Mi hapo ndo nashangaa.
Hivi shoga ako aje agawe nyama kwa sahani
Huu si ni zaidi ya ujinga..
Watu wanaishije jamani
 
Kiukweli uyo j wako,anaendekeza ushoga Sana jaman,khaaa na ni Swahili hasaaa...mana sio kwa mashoga hao wanaokuja na kuchukua bia mezani ,adi nyamachoma...hao sio mashoga jamani....mashangingi haswaaa
 
Hata alivyofikia hatua hiyo ni kwasababu ya uvumilivu wake lakini kwa upande wangu huyo demu ningembwaga mapema Sana binafsi sipendagi Wanawake waswahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…