Ni Mwanamke wa Kusadikika, uliyemuumba siku nyingi . Ambaye anakuwa na muendelezo kwenye story.
Anyway. Hujajibu hoja zangu hata moja.
Hoja zako zishajibiwa Sana kwny comment za nyuma za wenzio, ngoja nirudie kwa faida yako
1. Hoja ya haiwezekani aende chooni mara mbili kwa savanna moja.
-huyu alishaanza kunywa tangu nilivomkuta nyumbani kwake.
2. Haiwezekani kuagiza amarula 4 kwa wkt mmoja,
-Usichokijua Amarula ndogo zina ujazo wa 200mls kwa alcohol ya 17%
Sasa Ni mnywaji gani Atashindwa kumaliza vichupa vinne tu vya amarula vyenye alcohol ya 17%?
MamaJ hajaanza kuzinywa leo, hata sita anamalizia Bila wasiwasi. Cha muhimu nyama ziwepo.
3. Unaenda kwa mwanamke unaoga TU na kuacha Kodi ya meza.
KINACHOKUSHANGAZA NINI HAPO?
-kwani mkuu kumuachia posho ya meza mwanamke ni lazima TU iwe siku ninayomlala?
-kwani kila siku nikionana nae Ni Lazima tufanye mapenzi?
-kuna siku naenda nashinda nmechoka tunapigwa story naondoka zangu, sio kila siku lazima nimlale na nimlipe. Hajiuzi yule.
4. Mama Jay huyu huyu ambae sikumbuk Kama nyuma alikuwa anakazi.
Maana kutwa nzima Ni kulewa na shosti ake. Mara kulipiwa Kodi. Mara anakataa elfu 5 ya chakula. Leo hii eti amekuwa supervisor anapewa aka process cheque ya mill 2 na anaenda nayo nyumban bila kuwatumia wenzake.
-Hii hoja Haina mashiko Maana kuhusu alivyopata kazi na kila kitu chake vimo humu kwenye nyuzi zangu za nyuma.
Kama Unaweza pekua ujisomee.
-kwani kifupi mamaJ ameajiliwa kwenye petrol station, Ni MDA mrefu Sana na tangu anaajiliwa nilishaandika Sana humu Hadi maswala kibao ya changamoto zae Hadi uko kazin kwao.
-kama Unaweza pekua ukajisomee
Kama Kuna hoja sijaijibu nikumbushe....