Kuna Watu ni wabinafsi, ila Mchepuko wangu kazidi. Nimemnyoosha

Niko kwenye hii sekta ya mafuta kaka.
Najua.
Nimefanya kazi kwenye mawasiliano miaka 6 na kwenye mafuta miaka 3.
Huku hunidanganyi kirahisi.
 
Hongera snaa kwa kujinasua chief[emoji2]
 
Niko kwenye hii sekta ya mafuta kaka.
Najua.
Nimefanya kazi kwenye mawasiliano miaka 6 na kwenye mafuta miaka 3.
Huku hunidanganyi kirahisi.
Unaandika kiushabiki na kuuliza swali la namna Hii, hata Mimi nisiemsomi nisingeuliza swali hilo
 
Daa! Nimeshindwa kusoma hadi mwisho. Inaonekana hadithi hii ni ndefu sana!
 
Ni mbinafsi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hao mashoga sasa hata aibu hawana
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Sema hauna hasira wewe..
Tunaenda kijeshi TU,
Ukiwa na hasira Sana kwa jins anavopasua Kichwa Unaweza kujinyonga au kumdhuru
 
Watu mna hela jamani unatumia 250k bar kwa masaa machache tena kwa bili za watu wengine. Usawa huu huu ambae kina sie hata hela ya kula ni ya shida dah
 
Watu mna hela jamani unatumia 250k bar kwa masaa machache tena kwa bili za watu wengine. Usawa huu huu ambae kina sie hata hela ya kula ni ya shida dah
Mkuu,
Tatizo ni wale mashangingi wa mpenz wangu, bajeti yetu ilikua laki TU
 
UMALAYA
Kadiri mwanaume unavyozidi kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ndivyo akili yako, muda wako, fedha zako, nguvu zako zinavyozidi kushuka thamani.. pole sana brother huo muda uliopoteza kwa huyo mwanamke na vurugu zote ulizoandika hapo ...ungeutumia kubuni mradi mmoja wa biashara au uwekezaji usaidie vijana waliokosa ajira Tanzania. Mtu akianza kiburi kinachofuata ni anguko..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…