Kuna Watu ni wabinafsi, ila Mchepuko wangu kazidi. Nimemnyoosha

Kuna Watu ni wabinafsi, ila Mchepuko wangu kazidi. Nimemnyoosha

Kitu nimeelewa bro hauna hasira kabisa

Kuna reply za kukudis lakin unazijibu ki ustarabu kabisa

Alafu izo barua za mama j unazijibu kimkato sana bro[emoji23]
 
Stori ndefuuuu kumbe una mke na mtt ndani hzo gharama zifanye kwa familia yko mungu atakubarik zaidi
 
Huyu mwamba hamstahili mkewe, kifupi mke aliingia chaka! Ila sisi ni nani kuanza kutoa hukumu.
Kaka najiskia vibaya Sana ,sijui kwa Nini!nawaza mke anamuombea mumewe arudi salama kumbe Yuko kwa mama Jay anakula tunda,mke anakomaa na watoto usiku mwingi anarudi nyumbani anajua Yuko kazini kumbe Yuko kwa mama Jay

Ndo Yale Kuna dada siku anajua mmewe anachepuka alikua anamuombea akipenda kazini asirudi lirudi jina tu!!!apate ajali afe

I'm sorry deepond Ila staki kua mnaafiki kwa hili Kaka unakosea Sanaa ,na unamkosea mkeo mnoo!
Hayo mapenzi yataisha na ipo siku yako ya majutoo inakuja!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kaka najiskia vibaya Sana ,sijui kwa Nini!nawaza mke anamuombea mumewe arudi salama kumbe Yuko kwa mama Jay anakula tunda,mke anakomaa na watoto usiku mwingi anarudi nyumbani anajua Yuko kazini kumbe Yuko kwa mama Jay

Ndo Yale Kuna dada siku anajua mmewe anachepuka alikua anamuombea akipenda kazini asirudi lirudi jina tu!!!apate ajali afe

I'm sorry deepond Ila staki kua mnaafiki kwa hili Kaka unakosea Sanaa ,na unamkosea mkeo mnoo!
Hayo mapenzi yataisha na ipo siku yako ya majutoo inakuja!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huwa nikisoma mada zake namshangaa kwa ujasiri alio nao na sidhani kama ni kweli .
 
Kaka najiskia vibaya Sana ,sijui kwa Nini!nawaza mke anamuombea mumewe arudi salama kumbe Yuko kwa mama Jay anakula tunda,mke anakomaa na watoto usiku mwingi anarudi nyumbani anajua Yuko kazini kumbe Yuko kwa mama Jay

Ndo Yale Kuna dada siku anajua mmewe anachepuka alikua anamuombea akipenda kazini asirudi lirudi jina tu!!!apate ajali afe

I'm sorry deepond Ila staki kua mnaafiki kwa hili Kaka unakosea Sanaa ,na unamkosea mkeo mnoo!
Hayo mapenzi yataisha na ipo siku yako ya majutoo inakuja!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyu kafungwa sema hajijui tu! Ngoja apambane na hali yake.
 
Daaah Kumbe Wengine Tuna Wake Wema Aiseeee.

Huyo Manzi Kwa Style Hiyo Asitegemee Kuna Mwanaume Atakuja Kuoa Kichwa Hicho.
 
Halafu ukimuuliza kwa makini atakwambia anampenda zaidi mke wake,ndio tutajua hatujui!
Hampendi Ila amemzoea tu na anajua mkewe sio mfukunyuku Lau angekua anampenda ht 0.002%asingekuwa anafanya anayoyafanya maana alitaka mpk amjengee mchepuko akae!!SEMA ndo akamvuruga tu!
Yaani muda mwingi ni kwa hawara!!kwa mkewe kurudi saa nne mpk tano au saa nane usiku,huzuni sana!
Huyo mke nae Hana ht machale

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huyu kafungwa sema hajijui tu! Ngoja apambane na hali yake.
Sahihi kabisa karogwa afu karogwa Tena,maana kwa stress anazompa angemuacha!Ila limbwata limekolea sema majay Ana huruma Sana,hajataja kipengele Cha kutelekeza familia kwa mganga[emoji16][emoji16]hapo deepond anajiona ni nguvu zake na akili yake, kumbe mwenziwe amemuachia kusudi tuu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom