ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Michepuko mingi ndivyo ilivyo, haijali unatumia kiasi gani, wao wanataka wapewe tu. Japo huyo mama J ana mengi ya kujifunza katika maisha.Hilo li mama j halijitambui,,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Michepuko mingi ndivyo ilivyo, haijali unatumia kiasi gani, wao wanataka wapewe tu. Japo huyo mama J ana mengi ya kujifunza katika maisha.Hilo li mama j halijitambui,,,
Namuonea huruma mkeo!hainjoi na wewe mda mwingi kwa mama Jay!why lakiniMamaJ Ni Pasua Kichwa mno dada angu, Ila Sema Hapo kwenye kum-replace Ndo kipengele. Yule mwngine basi TU nyege za ghafla zinantesa mno, ila kiukweli hata nusu ya mamaJ hamfikii
Yaani nawaza mda upi anaspend na mkewe?siuoni.. ujue!wanaume hawa!!Ok,if that's the case....Ila mama J ataishi sana kwako[emoji2]
Huyu mwamba hamstahili mkewe, kifupi mke aliingia chaka! Ila sisi ni nani kuanza kutoa hukumu.Namuonea huruma mkeo!hainjoi na wewe mda mwingi kwa mama Jay!why lakini
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kaka najiskia vibaya Sana ,sijui kwa Nini!nawaza mke anamuombea mumewe arudi salama kumbe Yuko kwa mama Jay anakula tunda,mke anakomaa na watoto usiku mwingi anarudi nyumbani anajua Yuko kazini kumbe Yuko kwa mama JayHuyu mwamba hamstahili mkewe, kifupi mke aliingia chaka! Ila sisi ni nani kuanza kutoa hukumu.
Huwa nikisoma mada zake namshangaa kwa ujasiri alio nao na sidhani kama ni kweli .Kaka najiskia vibaya Sana ,sijui kwa Nini!nawaza mke anamuombea mumewe arudi salama kumbe Yuko kwa mama Jay anakula tunda,mke anakomaa na watoto usiku mwingi anarudi nyumbani anajua Yuko kazini kumbe Yuko kwa mama Jay
Ndo Yale Kuna dada siku anajua mmewe anachepuka alikua anamuombea akipenda kazini asirudi lirudi jina tu!!!apate ajali afe
I'm sorry deepond Ila staki kua mnaafiki kwa hili Kaka unakosea Sanaa ,na unamkosea mkeo mnoo!
Hayo mapenzi yataisha na ipo siku yako ya majutoo inakuja!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyu kafungwa sema hajijui tu! Ngoja apambane na hali yake.Kaka najiskia vibaya Sana ,sijui kwa Nini!nawaza mke anamuombea mumewe arudi salama kumbe Yuko kwa mama Jay anakula tunda,mke anakomaa na watoto usiku mwingi anarudi nyumbani anajua Yuko kazini kumbe Yuko kwa mama Jay
Ndo Yale Kuna dada siku anajua mmewe anachepuka alikua anamuombea akipenda kazini asirudi lirudi jina tu!!!apate ajali afe
I'm sorry deepond Ila staki kua mnaafiki kwa hili Kaka unakosea Sanaa ,na unamkosea mkeo mnoo!
Hayo mapenzi yataisha na ipo siku yako ya majutoo inakuja!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Halafu ukimuuliza kwa makini atakwambia anampenda zaidi mke wake,ndio tutajua hatujui!Yaani nawaza mda upi anaspend na mkewe?siuoni.. ujue!wanaume hawa!!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahahahahahaha Na Utaendelea Kuwa Nazo maana Unahisi Yeye ndio ana Matatizo kumbe Wewe ndio Una Matatizo kichwani.Nimekushindwa tabia mtu kama wewe nimeachana naye mwezi uliopita sitaki stress kabisa
Itakuwa maana Mke Gani Mwanaume Anazurula Mpaka Sa 7 usiku Hata Hashtukimkeo anahasara kubwa....
kutwa kucha kuzurura na mchepuko, ina mana taarifa hapati????
au ndo yule tunaishi ili tulee watoto tu.
Hampendi Ila amemzoea tu na anajua mkewe sio mfukunyuku Lau angekua anampenda ht 0.002%asingekuwa anafanya anayoyafanya maana alitaka mpk amjengee mchepuko akae!!SEMA ndo akamvuruga tu!Halafu ukimuuliza kwa makini atakwambia anampenda zaidi mke wake,ndio tutajua hatujui!
Sahihi kabisa karogwa afu karogwa Tena,maana kwa stress anazompa angemuacha!Ila limbwata limekolea sema majay Ana huruma Sana,hajataja kipengele Cha kutelekeza familia kwa mganga[emoji16][emoji16]hapo deepond anajiona ni nguvu zake na akili yake, kumbe mwenziwe amemuachia kusudi tuuHuyu kafungwa sema hajijui tu! Ngoja apambane na hali yake.