Kuna Watu ni wabinafsi, ila Mchepuko wangu kazidi. Nimemnyoosha

Kuna Watu ni wabinafsi, ila Mchepuko wangu kazidi. Nimemnyoosha

Mkuu,
Wengi wetu hatuwastahili wake zetu kwa tabia zetu mbaya, yaani inawezekana kabisa wao ndio wamekosea kuolewa na sisi, tunaweza kujivunia kuwa na wake bora lakini wao wakajuta kuolewa na sisi.

Just imagine mkeo awe analiwa nje namna hiyo...
Usemalo Ni kweli,
Ila MKE Wang hajawai kua na mawaz Kama hayo, ananiamini mno kupitiliza.

Ndo Maana hata kipind alipogundua suala la mamaJ, aliamini mwanamke yule kaniroga
 
Ajabu wewe huoni umerogwa, unaona sawa tu ni mapenzi. Pole mkuu, mtu wa makamo kupitia changamoto za mapenzi ya namna hiyi sio afya.
Ngoja nione ntafika nae wapi,
Ila Nna iman mamaJ anaweza badilika,

Umri wake mdg, malezi vinachangia

Akifika 30s nna iman atatulia tu
 
Najua utamtafuta tu[emoji16]
Sijamtafuta,
Yeye ndo Katoka kunitafta MDA huu

Nahs anatafta gia ya kurudisha mawasiliano, tangu juzi tulivoznguana sijaenda kwake[emoji116]
 
Mkuu,
Tatizo ni wale mashangingi wa mpenz wangu, bajeti yetu ilikua laki TU
Basi siku nyingine uwe unatubless wenye shida angalau tutakuombea kwa Mungu akuzidishie kuliko kulisha mashangingi hao. All in all namuonea huruma sana mke wako week iliyopita ndio nimesoma nyuzi zote kumuhusu mama J Mungu ampe maisha marefu na moyo wa uvumilivu sana mke wako aisee
 
Back
Top Bottom