Kuna watu wagumu kuelewa

Kuna watu wagumu kuelewa

Pole Sana...!


Lakini kwa kuwa uliwapa namba wewe mwenyewe na haukuwapangia idadi ya calls and texts per day na muda maalum wa kufanya hayo, ingekuwa busara kuwaeleza Muungwana ataelewa.



Kutopokea ama kutokujibu sio suluhu nzuri, mwingine anayekujali anaweza hisi uko kwenye shida ama tatizo.
 
Pole Sana...!


Lakini kwa kuwa uliwapa namba wewe mwenyewe na haukuwapangia idadi ya calls and texts per day na muda maalum wa kufanya hayo, ingekuwa busara kuwaeleza Muungwana ataelewa.



Kutopokea ama kutokujibu sio suluhu nzuri, mwingine anayekujali anaweza hisi uko kwenye shida ama tatizo.
Kabisa na ukiangalia saiv nchi yenyewe ya kutekana tekana hii
 
Yan mm kuna huyo kikaragosi ananifukuzia huu mwaka wa 4 ni msumbufu hakat tamaa kazi yake kupiga sm kutuma sms sjibu hat miez lakin hachoki

Namblock lakin anabadilisha namba sjui watu wengine huwa mapopoma wanakera sana mtu hana ushirikiano anasumbua tu.
Ningeshangaa Mr's Tunguli usitie neno.
 
Simu za marejesho hizo. pokea tu mama wala usigope mdaiwa hafungwi.
 
Back
Top Bottom