DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Nakuganda kama ruba had unikubalibasi mi nakashauga au najifanya naenda kupika ili ukate tu simu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuganda kama ruba had unikubalibasi mi nakashauga au najifanya naenda kupika ili ukate tu simu
[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu asipokupenda, ukimpigia simu anaweza sema hata unammalizia charge
Kabisa na ukiangalia saiv nchi yenyewe ya kutekana tekana hiiPole Sana...!
Lakini kwa kuwa uliwapa namba wewe mwenyewe na haukuwapangia idadi ya calls and texts per day na muda maalum wa kufanya hayo, ingekuwa busara kuwaeleza Muungwana ataelewa.
Kutopokea ama kutokujibu sio suluhu nzuri, mwingine anayekujali anaweza hisi uko kwenye shida ama tatizo.
Ningeshangaa Mr's Tunguli usitie neno.Yan mm kuna huyo kikaragosi ananifukuzia huu mwaka wa 4 ni msumbufu hakat tamaa kazi yake kupiga sm kutuma sms sjibu hat miez lakin hachoki
Namblock lakin anabadilisha namba sjui watu wengine huwa mapopoma wanakera sana mtu hana ushirikiano anasumbua tu.
Loooh wewe ulipotelea wapiii aghhhNingeshangaa Mr's Tunguli usitie neno.
Nakuwa busy na games za kwenye sim mpaka nasahau JF.Loooh wewe ulipotelea wapiii aghhh
Kumbe ndo ulivo.Mtu akipiga simu huyo kajisikia kupiga..si lazima upokee..haitoshi unaweka silent tu apige weh hadi achoke
Sio kwako lakiniKumbe ndo ulivo.
Sawa nakuelewa.Sio kwako lakini