Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakupendaHahahahaha umemiss wakati ulikua unakuja unatufurmusha na kytufukuza
Kwann unasema hvo mkuu?Huu uzi watakao usapoti asilimia kubwa ni akina dada, kundi lingine ni wale waliokata tamaa na maisha wanachojali wao ni sms za pesa tu.
Kundi lingine ni wale wenye roho mbaya akiwemo mleta sred.
Mtenda utendwaMtu akipiga simu huyo kajisikia kupiga..si lazima upokee..haitoshi unaweka silent tu apige weh hadi achoke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wasipopiga simu "Hawanitafuti ndugu zangu..." wakipiga simu "Ebo! Huyu msumbufu kweli".... Ndo dunia, rahisi sana kuelewa watu ila ngumu sana kujielewa wewe mwenyewe
Jamani kuna siku fulani tulikuwa tunawasiliana kila saa,hukuchoka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kabisa,tulikuwa tunapishana na G tu hapoHhhaaaaaa mpaka ikawa ugomvi unaona wivu ukikuta nipo busy