Kuna watu wakarimu dunia hii

Nisipo kukaribisha, sitaweza kula kwa amani, roho itanisuta.

Changamoto ni pale unapomkaribisha mdada vitu kama hivyo anakutafsiri vingine au anakuja kukuanzishia uzi hapa kwamba jamaa alimdondokea.

Bora wewe umeona upande wa ukarim.
 
Nahic kama hii habari iko nusu hiv[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Wengine wanaweza kukuwekea madawa, unakula kitu chake alafu unalala haujitambui hapo atakuibia alafu anashukia njiani, au anajifanya kuomba msaada ashuke njiani mwenzake kazidiwa ampeleke hosptl kumbe ndo umetekwa hivyo. sio vyema sana kumpokea pokea chakula kwa usiyemjua unapokua safarini.
 
🙏🏾
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…