Kuna watu wakatili aisee; nilishuhudia mgeni rasmi akitoa zawadi ya mfuko wa pipi tu

Hahaha jamaa anajiaminii darasa la saba si mtu wa kumpa pipi
 
Safi Sana

Vi graduation vya darsa la Saba havina ishu kbsa
 
Maneno murua aliotoa ni tosha kabisa kuwapa vijana motisha ya awamu inayofata katika elimu.
Mgeni rasmi sio lazima na hapaswi kuja na zawadi yeyote. Zawadi ni kazi ya waandalizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…