Kuna watu wana kipaji cha kudanganya aisee

Hasara Mojawapo ya kuwa na tabia ya uongo;

1. Kutokuaminika na Watu including boss wako

2. Kujidanganya mwenyewe.

3. Kutokuwa Mwaniminifu na Muadilifu

4. N.k
 
Story za jf sometimes unaweza kuhisi labda huelewi ni hizi bia unazokunywa zimeanza kukolea kumbe hata si bia.
Itakuwa story za wanafunzi wa sekondari wakiwa wameweka kambi ya kusomea paper la form 4 bila shaka.
 
Ndege wafananao huruka pamoja.
Muongo sana kama shetani ndio rafiki yako mkubwa kama braza!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…