Abbasfarudume
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,625
- 1,326
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] .Kabla hatujakupa utaratibu hembu tuambie wewe ni Jogoo au Mtetea?
Nishaupata mkuumkuu unataka ushirikiano? njoo PM
Nataka kuoa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unataka ushirikiano upi wa kupaa na ungo au fafanua hapo mgosi...
KikiMkuu sema nilipotea sana ila nimerudi zungunza mkuu ushirikiano upi?
Mkuu unapenda picha eehTatizo hujatuma picha
Mkuu punguza ukali wa maneno am a boy[emoji41]Wenzio wanapata ndoa, wapo wadada kibao wanatafuta na wao, kwahiyo ukitaka ushirikiano huo usiogope....
Kwani nimeongea vibaya kijana! Tulia, usiogope..Mkuu punguza ukali wa maneno am a boy[emoji41]
Hapanaushirikiano gani ww kijana,au kuchangia shuka kuwa muwazi bhna
Wakuu [emoji27] [emoji26] tangu juzi nimeomba ushirikiano lakini sijaona yeyote alierespond au sababu Mimi mgeni humu? Acheni hizo mambo wazee.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu punguza ukali wa maneno am a boy[emoji41]