Kuna watu wana upendeleo humu

Kuna watu wana upendeleo humu

Wenzio wanapata ndoa, wapo wadada kibao wanatafuta na wao, kwahiyo ukitaka ushirikiano huo usiogope....
 
ushirikiano gani ww kijana,au kuchangia shuka kuwa muwazi bhna
 
Wakuu [emoji27] [emoji26] tangu juzi nimeomba ushirikiano lakini sijaona yeyote alierespond au sababu Mimi mgeni humu? Acheni hizo mambo wazee.

Mbona kwa aina tu ya huu uandishi au uwasilishaji wako unaonekana Wewe ni Mwenyeji wa Kutukuka humu Jamvini?
 
Back
Top Bottom