tecnohailali
Senior Member
- May 15, 2017
- 168
- 76
Wakuu [emoji27] [emoji26] tangu juzi nimeomba ushirikiano lakini sijaona yeyote alierespond au sababu Mimi mgeni humu? Acheni hizo mambo wazee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mgeni sina nijualo jilitaka kujizwa taratibu zahumuUshirikiano upi mkuu
Ugeni mkuu nipeni utaratibuUnataka ushirikiano upi mkuu?
Hujaeleza ushirikiano gn unao utaka...labda ueleweke...labda unataka KUMBAKA mtu...au KWENDA KIBITI wanapouliwa MAKADA wa chama....wewe jieleze unataka nn kwnza.ili upewe ushirikianoWakuu [emoji27] [emoji26] tangu juzi nimeomba ushirikiano lakini sijaona yeyote alierespond au sababu Mimi mgeni humu? Acheni hizo mambo wazee.
Hahahahahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] utani unavuka kiwango.Hujaeleza ushirikiano gn unao utaka...labda ueleweke...labda unataka KUMBAKA mtu...au KWENDA KIBITI wanapouliwa MAKADA wa chama....wewe jieleze unataka nn kwnza.ili upewe ushirikiano
[emoji35] Mimi nijogoo [emoji35]Kabla hatujakupa utaratibu hembu tuambie wewe ni Jogoo au Mtetea?
Ahsante mkuukaribu mgeni huku ukiona mada unaweza changia changia tu chalii hata ongea pumba utaona sapoti,, wewe ndiyo ushirikiani na wenzio si tutakujuaje wakati umekuja juzi
Ahsante mkuuSoma taratibu hizo sticky utapata Maelezo yote, na chini hapo kuna Maelezo yote
Sasa analalamika tu hapati ushirikiano.. Bila kueleza ushirikiano upi anao utakaHahahahahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] utani unavuka kiwango.
Mgeni wa Jf.
[emoji23] [emoji23]Walevi na wavuta shisha wanapenda sana network_