Kuna watu wanaamini kuwa upinzani ni utakatifu na kuwa CCM ni unajisi. Ukweli ni kuwa chama hakimfanyi mtu kuwa Mtakatifu au najisi

Kuna watu wanaamini kuwa upinzani ni utakatifu na kuwa CCM ni unajisi. Ukweli ni kuwa chama hakimfanyi mtu kuwa Mtakatifu au najisi

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Habari za Sabato!

Kuna watu wanaamini kuwa watu wote wa CCM ni Najisi, wezi, majambazi, mafisadi yaani kitendo cha kuwa CCM wanaamini wewe ni muovu. Jambo ambalo sio kweli

Wakati huohuo wanaamini kuwa chama cha upinzani kama CHADEMA ndio kuwa Mtakatifu au mzalendo wa taifa. Jambo ambalo sio kweli.

Majizi, waovu, na madikteta wapo vyama vyote. Ubaya hauna chama kama vile ubaya hauna kwao.

Watu wema wanaweza kuwa chama chochote tuu. Wapo CHADEMA wema, na wapo CCM wema.
Wapo CHADEMA wabaya na wapo CCM wabaya.

Wapo wanaccm wanaamini kuwa mpinzani au kuwa CHADEMA ni kuwa muasi, mhaini, pingapinga na Muda wowote unaweza kuangusha serikali. Jambo ambalo sio sahihi.
Kumbe unaweza kuwa CCM na ukawa Muasi, mhaini, na pingapinga na Muda wowote unaweza kuiangusha serikali.

Hoja ni nini?

Kila chama kinaowajibu wa kutambua watu wema waliopo ndani ya chama hiko ili waongoze kwa sababu wema wakiongoza taifa limepata kuanzia CCM wenyewe na upinzani.

Halikadhalika na upinzani, wawape watu wema uongozi ili hata CCM nayo inufaike na watu hao.

Mwema ni mwema hata awe CHADEMA au CCM. Awe muafrika au Mzungu.
Na mbaya ni mbaya hata awe CHADEMA au CCM. Awe muafrika au mzungu.

Nawatakia IBADA Njema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa, Manzese Kanisani, Dar es salaam
 
Habari za Sabato!

Kuna watu wanaamini kuwa watu wote wa CCM ni Najisi, wezi, majambazi, mafisadi yaani kitendo cha kuwa CCM wanaamini wewe ni muovu. Jambo ambalo sio kweli

Wakati huohuo wanaamini kuwa chama cha upinzani kama CHADEMA ndio kuwa Mtakatifu au mzalendo wa taifa. Jambo ambalo sio kweli.

Majizi, waovu, na madikteta wapo vyama vyote. Ubaya hauna chama kama vile ubaya hauna kwao.

Watu wema wanaweza kuwa chama chochote tuu. Wapo CHADEMA wema, na wapo CCM wema.
Wapo CHADEMA wabaya na wapo CCM wabaya.

Wapo wanaccm wanaamini kuwa mpinzani au kuwa CHADEMA ni kuwa muasi, mhaini, pingapinga na Muda wowote unaweza kuangusha serikali. Jambo ambalo sio sahihi.
Kumbe unaweza kuwa CCM na ukawa Muasi, mhaini, na pingapinga na Muda wowote unaweza kuiangusha serikali.

Hoja ni nini?

Kila chama kinaowajibu wa kutambua watu wema waliopo ndani ya chama hiko ili waongoze kwa sababu wema wakiongoza taifa limepata kuanzia CCM wenyewe na upinzani.

Halikadhalika na upinzani, wawape watu wema uongozi ili hata CCM nayo inufaike na watu hao.

Mwema ni mwema hata awe CHADEMA au CCM. Awe muafrika au Mzungu.
Na mbaya ni mbaya hata awe CHADEMA au CCM. Awe muafrika au mzungu.

Nawatakia IBADA Njema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa, Manzese Kanisani, Dar es salaam
Hao unaowazungumzia ni 1% ya wanasiasa wachache.
Nitakupa mfano, mtu mwema akijiunga kwenye chama kinachotumia hila na mbinu chafu kubaki madarakani? Je huyo mtu anabaki kuwa mwema?
 
Watu hao watu gani na kwa utafiti upi mwanangu? Kuna mwanasiasa anaweza kuwa mtakatifu ukiondoa mdogo wangu mzee Mchonga? Kwani kuna utakatifu duniani au ni kamba za dini za kijambazi na kikoloni?
 
Hao unaowazungumzia ni 1% ya wanasiasa wachache.
Nitakupa mfano, mtu mwema akijiunga kwenye chama kinachotumia hila na mbinu chafu kubaki madarakani? Je huyo mtu anabaki kuwa mwema?

Watu wema popote pale hapa duniani ni Wachache.
Sio kwenye vyama vya siasa tuu Bali hata kwenye taasisi zingine za kidini.

Mtu mwema chamani inategemewa na majukumu yake.
Katiba ya chama ndio muongozo WA wanachama na sio Tabia za wanachama
 
Watu hao watu gani na kwa utafiti upi mwanangu? Kuna mwanasiasa anaweza kuwa mtakatifu ukiondoa mdogo wangu mzee Mchonga? Kwani kuna utakatifu duniani au ni kamba za dini za kijambazi na kikoloni?

Watu wema hawakosekani hata kama ni Wachache Sana

Wanasiasa wenyewe wanajuana yupo mwema na yupo muovu.
Sisi tulionje ya siasa tunaweza kuwachanganya.
Yule mwema unaweza kumwona mbaya na Yule mbaya ukamwona mwema
 
Habari za Sabato!

Kuna watu wanaamini kuwa watu wote wa CCM ni Najisi, wezi, majambazi, mafisadi yaani kitendo cha kuwa CCM wanaamini wewe ni muovu. Jambo ambalo sio kweli

Wakati huohuo wanaamini kuwa chama cha upinzani kama CHADEMA ndio kuwa Mtakatifu au mzalendo wa taifa. Jambo ambalo sio kweli.

Majizi, waovu, na madikteta wapo vyama vyote. Ubaya hauna chama kama vile ubaya hauna kwao.

Watu wema wanaweza kuwa chama chochote tuu. Wapo CHADEMA wema, na wapo CCM wema.
Wapo CHADEMA wabaya na wapo CCM wabaya.

Wapo wanaccm wanaamini kuwa mpinzani au kuwa CHADEMA ni kuwa muasi, mhaini, pingapinga na Muda wowote unaweza kuangusha serikali. Jambo ambalo sio sahihi.
Kumbe unaweza kuwa CCM na ukawa Muasi, mhaini, na pingapinga na Muda wowote unaweza kuiangusha serikali.

Hoja ni nini?

Kila chama kinaowajibu wa kutambua watu wema waliopo ndani ya chama hiko ili waongoze kwa sababu wema wakiongoza taifa limepata kuanzia CCM wenyewe na upinzani.

Halikadhalika na upinzani, wawape watu wema uongozi ili hata CCM nayo inufaike na watu hao.

Mwema ni mwema hata awe CHADEMA au CCM. Awe muafrika au Mzungu.
Na mbaya ni mbaya hata awe CHADEMA au CCM. Awe muafrika au mzungu.

Nawatakia IBADA Njema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa, Manzese Kanisani, Dar es salaam
Ushuhudie watu wanauliwa ushindwe kukemea, watu wanaanzisha biashara zao wanapokonywa kisa upinzani unadhani CCM wanakosaje kuwa mashetani
 
Ushuhudie watu wanauliwa ushindwe kukemea, watu wanaanzisha biashara zao wanapokonywa kisa upinzani unadhani CCM wanakosaje kuwa mashetani

Wapo watu wema wanakemea hayo wapo hukohuko CCM.
Na wapo wapinzani ambao sio CCM lakini hawakemei.

Sio kila mwana CCM ni mhalifu kama ilivyo kwa CHADEMA.
 
Watu wema popote pale hapa duniani ni Wachache.
Sio kwenye vyama vya siasa tuu Bali hata kwenye taasisi zingine za kidini.

Mtu mwema chamani inategemewa na majukumu yake.
Katiba ya chama ndio muongozo WA wanachama na sio Tabia za wanachama
Is not about wema, kama chama hakiamini katika njia za wema, itawalazimu wale wema waende njia hizo ili ku fit chaman
Else wataitwa wasaliti au kuonekana hawaendani na falsafa za chama
 
Is not about wema, kama chama hakiamini katika njia za wema, itawalazimu wale wema waende njia hizo ili ku fit chaman
Else wataitwa wasaliti au kuonekana hawaendani na falsafa za chama

Imani ya chama IPO kwenye nini Mkuu?
Katiba?
Ilani?
Matendo ya wanachama?
Maneno ya wanachama?
 
Hao unaowazungumzia ni 1% ya wanasiasa wachache.
Nitakupa mfano, mtu mwema akijiunga kwenye chama kinachotumia hila na mbinu chafu kubaki madarakani? Je huyo mtu anabaki kuwa mwema?
Kwani hapa Duniani uliona chama gani hakitumii hilarious na mbinu chafu kubaki madarakani???
 
Hata wema na uhalifu unatofautiana,ni kweli kwenye vyama vyote wema na wahalifu hawakosekani

Lakini ukija kwenye wema upande wa upinzani kunaweza kukawa na wema zaidi kushinda CCM.

CCM kumejaa wezi wa kura mpaka polisi wamekamatwa wakijaza kura fake kwenye masanduku,CCM kupitia serekali yao wanateka wapinzani na kuwaua wapinzani,wanawakamata wapinzani wao na kuwasweka lupango bila kosa vitu ambavyo kwa upande wa upinzani havipo.

Wapinzani ni wema kuwazidi CCM na wasingekuwa hivyo kwa manyanyaso na maovu wanayofanyiwa na CCM nchi isingetawaliwa pangechimbika.
 
Ukiwa Roma fuata job descriptions ya kilichokuweka hapo.

Kwenye Dini ambako kuna hadithi za mashujaa wa wema tunaona wakina Daniel, Yusufu, Musa, Yeremia n.k.
Ni kweli , ukiwa roma ishi kama waroma ukienda tofauti ya kikikuta ya yule ndugu spika usilaumu mtu.
 
Habari za Sabato!

Kuna watu wanaamini kuwa watu wote wa CCM ni Najisi, wezi, majambazi, mafisadi yaani kitendo cha kuwa CCM wanaamini wewe ni muovu. Jambo ambalo sio kweli

Wakati huohuo wanaamini kuwa chama cha upinzani kama CHADEMA ndio kuwa Mtakatifu au mzalendo wa taifa. Jambo ambalo sio kweli.

Majizi, waovu, na madikteta wapo vyama vyote. Ubaya hauna chama kama vile ubaya hauna kwao.

Watu wema wanaweza kuwa chama chochote tuu. Wapo CHADEMA wema, na wapo CCM wema.
Wapo CHADEMA wabaya na wapo CCM wabaya.

Wapo wanaccm wanaamini kuwa mpinzani au kuwa CHADEMA ni kuwa muasi, mhaini, pingapinga na Muda wowote unaweza kuangusha serikali. Jambo ambalo sio sahihi.
Kumbe unaweza kuwa CCM na ukawa Muasi, mhaini, na pingapinga na Muda wowote unaweza kuiangusha serikali.

Hoja ni nini?

Kila chama kinaowajibu wa kutambua watu wema waliopo ndani ya chama hiko ili waongoze kwa sababu wema wakiongoza taifa limepata kuanzia CCM wenyewe na upinzani.

Halikadhalika na upinzani, wawape watu wema uongozi ili hata CCM nayo inufaike na watu hao.

Mwema ni mwema hata awe CHADEMA au CCM. Awe muafrika au Mzungu.
Na mbaya ni mbaya hata awe CHADEMA au CCM. Awe muafrika au mzungu.

Nawatakia IBADA Njema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa, Manzese Kanisani, Dar es salaam
Sasa mtu mwema akienda motoni na mtu mbaya akaenda mbinguni inakuwaje? Si matokeo yake yatakuwa kwamba yule mwema ataangamia, na yule mbaya kwenye uzima wa milele? Kwa hiyo, mazingira yanamu'condition' mtu kuwa wa aina fulani. Kuna msemo kwamba ukienda Roma fanya kama watu wa Roma wanavyofanya.
 
Hata wema na uhalifu unatofautiana,ni kweli kwenye vyama vyote wema na wahalifu hawakosekani

Lakini ukija kwenye wema upande wa upinzani kunaweza kukawa na wema zaidi kushinda CCM.

CCM kumejaa wezi wa kura mpaka polisi wamekamatwa wakijaza kura fake kwenye masanduku,CCM kupitia serekali yao wanateka wapinzani na kuwaua wapinzani,wanawakamata wapinzani wao na kuwasweka lupango bila kosa vitu ambavyo kwa upande wa upinzani havipo.

Wapinzani ni wema kuwazidi CCM na wasingekuwa hivyo kwa manyanyaso na maovu wanayofanyiwa na CCM nchi isingetawaliwa pangechimbika.

Wema wa upinzani utapimwa siku ukishika madaraka na sio sasa wakiwa hawana hayo madaraka.

Sikatai kuwa CHADEMA wapo watu wema Pia lakini kulinganisha wema wa CCM na CHADEMA haipo Sawa kabisa kwa sababu hawajawahi kuwa katika nafasi na kiwango Sawa
 
Back
Top Bottom