Kuna watu wanabeza Rais kusikiliza maneno ya mitandaoni, kwani watu wa mitandaoni sio Watanzania au hawapaswi kusikilizwa?

Kuna watu wanabeza Rais kusikiliza maneno ya mitandaoni, kwani watu wa mitandaoni sio Watanzania au hawapaswi kusikilizwa?

Kuna watu wana hoja mfu sana. Wanabeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni. Kwani watu walioko mitandaoni sio watanzania au hawapaswi kusikilizwa? Watu wa mitandaoni ndio hawa hawa watu wa mitaani. Au wanadhani watu wa mitandaoni wanatoka sayari nyigine?

Mitandao ni platform sahihi kabisa ya watu wa kawaida kutolea maoni yao, na Rais kama kiongozi wao yupo sahihi kabisa kuyafanyia kazi maoni ya kwenye mitandao maana yametolewa na raia wake ambao hawana uwezo wa kumfuata ikulu na kuongea naye ana kwa ana.

Raia wa kawaida hawana uwezo wa kuonana na Rais kwa urahisi hivyo mitandao ni sehemu pekee ya kuwasilisha malalamiko yao. Na nadhani Rais wetu analitambua hilo ndio maana amekuwa akisisika akiongelea anachokisoma mitandaoni.

Hao wote wanaobeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni nadhani wana matatizo yao binafsi au kuna maslahi yao yanaguswa. Wanataka Rais asisikilize maneno ya mitandaoni halafu asikilize maneno ya wapi ilihali hata wabunge wetu hawatusemei huko bungeni kazi kujipendekeza na kusifiasifia tu kusikokuwa na faida yoyote kwa raia wa kawaida.

Mama Samia njia uliyoichukua ya kusikiliza maneno ya mitandaoni ni sahihi kuliko maelezo yenyewe maana hawa watu wa mitandaoni ndio raia wanaokutegemea uwatumikie kupitia dhamana uliyo nayo na mitandao ndio njia yao pekee ya kukufikishia ujumbe wao maana hawana uwezo wa kukufuata ikulu.

Kazi iendelee.
Upo sahii Sana mkuu,ni WATU wa maajabu wanaofikili mtanaoni wapo WATU wajinga na wasiojielewa ,bila fikra kwamba why mtu anaweza kua on line 24 hrs, je kifurushi anatoa wapi ,familia yake inakula wapi au yeye mwenyewe, majukwaa ya mtandaoni yana WATU makini,kuanzia kifikra,elemu na uwezo wa kupambanua Mambo hata kuliko wabunge,na mawaziri pia sema tu wapo hawajulikani au Wengine wanajulikana and by the way hawana haja na vyeo ,ila nasema ndo wazalendo wa kweli kuliko wale wanaojipendekeza
Ukiona mtu anawachukia jua ni jambazi lililokubuhu halitaki lijulikane ili kuendelea na unyanganyi kwa kutumia neno maskin,THNKS JF MEMBER
 
Watu hawana jema
Asiposikiliza watasema dikteta,akisiliza wanasema ana shida,
Tuzidi kumuombea mama Mungu amuongoze na ampe afya njema
Sio wote wanaompinga ni kwasababu kakosea bali kuna sababu zao binafsi,
Mwisho wa yote kazi itaendelea tu come sun,come rain
Mungu ibariki Tanzania!
Mama ajisikie amani so far anatenda haki , binafsi Kama mwanachama wa chadema ambae sikuwahi jiunga na chama chochote Cha Siasa na niliojiunga na chadema as new member Kipindi Cha mwendazake ,naapa kwamba
NITAMTETEA MAMA AKIFANYA VIZURI, NITAMPINGA PALE SIONI TIJA, NITASEMA HAFAI PALE NAONA ANAENDA KINYUME,
MUNGU MSAIDIE MAMA, SAIDIA TANZANIA, SAIDIA NA KUIBARIKI CHADEMA,CHADEMA MUNGU INAKUITAJI SANA KAMA AMBAVYO UMEKUA NAYO MWANZO MPAKA MWISHO - IMEKUA
 
Kuna watu wana hoja mfu sana. Wanabeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni. Kwani watu walioko mitandaoni sio watanzania au hawapaswi kusikilizwa? Watu wa mitandaoni ndio hawa hawa watu wa mitaani. Au wanadhani watu wa mitandaoni wanatoka sayari nyigine?

Mitandao ni platform sahihi kabisa ya watu wa kawaida kutolea maoni yao, na Rais kama kiongozi wao yupo sahihi kabisa kuyafanyia kazi maoni ya kwenye mitandao maana yametolewa na raia wake ambao hawana uwezo wa kumfuata ikulu na kuongea naye ana kwa ana.

Raia wa kawaida hawana uwezo wa kuonana na Rais kwa urahisi hivyo mitandao ni sehemu pekee ya kuwasilisha malalamiko yao. Na nadhani Rais wetu analitambua hilo ndio maana amekuwa akisisika akiongelea anachokisoma mitandaoni.

Hao wote wanaobeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni nadhani wana matatizo yao binafsi au kuna maslahi yao yanaguswa. Wanataka Rais asisikilize maneno ya mitandaoni halafu asikilize maneno ya wapi ilihali hata wabunge wetu hawatusemei huko bungeni kazi kujipendekeza na kusifiasifia tu kusikokuwa na faida yoyote kwa raia wa kawaida.

Mama Samia njia uliyoichukua ya kusikiliza maneno ya mitandaoni ni sahihi kuliko maelezo yenyewe maana hawa watu wa mitandaoni ndio raia wanaokutegemea uwatumikie kupitia dhamana uliyo nayo na mitandao ndio njia yao pekee ya kukufikishia ujumbe wao maana hawana uwezo wa kukufuata ikulu.

Kazi iendelee.
I concur with you 100%.Sina cha kuongeza,you have said it all..
 
Kuna watu wana hoja mfu sana. Wanabeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni. Kwani watu walioko mitandaoni sio watanzania au hawapaswi kusikilizwa? Watu wa mitandaoni ndio hawa hawa watu wa mitaani. Au wanadhani watu wa mitandaoni wanatoka sayari nyigine?

Mitandao ni platform sahihi kabisa ya watu wa kawaida kutolea maoni yao, na Rais kama kiongozi wao yupo sahihi kabisa kuyafanyia kazi maoni ya kwenye mitandao maana yametolewa na raia wake ambao hawana uwezo wa kumfuata ikulu na kuongea naye ana kwa ana.

Raia wa kawaida hawana uwezo wa kuonana na Rais kwa urahisi hivyo mitandao ni sehemu pekee ya kuwasilisha malalamiko yao. Na nadhani Rais wetu analitambua hilo ndio maana amekuwa akisisika akiongelea anachokisoma mitandaoni.

Hao wote wanaobeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni nadhani wana matatizo yao binafsi au kuna maslahi yao yanaguswa. Wanataka Rais asisikilize maneno ya mitandaoni halafu asikilize maneno ya wapi ilihali hata wabunge wetu hawatusemei huko bungeni kazi kujipendekeza na kusifiasifia tu kusikokuwa na faida yoyote kwa raia wa kawaida.

Mama Samia njia uliyoichukua ya kusikiliza maneno ya mitandaoni ni sahihi kuliko maelezo yenyewe maana hawa watu wa mitandaoni ndio raia wanaokutegemea uwatumikie kupitia dhamana uliyo nayo na mitandao ndio njia yao pekee ya kukufikishia ujumbe wao maana hawana uwezo wa kukufuata ikulu.

Kazi iendelee.
Kwanza inamrahisishia kazi Rais.

Na wala siyo kwamba Rais mwenyewe atashinda mitandaoni akitafuta majungu na upotoshaji na kuchuja mazuri na yaliyo ya ukweli.

Rais akitaka kuitumia kwa manufaa memngi mitandao ni kuwa na vijana walioiva vizuri katika utumiaji wa mitandao, wenye uelewa mpana.

Hawa wana uwezo wa kuchambua upuuzi na mambo ya msingi ambayo watayawasilisha kwake na washauri wake wa karibu.

Kama jambo ni zito, linaloonekana tokea kwenye mitandao, kwani ni lazima Rais alirukie mara moja bila ya kulitafutia ukweli na kuupima kabla ya kulitolea uamizi?

Sasa hapo tatizo litatoka wapi, kiasi cha kwamba aogope kutumia mitandao?

Wasiojua kuitumia mitandao, na wenye akili iliyofungwa pekee ndio wasiopenda mitandao.
 
Ni wapuuzi tu hao wako zama za ujima

Nchi nyingi zimechafuka na kukosa amani kwa hamasa ya mitandaoni afu pimbi mmja anasemaje?

Tena Rais awatafute kwa kutumia vyombo vya usalama awafunze adabu
 
Bibi samia ni dhaifu. Hawezi kuamua jambo mpaka akachungulie facebook wamesemaje.

Mitandaoni kuna maoni ya kila namna. Kuna maoni ya wasomi na ya wendawazimu.

Si kila maoni ya mtandaoni yanafaa.

Lazima ajifunze kufanya maamuzi sahihi bila kufuatilia mihemko ya watu mitandaoni.

Sijui kwanini anakuwa dhaifu namna hii!
Kwa hiyo maoni ya watu sahihi yanapatikana wapi? Halafu unataka afanye maamuzi yapi ili asionekana anafanya maamuzi bila mhemuko?
 
Mkuu achana nao hao ni lile genge la legacy, acha wafu wazikane. OVER!!
Kuna watu wana hoja mfu sana. Wanabeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni. Kwani watu walioko mitandaoni sio watanzania au hawapaswi kusikilizwa? Watu wa mitandaoni ndio hawa hawa watu wa mitaani. Au wanadhani watu wa mitandaoni wanatoka sayari nyigine?

Mitandao ni platform sahihi kabisa ya watu wa kawaida kutolea maoni yao, na Rais kama kiongozi wao yupo sahihi kabisa kuyafanyia kazi maoni ya kwenye mitandao maana yametolewa na raia wake ambao hawana uwezo wa kumfuata ikulu na kuongea naye ana kwa ana.

Raia wa kawaida hawana uwezo wa kuonana na Rais kwa urahisi hivyo mitandao ni sehemu pekee ya kuwasilisha malalamiko yao. Na nadhani Rais wetu analitambua hilo ndio maana amekuwa akisisika akiongelea anachokisoma mitandaoni.

Hao wote wanaobeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni nadhani wana matatizo yao binafsi au kuna maslahi yao yanaguswa. Wanataka Rais asisikilize maneno ya mitandaoni halafu asikilize maneno ya wapi ilihali hata wabunge wetu hawatusemei huko bungeni kazi kujipendekeza na kusifiasifia tu kusikokuwa na faida yoyote kwa raia wa kawaida.

Mama Samia njia uliyoichukua ya kusikiliza maneno ya mitandaoni ni sahihi kuliko maelezo yenyewe maana hawa watu wa mitandaoni ndio raia wanaokutegemea uwatumikie kupitia dhamana uliyo nayo na mitandao ndio njia yao pekee ya kukufikishia ujumbe wao maana hawana uwezo wa kukufuata ikulu.

Kazi iendelee.
 
Hao wanaosema mama asiingie mitandaoni ndiyo hao hao wanaotumia mitandao hiyo kumpiga mikwara, naiita mikwara mbuzi!

Watu wa ajabu sana hawa...

Yaani wao waitumie, yeye asiitumie, ili iweje, ili iweje...
 
Kiongozi anayethubutu kupita humu mitandaoni akaona anavyosifiwa na kukosolewa,anavyotukanwa,anavyokashifiwa,anavyoshauriwa,huyo sio dhaifu bali ni imara.
Bibi samia ni dhaifu. Hawezi kuamua jambo mpaka akachungulie facebook wamesemaje.

Mitandaoni kuna maoni ya kila namna. Kuna maoni ya wasomi na ya wendawazimu.

Si kila maoni ya mtandaoni yanafaa.

Lazima ajifunze kufanya maamuzi sahihi bila kufuatilia mihemko ya watu mitandaoni.

Sijui kwanini anakuwa dhaifu namna hii!
 
Back
Top Bottom