Kuna watu wanaishi vizuri sana, tembea uone

wale mungu aliwowabariki wameweka 3D epoxy materials kwenye nyumba zao, unakuta lounge kubwa, rangi ndani nzuri, nyumba ndefu, bodi inang'aa taa za jkwenye bodi unakuta wameweka zile...
Sony 75 inches kwa 8K?
 
Wachina wameharibu sana mambo wewe hukupaswa hata kumili nokia kitochi. Inawezekanaje unamiliki smartphone alafu unalala na kuku nyumba moja tena uvunguni?
JF hii unaweza kuta ana bonge ya ghorofa!
 
Bila Picha, mtoa mada huu uzi wako umeukosea adabu
 
 
Mungu atujaalie tupate kula mara tatu kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…