Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Hahaahaaaa, hata mimi sijamuelewa anamaanisha nini kwenye kauli hii.Mwingine anakukuta mahali umekaa kwa kutulia anakupulizia hewa ya mdomoni mwake! Sipendi
MKUU FAFANUA HAPA UNAPULIZIWAJE HEWA YA MDOMONI?
unamiaka mingapi?