Ndio hadi kamati ya chakula mwishoe walimkataaSahani 7 kabisa, yaani anakula anamaliza anaenda kupanga foleni tena?
Mbona unachokoza nyuki?Ni msukuma bila shaka,halafu hawaoni aibu hata
Haha!Mbona unachokoza nyuki?
Aisee, huyo atakuwa ametoka mkoaniNdio hadi kamati ya chakula mwishoe walimkataa
Wewe muongo. Sahani 7?? Ina maana huyo mtu ana tumbo kubwa kiasi gani. Ni tumbo la tembo au papa ama nyangumi?Habari.
Juzi nilikuwa kwenye harusi ya ndugu. Wakati wa kupata chakula kuna jamaa alikuwa anakula hatarii alikula sahani saba hadi kamati ya chakula wakakataa kumpa chakula kingine alikuwa bado anadai. Nini kinasababisha mtu kula sana wataalam??
Ngoja waje wasukumaHaha!
Umepiga mulemuleAisee, huyo atakuwa ametoka mkoani
Kweli mkuu nikudanganye ili iwejeWewe muongo. Sahani 7?? Ina maana huyo mtu ana tumbo kubwa kiasi gani. Ni tumbo la tembo au papa ama nyangumi?
kuna Watu wanapeleka ugal kilo 1 mpaka 1.5 unaenda, kikubwa mboga, sasa iwe ubwabwa wa kwenye sherehe unawekeza kijiko kimoja kimojaWewe muongo. Sahani 7?? Ina maana huyo mtu ana tumbo kubwa kiasi gani. Ni tumbo la tembo au papa ama nyangumi?
huko wanakula hawafanyi masihara na kitu kinaitwa msosiUmepiga mulemule
Huo utumbo wake ushapanuka πππHabari.
Juzi nilikuwa kwenye harusi ya ndugu. Wakati wa kupata chakula kuna jamaa alikuwa anakula hatarii alikula sahani saba hadi kamati ya chakula wakakataa kumpa chakula kingine alikuwa bado anadai. Nini kinasababisha mtu kula sana wataalam??
Duuh wapi?Nilishuhudia nsukuma mmja alila container 6 za wali mkuu,halafu Hana mwl mkubwa
Naogopa mwenyewe akiona ataunganisha dotDuuh wapi?
Kweli?Kuna jamaa alimaliza jogoo mkubwa na ugali 2kg