Kuna watu wanaleta utamaduni wa ovyo wa kutukana viongozi wa nchi. Ndugu zangu hiyo sio demokrasia

Genius response
 
Unatupotezea muda kuandika uzi wa kipumbavu.ni bora wananchii wanaotukana viongozi kuliko viongozi wanaohujumu taifa.watatukanwa sana wasipojirekebisha.waache kazi au wasimamie ustawi wa TAIFA.
 
Na vipi kuhusu viongozi wanaotukana wananchi? Hivi kiongozi anayesema watu wameota mikia au kuwaita wanachi mbwa anastahili kuheshimiwa kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…