eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
- Thread starter
-
- #101
Utamjua tu hata mwaka haupitiMmmmmh. Kwanza , simjui sasa naanzaje kuamini hivyo kuwa kaniumba!?
Pia, najua uumbaji ni Baba na Mama ndiyo waumbaji.
Mfano, kwa nini baadhi ya watu wakose uzazi kama Mungu anaumba!?
Dini haijaleta sheria za MunguBila dini hizo sheria za Mungu ungezipata wapi? Mungu unayemjua wewe ndo huyo uliyefundishwa kanisani.
Mtoa mada unajichanganya, hueleweki hata chembe.
Ndugu umelewa au umekaririNdio maana kuna adhabu Mungu ameziweka huko ni kumkufuru mungu
We unaonajeNdugu umelewa au umekariri
Mi naona umekariri soma nilichokiandika alafu usianisha na akili hapo utaelewaWe unaonaje
Kila kitu huwa kina majira yake, kila jambo duniani lina wakati wake :
Kuna wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa,
Wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa,
Wakati wa kuua na wakati wa kuponya
Wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga
Wakati wa kulia na wakati wa kucheka
Wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza
Wakati wa kutupa mawe na wakati wa kuyakusanya
Wakati wa kukumbatia na wakati wa kuacha kukumbatia
Wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza
Wakati wa kuhifadhi na wakati wa kutupa
Wakati wa kurarua na wakati wa kushona
Wakati wa kukaa kimya na wakati wa kuongea
Wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia
Wakati wa vita na wakati wa amani
Usije ukafikiri kinachokutokea ni kwa bahati mbaya iwe furaha iwe huzuni yote ni mipango ya Mungu
Furaha yako inaweza kugeuka kuwa huzuni na huzuni yako kuwa furaha
Yote ni Mungu anakupangia
Muhimu ni kuendelea kuomba kwa alie juu juu kabisa
Na Mungu akubariki eti mtu anajipangia tu aandike jf kua Mungu ndio mpangaji wa yote anashindwa kutofautisha kati ya mweza wa yote na mpangaji wa yoteHakuna anayepangia wanadamu desteny zao na maisha yao bali ni wanadamu wenyewe katika matendo yao na minds zao.
Idea ya kusema "Mungu ni mpangaji" haina logical explanation.
Unabisha wakati hujui nimenukuu wapiNa Mungu akubariki eti mtu anajipangia tu aandike jf kua Mungu ndio mpangaji wa yote anashindwa kutofautisha kati ya mweza wa yote na mpangaji wa yote
Hivi unajua kazi kubwa ya Mungu aliyompa binadamu baada ya kumuumbaHakuna anayepangia wanadamu desteny zao na maisha yao bali ni wanadamu wenyewe katika matendo yao na minds zao.
Idea ya kusema "Mungu ni mpangaji" haina logical explanation.
We ni wa shetani au wa MunguMi naona umekariri soma nilichokiandika alafu usianisha na akili hapo utaelewa
Nimeokoka na ninampenda yesuWe ni wa shetani au wa Mungu
Ndugu icho ni kitabu cha kwako kielezacho hivyo bali Mungu ni mweza wa yote na ni muumba Mungu kaumba akili ila hakupangii cha kuwaza wala sio ndo anae tengeneza mabomu tuuwane bali ni mpango wa mwanadam hajapanga kutengeneza gest house au bar ili kumchukiza yeyeHivi unajua kazi kubwa ya Mungu aliyompa binadamu baada ya kumuumba
Sishangai unavyobisha Mungu sio mpangaji wa kila jambo
Ukweli ni kuwa Mungu ndie kila kitu hakuna asichohusika nacho
Yesu gani we unaempenda hata hujui Mungu ndie mpangaji wa kila kitu alichokiumbaNimeokoka na ninampenda yesu
Imani yangu kwake ni kua yeye ni mweza wa yooooote yaani anaweza kunilinda na kunibariki sio mpanga watu wanywe pombe sio ndie aliepanga watu wazini hapana wala sio mpangaji wa watu wawe mashoga wala sio mpaji wa watu kukaa uchi wala sio ndie aliepanga mmomonyoko wa maadiliYesu gani we unaempenda hata hujui Mungu ndie mpangaji wa kila kitu alichokiumba
Hali ilivyo kwa Chelsea ni tia maji tia maji, c kama msimu uliopitaKwa nini mkuu
Yote ya Mungu hayo ila watakaa poa tuHali ilivyo kwa Chelsea ni tia maji tia maji, c kama msimu uliopita
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli Mungu anavyosema watu wangu wanakosa maarifa kwa kijifanya wajuaji hakukosea kabisaNdugu icho ni kitabu cha kwako kielezacho hivyo bali Mungu ni mweza wa yote na ni muumba Mungu kaumba akili ila hakupangii cha kuwaza wala sio ndo anae tengeneza mabomu tuuwane bali ni mpango wa mwanadam hajapanga kutengeneza gest house au bar ili kumchukiza yeye
Hakuna ambacho Mungu hajakiumba so kila kitu anakiamulia atakavyoImani yangu kwake ni kua yeye ni mweza wa yooooote yaani anaweza kunilinda na kunibariki sio mpanga watu wanywe pombe sio ndie aliepanga watu wazini hapana wala sio mpangaji wa watu wawe mashoga wala sio mpaji wa watu kukaa uchi wala sio ndie aliepanga mmomonyoko wa maadili
Kaaazi kweli kweliHakuna ambacho Mungu hajakiumba so kila kitu anakiamulia atakavyo