Kweli, mkuu.
Nimewahi kwenda sehemu moja mtu akafika watu tumekaa akasalimu watu wa dini yake tu kwa kuwapa mkono kwa kuvuka wasio dini yake.
Yaani, Tanzania ii hii, siku hiyo nilitmani nimzabe vibao vya uso ila sheria ya nchi hairuhusu mtu kujichukulia sheria mikononi.
Ila dini na waumini wake, wanaudhi sana wakati mwingi ukiangalia vile wanatenda mambo ya kipuuzi.
Any way, ndiyo ujinga ambao wakoloni waliuleta ili tugawanyike na kuchukiana sisi kwa sisi.
Maana, kama Mimi [HASHTAG]#poise[/HASHTAG] sina dini sasa hapa nilipo wenye dini zote wananichukia.
Pia, wenye dini zao nao ila zimetofautiana majina nao wanachukiana kwa sababu ya majina ya hizo dini kutofautiana.
Mfano, waisalmu wanawachukia wakristo, sasa waislamu wasuni wanawachukia waislamu washia
Bado tena unakuta na kwa wakristo wale wa Roman Catholic wanachukiana na KKKT, Walokole. Yaani; dini ni uwanja wa fujo.
Yaani, dini ni ujinga juu ya upumbavu tuliolishwa.
Cc.[HASHTAG]#demi[/HASHTAG],