Kuna watu wanalia wengine kufurahi lakini ujue Mungu ndie mpangaji wa yote haya

Kuna watu wanalia wengine kufurahi lakini ujue Mungu ndie mpangaji wa yote haya

We unajuaje ni yangu binafsi we unajua nimenukuu wapi?

Mfano, siku hizi gari inapata ajali watu wanasema ni kazi ya Mungu kweli!?
Je , huyo Mungu ndiye aliendesha gari kwa mwendo kasi!?

Wengine wanasema kazi ya shetani, je, shetani alimtuma LT akaropoke kuhusu q400 na nyaraka za siri za serikali!?

Ulipoyatoa hapahusiki bali mantiki ndiyo inahitajika.
 
Mfano, siku hizi gari inapata ajali watu wanasema ni kazi ya Mungu kweli!?
Je , huyo Mungu ndiye aliendesha gari kwa mwendo kasi!?

Wengine wanasema kazi ya shetani, je, shetani alimtuma LT akaropoke kuhusu q400 na nyaraka za siri za serikali!?

Ulipoyatoa hapahusiki bali mantiki ndiyo inahitajika.
Imeandikwa kila mtu atakufa kwa mtindo wake aliopangiwa wa kuuawa na panga, bunduki, ajali, tetemeko, mafuriko ya mvua, kuanguka, upepo mkali, yote ni mipango ya Mungu kila mtu atachukuliwa kimpango wake

We unaweza kuona kwa macho yako ni mwendo kasi au uzembe wa kutolikagua gari lakini ni siku ya watu kufa imefika so ni lazima ajali itokee

Na katika ajali hizo wale ambao hawakupangiwa kufa siku hiyo watajeruhiwa tu
 
Imeandikwa kila mtu atakufa kwa mtindo wake aliopangiwa wa kuuawa na panga, bunduki, ajali, tetemeko, mafuriko ya mvua, kuanguka, upepo mkali, yote ni mipango ya Mungu kila mtu atachukuliwa kimpango wake

We unaweza kuona kwa macho yako ni mwendo kasi au uzembe wa kutolikagua gari lakini ni siku ya watu kufa imefika so ni lazima ajali itokee

Na katika ajali hizo wale ambao hawakupangiwa kufa siku hiyo watajeruhiwa tu


Mmmmmmmh, ndiyo maana sitaki hizi dini uchwara za wazungu koko na warabu pori zinawafundisha huu ujinga.
 
Mfano, siku hizi gari inapata ajali watu wanasema ni kazi ya Mungu kweli!?
Je , huyo Mungu ndiye aliendesha gari kwa mwendo kasi!?

Wengine wanasema kazi ya shetani, je, shetani alimtuma LT akaropoke kuhusu q400 na nyaraka za siri za serikali!?

Ulipoyatoa hapahusiki bali mantiki ndiyo inahitajika.
Iwe furaha iwe huzuni iwe chuki iwe kisasi yote Mungu alishayapanga kupitia shetani

Imeandikwa pia Mungu alituambia kwa neno lake ole wenu nchi na Bahari maana shetani amewajieni akiwa na ghadhabu kuu kwa sababu anajua muda wake uliobaki ni mfupi ufunuo 12/12
So yote ni mipango ya Mungu huwezi kusema ni uzembe bali ni mpango wa Mungu

Imeandikwa pia mpingeni shetani nae atawakimbia

Cha muhimu ni kuendelea kumuomba Mungu atupe uwezo wa kupambana
 
Iwe furaha iwe huzuni iwe chuki iwe kisasi yote Mungu alishayapanga kupitia shetani

Imeandikwa pia Mungu alituambia kwa neno lake ole wenu nchi na Bahari maana shetani amewajieni akiwa na ghadhabu kuu kwa sababu anajua muda wake uliobaki ni mfupi ufunuo 12/12
So yote ni mipango ya Mungu huwezi kusema ni uzembe bali ni mpango wa Mungu

Imeandikwa pia mpingeni shetani nae atawakimbia

Cha muhimu ni kuendelea kumuomba Mungu atupe uwezo wa kupambana


Mmmmmmmmhh

Hapa kuna vitu unavisingizia mara Mungu ooh oooh shetani.
 
ahaaa! sasa kama amekupangia basi ni moja kati ya mungu ambae hawatendei haki watu wake! inamaana kuna watu amewapangia kwenda motoni na wengine peponi maana si unaishi kwa kupangiwa na yeye.. sasa kama anawapangia kwanini mnamghasighasi shetani wkt mungu wenu ndo amewapangia toka mwanzo wako mpk mwisho wako..?
Waambie waache kumsumbua shetani
 
Kama Mungu ameumba kila kitu kilichopo kinachoonekana na kisichoonekana unawezaje kusema Mungu Hapangi lolote kwa binadamu
Kama anapanga kila kitu kwa mwanadamu kwanini asitupangie mazuri kila mtu afurahi?
Unapangiwa mikosi kila siku, hata ujitahidi vipi hali ni ngumu tu. Huyu Mungu ana nia gani hasa? Kwanini anaangalia watu wakiteseka tena wengine ni innocest kabisa hajishughulishi kuweka mambo sawa?
 
Mmmmmmmmhh

Hapa kuna vitu unavisingizia mara Mungu ooh oooh shetani.
Nimesema yote ni mipango ya Mungu
Tulipokosea sisi binadamu ni kumkubali shetani ambae Mungu alimtimua huko aliko mwanzo 3/1-5
 
Nimesema yote ni mipango ya Mungu
Tulipokosea sisi binadamu ni kumkubali shetani ambae Mungu alimtimua huko aliko mwanzo 3/1-5
Mungu si amteketeze shetani wake? Katuumba na madhaifu na shetani bado yupo anategemea nini?
Either amuondoe shetani au atuondolee madhaifu aliyotuumba nayo.
 
Kama anapanga kila kitu kwa mwanadamu kwanini asitupangie mazuri kila mtu afurahi?
Unapangiwa mikosi kila siku, hata ujitahidi vipi hali ni ngumu tu. Huyu Mungu ana nia gani hasa? Kwanini anaangalia watu wakiteseka tena wengine ni innocest kabisa hajishughulishi kuweka mambo sawa?
Mikosi tumejiletea wenyewe kwa kumkubali shetani awe mshirika wetu

Mungu atakachofanya ni kutuadhibu sisi pamoja na huyo shetani kwa ukaidi
Na huu ndio mpango wa Mungu
 
Mikosi tumejiletea wenyewe kwa kumkubali shetani awe mshirika wetu

Mungu atakachofanya ni kutuadhibu sisi pamoja na huyo shetani kwa ukaidi
Na huu ndio mpango wa Mungu
Lini tulimkubali huyu shetani? Kosa afanye adam na hawa tuadhibiwe binanamu wote mpk leo?
Kwani si tunaambiwa mungu ni wa huruma na ukiomba msamaha anasamehe?
Hiyo huruma yake iko wapi?
 
Kweli wanamuonea sana by the way Mimi najua hakuna shetani.



Mimi naishi, hizo mambo sizijui.
Basi nikuhakikishie we ni wa Mungu mkuu alieumba kila kitu na ana mpango juu yako kuhusu kila unachokifanya
Kiwe kibaya au kizuri
 
Mungu si amteketeze shetani wake? Katuumba na madhaifu na shetani bado yupo anategemea nini?
Either amuondoe shetani au atuondolee madhaifu aliyotuumba nayo.
Shetani alikuja duniani akamkuta binadamu so kosa la binadamu ni kumkubali shetani na kumfuata angempinga angesepa zake
So ni sisi binadamu ndio tumemkosea mungu
 
Mungu si amteketeze shetani wake? Katuumba na madhaifu na shetani bado yupo anategemea nini?
Either amuondoe shetani au atuondolee madhaifu aliyotuumba nayo.
Shetani kwa sasa yuko gerezani akisubiri miaka 1000 itakapotimia afunguliwe ajione yuko huru akawakusanye wenzake wote kuingia vitani na Mungu na hapo ndipo watakapoangamizwa ufunuo 20/7-10

So shetani ataangamizwa ila sio leo wala kesho

Yote ni mipango yake mungu
 
Back
Top Bottom