Kuna watu wanamshindanisha Diamond Platnumz na Cristiano Ronaldo

Kuna watu wanamshindanisha Diamond Platnumz na Cristiano Ronaldo

Mfano mtu kama Rostam mbona Utajiri wake upo wazi tu?
-alikuwa na Hisa Vodacom Asilimia 35 kampuni yenye pato la zaidi ya Trilioni kwa mwaka, 2014 aliuza Asilimia 17 ya hisa za voda kwa $250m
-Ana Tenda za barick migodini mimachine kibao yake
-mabiashara mengine kibao kama Taifa Gas etc.

Ronaldo Ana networth ya $500m, Rostam kauza Asilimia 17 kwa 250M, ina maana 18 zilizobakia ni zaidi ya 250M hivyo Hisa za Voda tu tayari zina Thamani kuliko Utajiri wote wa Ronaldo, bado unafikiri ni Utajiri wa makaratasi?

Ukija kwa Mo ndio usiseme Anza Na LG Tanzania, Njoo TCL, njoo bajaji na mabrand kibao ya Kimataifa anaingiza yeye,

Sukari tu kwa mkupuo mmoja anaingiza mamia ya makontena,

Mafuta makumi ya makontena

Ana makampuni kibao unakuta bidhaa moja kama sabuni ana kampuni 3 Hadi 5 zinapambana zenyewe sokoni,

Vinywaji, mashamba, viwanda vya nguo, petroli na mambo kibao.

Kama Unahisi ule Utajiri hawana unaishi kwenye Ndoto mkuu,

Labda mtu aje aseme wanaficha Utajiri wao kidogo nitamulewa ila hawa jamaa wasikie tu hivi.

Anadha pipo hawapendi kuonyesha wazi utajiliwao. Wengine wanapenda misifa, wanaweza honga Forbes wakaingizwa kwenyi topten or 20.


Nikuulize swali mzehe. Ushaona topten yao or 20 akawemo na mwarabu? Wakati waalabu wanahella za kufa mtu kuriko wazungu.,, alakini kwenyi listi hawamo. Hebu nionyeshe top 10 or 20 kama wamo babaa.
 
Anadha pipo hawapendi kuonyesha wazi utajiliwao. Wengine wanapenda misifa, wanaweza honga Forbes wakaingizwa kwenyi topten or 20.


Nikuulize swali mzehe. Ushaona topten yao or 20 akawemo na mwarabu? Wakati waalabu wanahella za kufa mtu kuriko wazungu.,, alakini kwenyi listi hawamo. Hebu nionyeshe top 10 or 20 kama wamo babaa.
Yupo Ally Awadh, GSM, Marehemu Salim Turky etc. Kwa Tanzania.

Ama unamaanisha Kidunia?
 
Mfano mtu kama Rostam mbona Utajiri wake upo wazi tu?
-alikuwa na Hisa Vodacom Asilimia 35 kampuni yenye pato la zaidi ya Trilioni kwa mwaka, 2014 aliuza Asilimia 17 ya hisa za voda kwa $250m
-Ana Tenda za barick migodini mimachine kibao yake
-mabiashara mengine kibao kama Taifa Gas etc.

Ronaldo Ana networth ya $500m, Rostam kauza Asilimia 17 kwa 250M, ina maana 18 zilizobakia ni zaidi ya 250M hivyo Hisa za Voda tu tayari zina Thamani kuliko Utajiri wote wa Ronaldo, bado unafikiri ni Utajiri wa makaratasi?

Ukija kwa Mo ndio usiseme Anza Na LG Tanzania, Njoo TCL, njoo bajaji na mabrand kibao ya Kimataifa anaingiza yeye,

Sukari tu kwa mkupuo mmoja anaingiza mamia ya makontena,

Mafuta makumi ya makontena

Ana makampuni kibao unakuta bidhaa moja kama sabuni ana kampuni 3 Hadi 5 zinapambana zenyewe sokoni,

Vinywaji, mashamba, viwanda vya nguo, petroli na mambo kibao.

Kama Unahisi ule Utajiri hawana unaishi kwenye Ndoto mkuu,

Labda mtu aje aseme wanaficha Utajiri wao kidogo nitamulewa ila hawa jamaa wasikie tu hivi.
Unahangaika bure kutoa explanations, hao wafanyabiashara unaowaongelea Ronaldo hawafikii hata kidogo. Real established business personalities unawalinganisha na mtu aliyesainishwa contract anategemea kulipwa na pesa za matangazo na endorsements.
Acha kabisa kudhalilisha business moguls kwa kuwalinganisha na muajiriwa.
 
Kodi ya watu wa Soka pia ni kubwa wanakatwa 35 mpaka 45% ya kipato chao wasichokitumia. Na kila hela wanayolipwa haimaaanishi ni Thamani yao wanalipa mishahara, wanatumia na wao kama binadamu wengine, wanalipa kodi ya Nyumba etc. There is a reason hakuna Mwanasoka Bilionea so far.

Kuhusu MO mkuu Hebu twende Taratibu.

-MO ni exporter mkubwa wa mitiki, quality ndogo ya mitiki cubic meter ni $900 quality kubwa mpaka $1500 kontena la futi 20 ni Cubic meter 33, so tunaongelea milioni 60 mpaka 120 hivi kwa Container. Jamaa ana Yard nzima, kuna kipindi kila wiki zinaingia gari kama 10 toka mashambani huko Tanga ama Morogoro, so easily tunaongelea Mamia ya macontainer na Revenue makumi ya Bilioni.

-kwenye Katani jamaa ana Heka 40,000 na production yale ni Tani 10,000 kwa mwaka, bei ya Tani sasa hivi ni $850 mpaka $900 hivyo tunaongelea Dola milioni 8 ama 9 hivi ambayo ni zaidi ya bilioni 20.

-Njoo Pamba hapa napo tunaongelea Tani 30,000 mpaka 45,000 ambayo roughly ni hizo Bilioni 30 mpaka 45 haijakuja processed hapo, kiwanda cha nguo cha MO kina capacity ya kutengeneza Mita milioni 100 kwa mwaka, mita moja ya Fabric inategemea ya nini at minimum sokoni ni 1000 ila inaenda mpaka 8000 hivyo tunaongelea market ya mamia ya Bilioni.

Nikupe tu comparison moja hapa, Tanzania Nzima ina heka milioni 86, Metl mashamba wanayohudumia kwenye Pamba tu heka milioni 5.

-kwenye Mawese/crude oil jamaa anaingiza Tani 120,000 kwa mwaka bei ya Tani ni Around $600 hivyo anaspend around $72m kwenye hili, hii ni raw Material tu ya kiwanda ni around bilioni 200 bado haijatoka Final product ambayo ina Thamani zaidi.

Hivi Vyote mkuu, nimebase Kwenye kitu kimoja tu Agriculture, na sijamaliza mazao yote, kuna Korosho hapo, mbaazi, dengu na mengine mengi hata Sina ya Angalia ila tayari tunavuka Bilioni 500 tayari. Bado kuna viwanda na biashara etc. Na hio ni Tanzania tu jamaa yupo Nchi 12.

Naona uvivu kuweka source ya kila kitu, ukihitaji source ya data yoyote unayoitilia mashaka niambie nitakuekea.
Achana na huyo mnuka mkojo.

Anavyochekeana na MO anadhani ni mtu wa mchezo kama yeye.

Mwambie Metl ndo largest employer in private sector in Tz.

Alichangia 2.5% ya GDP (2011 estimates)
 
Ubilionea haupimwi na pato lako la zamani, kama Utajiri unapimwa hivyo basi wengi humu tungekuwa mamilionea. Unapimwa na thamani ya mwaka huu. Hivyo kama anaingiza $64M kwa mwaka haimaaanishi baada ya miaka 10 eti ile $64M bado itakuwepo tu, hizi ni hesabu za kitoto.

Jichukulie mfano wewe am mfanyakazi Serikalini analipwa 700,000 kwa mwezi, baada ya mwaka ni 8.4 milioni na baada ya miaka kumi ni milioni 84, haimaaanishi eti baada ya miaka 10 mfanyakazi atakuwa na milioni 84, Bali atakuwa vile vile kawaida tu, sababu ile Hela imeshaenda kwenye Ada, kodi za Nyumba, hela ya tuition, michepuko, etc.

Hivyo huwezi kuleta kigezo cha hela aliyoingiza zamani kwa Utajiri wa Leo, Utajiri unapimwa kwa pato la sasa. Kiasi cha benki, thamani za Asset etc.
Toka lini shabiki wa Diamond akawa na akili.
 
Kodi ya watu wa Soka pia ni kubwa wanakatwa 35 mpaka 45% ya kipato chao wasichokitumia. Na kila hela wanayolipwa haimaaanishi ni Thamani yao wanalipa mishahara, wanatumia na wao kama binadamu wengine, wanalipa kodi ya Nyumba etc. There is a reason hakuna Mwanasoka Bilionea so far.

Kuhusu MO mkuu Hebu twende Taratibu.

-MO ni exporter mkubwa wa mitiki, quality ndogo ya mitiki cubic meter ni $900 quality kubwa mpaka $1500 kontena la futi 20 ni Cubic meter 33, so tunaongelea milioni 60 mpaka 120 hivi kwa Container. Jamaa ana Yard nzima, kuna kipindi kila wiki zinaingia gari kama 10 toka mashambani huko Tanga ama Morogoro, so easily tunaongelea Mamia ya macontainer na Revenue makumi ya Bilioni.

-kwenye Katani jamaa ana Heka 40,000 na production yale ni Tani 10,000 kwa mwaka, bei ya Tani sasa hivi ni $850 mpaka $900 hivyo tunaongelea Dola milioni 8 ama 9 hivi ambayo ni zaidi ya bilioni 20.

-Njoo Pamba hapa napo tunaongelea Tani 30,000 mpaka 45,000 ambayo roughly ni hizo Bilioni 30 mpaka 45 haijakuja processed hapo, kiwanda cha nguo cha MO kina capacity ya kutengeneza Mita milioni 100 kwa mwaka, mita moja ya Fabric inategemea ya nini at minimum sokoni ni 1000 ila inaenda mpaka 8000 hivyo tunaongelea market ya mamia ya Bilioni.

Nikupe tu comparison moja hapa, Tanzania Nzima ina heka milioni 86, Metl mashamba wanayohudumia kwenye Pamba tu heka milioni 5.

-kwenye Mawese/crude oil jamaa anaingiza Tani 120,000 kwa mwaka bei ya Tani ni Around $600 hivyo anaspend around $72m kwenye hili, hii ni raw Material tu ya kiwanda ni around bilioni 200 bado haijatoka Final product ambayo ina Thamani zaidi.

Hivi Vyote mkuu, nimebase Kwenye kitu kimoja tu Agriculture, na sijamaliza mazao yote, kuna Korosho hapo, mbaazi, dengu na mengine mengi hata Sina ya Angalia ila tayari tunavuka Bilioni 500 tayari. Bado kuna viwanda na biashara etc. Na hio ni Tanzania tu jamaa yupo Nchi 12.

Naona uvivu kuweka source ya kila kitu, ukihitaji source ya data yoyote unayoitilia mashaka niambie nitakuekea.
Ungekua Hujaoa Ningekupa Dada Angu.
 
Kidunia mkuu
Kidunia Kwanza forbes hawa hesabu mtu yoyote Mwenye Utajiri unaohusiana na siasa.

Raisi wa zamani wa angola Do Santos ana hela Dangote haoni ndani, Utajiri Wake ni $20B lakini hahesabiwi.

Hivyo ukishaelewa hili utajua kwanini waarabu wengi hawapo kwenye list.

Kuna watu hazina za Taifa ndio Utajiri wao.

Na sio Waarabu tu kuna Royalty kibao Wana hela ndefu sana prince wa Thailand, Brunei, Luxembourg etc
 
Tangu Mondi anunue Rolls-Royce kuna watu wamekuwa wanasema eti Mondi ndiyo next Bill Gates, wengine eti wametupia picha za Diamond na Rolls Royce yake culinan na kufananisha na Christian Ronaldo na Rolls-royce yake Phantom bila kujua kuwa phantom ni ghali zaidi ya culinan, na ukizingatia Ronaldo ya kwake lazima itakua special order hivyo itakua ghali maradufu kuliko phantom za kawaida, kuliko culinan la jamaa yetu la kuvizia nani anauza mtumba anunue.

Haya sasa kwakuwa umaarufu gharama Christiano Ronaldo kaposti gari mpya leo wiki moja baada ya kuposti Rolls Royce, leo kapost SUV la bei mbaya kuliko yote Mercedes Benz G63 Brabus, bei mara mbili ya culinan kiwandani achilia mbali special edition ya Ronaldo na ofa zake.

Nilisema huyu msanii kaingia cha kike unavunja kibubu cha miaka 10 unanunua gari la billioni wiki moja watu wananunua jingine la billioni tatu haya basi nenda na wewe ukanunue tunakuangalia kama una pumzi.

View attachment 1877966
Kwahiyo muundo wa hii gari ni SUV?...Nimeishia hapo tu nkaona kumbe walewale kipa katoka ujuaji mwingi kumbe hamna kitu
 
Kwahiyo muundo wa hii gari ni SUV?...Nimeishia hapo tu nkaona kumbe walewale kipa katoka ujuaji mwingi kumbe hamna kitu
Aisee unapojiona mjuaji kuona wengine washamba kumbe wewe ni bonge la shamba, kwaiyo G Wagon siyo SUV? Nzi kama nyie sijui mnakurupuka kutokea vyoo gani yaani.
 
Mfano mtu kama Rostam mbona Utajiri wake upo wazi tu?
-alikuwa na Hisa Vodacom Asilimia 35 kampuni yenye pato la zaidi ya Trilioni kwa mwaka, 2014 aliuza Asilimia 17 ya hisa za voda kwa $250m
-Ana Tenda za barick migodini mimachine kibao yake
-mabiashara mengine kibao kama Taifa Gas etc.

Ronaldo Ana networth ya $500m, Rostam kauza Asilimia 17 kwa 250M, ina maana 18 zilizobakia ni zaidi ya 250M hivyo Hisa za Voda tu tayari zina Thamani kuliko Utajiri wote wa Ronaldo, bado unafikiri ni Utajiri wa makaratasi?

Ukija kwa Mo ndio usiseme Anza Na LG Tanzania, Njoo TCL, njoo bajaji na mabrand kibao ya Kimataifa anaingiza yeye,

Sukari tu kwa mkupuo mmoja anaingiza mamia ya makontena,

Mafuta makumi ya makontena

Ana makampuni kibao unakuta bidhaa moja kama sabuni ana kampuni 3 Hadi 5 zinapambana zenyewe sokoni,

Vinywaji, mashamba, viwanda vya nguo, petroli na mambo kibao.

Kama Unahisi ule Utajiri hawana unaishi kwenye Ndoto mkuu,

Labda mtu aje aseme wanaficha Utajiri wao kidogo nitamulewa ila hawa jamaa wasikie tu hivi.
Acheni kumfananisha MO na vitu vya ajabu.....
Screenshot_20210803-165133.jpg
View attachment 1878766
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Kodi ya watu wa Soka pia ni kubwa wanakatwa 35 mpaka 45% ya kipato chao wasichokitumia. Na kila hela wanayolipwa haimaaanishi ni Thamani yao wanalipa mishahara, wanatumia na wao kama binadamu wengine, wanalipa kodi ya Nyumba etc. There is a reason hakuna Mwanasoka Bilionea so far.

Kuhusu MO mkuu Hebu twende Taratibu.

-MO ni exporter mkubwa wa mitiki, quality ndogo ya mitiki cubic meter ni $900 quality kubwa mpaka $1500 kontena la futi 20 ni Cubic meter 33, so tunaongelea milioni 60 mpaka 120 hivi kwa Container. Jamaa ana Yard nzima, kuna kipindi kila wiki zinaingia gari kama 10 toka mashambani huko Tanga ama Morogoro, so easily tunaongelea Mamia ya macontainer na Revenue makumi ya Bilioni.

-kwenye Katani jamaa ana Heka 40,000 na production yale ni Tani 10,000 kwa mwaka, bei ya Tani sasa hivi ni $850 mpaka $900 hivyo tunaongelea Dola milioni 8 ama 9 hivi ambayo ni zaidi ya bilioni 20.

-Njoo Pamba hapa napo tunaongelea Tani 30,000 mpaka 45,000 ambayo roughly ni hizo Bilioni 30 mpaka 45 haijakuja processed hapo, kiwanda cha nguo cha MO kina capacity ya kutengeneza Mita milioni 100 kwa mwaka, mita moja ya Fabric inategemea ya nini at minimum sokoni ni 1000 ila inaenda mpaka 8000 hivyo tunaongelea market ya mamia ya Bilioni.

Nikupe tu comparison moja hapa, Tanzania Nzima ina heka milioni 86, Metl mashamba wanayohudumia kwenye Pamba tu heka milioni 5.

-kwenye Mawese/crude oil jamaa anaingiza Tani 120,000 kwa mwaka bei ya Tani ni Around $600 hivyo anaspend around $72m kwenye hili, hii ni raw Material tu ya kiwanda ni around bilioni 200 bado haijatoka Final product ambayo ina Thamani zaidi.

Hivi Vyote mkuu, nimebase Kwenye kitu kimoja tu Agriculture, na sijamaliza mazao yote, kuna Korosho hapo, mbaazi, dengu na mengine mengi hata Sina ya Angalia ila tayari tunavuka Bilioni 500 tayari. Bado kuna viwanda na biashara etc. Na hio ni Tanzania tu jamaa yupo Nchi 12.

Naona uvivu kuweka source ya kila kitu, ukihitaji source ya data yoyote unayoitilia mashaka niambie nitakuekea.
Safi sana[emoji3581] mkuu
 
Kodi ya watu wa Soka pia ni kubwa wanakatwa 35 mpaka 45% ya kipato chao wasichokitumia. Na kila hela wanayolipwa haimaaanishi ni Thamani yao wanalipa mishahara, wanatumia na wao kama binadamu wengine, wanalipa kodi ya Nyumba etc. There is a reason hakuna Mwanasoka Bilionea so far.

Kuhusu MO mkuu Hebu twende Taratibu.

-MO ni exporter mkubwa wa mitiki, quality ndogo ya mitiki cubic meter ni $900 quality kubwa mpaka $1500 kontena la futi 20 ni Cubic meter 33, so tunaongelea milioni 60 mpaka 120 hivi kwa Container. Jamaa ana Yard nzima, kuna kipindi kila wiki zinaingia gari kama 10 toka mashambani huko Tanga ama Morogoro, so easily tunaongelea Mamia ya macontainer na Revenue makumi ya Bilioni.

-kwenye Katani jamaa ana Heka 40,000 na production yale ni Tani 10,000 kwa mwaka, bei ya Tani sasa hivi ni $850 mpaka $900 hivyo tunaongelea Dola milioni 8 ama 9 hivi ambayo ni zaidi ya bilioni 20.

-Njoo Pamba hapa napo tunaongelea Tani 30,000 mpaka 45,000 ambayo roughly ni hizo Bilioni 30 mpaka 45 haijakuja processed hapo, kiwanda cha nguo cha MO kina capacity ya kutengeneza Mita milioni 100 kwa mwaka, mita moja ya Fabric inategemea ya nini at minimum sokoni ni 1000 ila inaenda mpaka 8000 hivyo tunaongelea market ya mamia ya Bilioni.

Nikupe tu comparison moja hapa, Tanzania Nzima ina heka milioni 86, Metl mashamba wanayohudumia kwenye Pamba tu heka milioni 5.

-kwenye Mawese/crude oil jamaa anaingiza Tani 120,000 kwa mwaka bei ya Tani ni Around $600 hivyo anaspend around $72m kwenye hili, hii ni raw Material tu ya kiwanda ni around bilioni 200 bado haijatoka Final product ambayo ina Thamani zaidi.

Hivi Vyote mkuu, nimebase Kwenye kitu kimoja tu Agriculture, na sijamaliza mazao yote, kuna Korosho hapo, mbaazi, dengu na mengine mengi hata Sina ya Angalia ila tayari tunavuka Bilioni 500 tayari. Bado kuna viwanda na biashara etc. Na hio ni Tanzania tu jamaa yupo Nchi 12.

Naona uvivu kuweka source ya kila kitu, ukihitaji source ya data yoyote unayoitilia mashaka niambie nitakuekea.
Bado plantations za chai huko mbeya
 
Tangu Mondi anunue Rolls-Royce kuna watu wamekuwa wanasema eti Mondi ndiyo next Bill Gates, wengine eti wametupia picha za Diamond na Rolls Royce yake culinan na kufananisha na Christian Ronaldo na Rolls-royce yake Phantom bila kujua kuwa phantom ni ghali zaidi ya culinan, na ukizingatia Ronaldo ya kwake lazima itakua special order hivyo itakua ghali maradufu kuliko phantom za kawaida, kuliko culinan la jamaa yetu la kuvizia nani anauza mtumba anunue.

Haya sasa kwakuwa umaarufu gharama Christiano Ronaldo kaposti gari mpya leo wiki moja baada ya kuposti Rolls Royce, leo kapost SUV la bei mbaya kuliko yote Mercedes Benz G63 Brabus, bei mara mbili ya culinan kiwandani achilia mbali special edition ya Ronaldo na ofa zake.

Nilisema huyu msanii kaingia cha kike unavunja kibubu cha miaka 10 unanunua gari la billioni wiki moja watu wananunua jingine la billioni tatu haya basi nenda na wewe ukanunue tunakuangalia kama una pumzi.

View attachment 1877966

Diamond na management yake wanapenda kusikiliza vya mtandaoni

eti ana gari za japan, kaamua kununua za marekani, no spare no fundis, hata akiagiza spare anaipack

kisa aonekane!!

mtaani diamond kashuka

utube anakimbwa na kiba

anachukiwa
 
Watu naona wanachanganya Dola milioni na hizi za madafu.
Kuna mtu kamuongelea rostam kuwa aliuza hisa zake.just fanya conversation of currency.
Ila dogo Ana hela bana
Mimi nimemuongelea rostam na nikakuandikia kabisa alilipwa dola million 220. It is in dollars not tsh
 
Mimi nimemuongelea rostam na nikakuandikia kabisa alilipwa dola million 220. It is in dollars not tsh
Alipata takribani 450 bilioni Tzs Ila hii hela dogo anayo.
Unajua Nike tu wanamlipa Bei gani.
Mana insta tu hela anayoipata Mana anao followers kibao
 
Alipata takribani 450 bilioni Tzs Ila hii hela dogo anayo.
Unajua Nike tu wanamlipa Bei gani.
Mana insta tu hela anayoipata Mana anao followers kibao
Sijakataa kuwa ronaldo hana pesa, anayo sana kuwa na ukwasi wa million 500 dollar siyo mchezo hyo no about 1.2 tillions tsh.
Nachosema kuna watanzania wahindi na watu kama rostam wana pesa nyingi pia. Sema ndiyo hivyo hawamiliki ma private jets wala ma yatch
 
Sijakataa kuwa ronaldo hana pesa, anayo sana kuwa na ukwasi wa million 500 dollar siyo mchezo hyo no about 1.2 tillions tsh.
Nachosema kuna watanzania wahindi na watu kama rostam wana pesa nyingi pia. Sema ndiyo hivyo hawamiliki ma private jets wala ma yatch
Mnaongea vitu vya kipuuzi sana as if sisi hatufanyi biashara na climate ya biashara ilivyo bongo hatuijui. Eti wahindi.kwani unafikiri wahindi biashara zao wanauzia majini au wanauzia watu kama tunaouzia sisi? Hivi unajua $500 million dollars kwa ronaldo zilivyo rahisi kuzipata kwa jina alilo nalo tofauti na kazi ya kuwauzia wabongo maji na energy. Hakuna mtu hapendi kumiliki private jets bongo sema ugumu uko kwa jinsi ya kupata hiyo hela. Nimeenda mimi india hao wahindi wana private jets kama zote matajiri wa kwao mtu pekee najua bongo yuko vizuri kutoa $70million kununua private jet kama ya ronaldo kwa mbaali ni bakhresa kwa tabu sana hao wengine upupu labda kama hela zao ni za majini ila siyo kwa uchumi wetu huu.
 
Back
Top Bottom