Kuna watu wanamshindanisha Diamond Platnumz na Cristiano Ronaldo

Kuna watu wanamshindanisha Diamond Platnumz na Cristiano Ronaldo

Kwani mtu kuhonga uandikwe trillionaire kunahusiana vipi na kazi za TRA? Wao si wanakagua mahesabu ya kampuni kwani mo analipa kodi au kampuni Ltd ndo inalipa kodi? Alafu mo si anachangiaga kampeni ccm kwani aliwahi kusema haongei na mbwa anaongea na mwenye mbwa? Hata wewe ungetaka uende kuhonga uandikwe billionea sizani kama unakosa.

Hiyo billioni 20 tu ya simba tu kidogo imtoe roho miaka sita, akicheki wanaume wa Azam wanamwaga billioni 320, billioni 34, sijui kawapigia magoti baba zake?
Source ya huo utajiri ni majini au unatoka METL? Sijui kwanini mmekaria nadharia Bakhressa ni tajiri kuliko kila mfanyabiashara huku Tz.. Akina Marehemu Subhash Patel alikuwa tajiri kuliko hata hao akina Mo na Bakhressa.

After all Bakhressa unayemsifia kuna shares kama zote za Mzee Mwinyi huko ndani..
 
Mo anapenda kujibrand kama billionea ili apate mikopo kirahisi benki za nje kunamtu aliuliza kuhusu magu atakua amepata jibu lake hapo.
Mo hawezi sema METL imetoka kwenye turnover ya $30m mpaka $1.5b alafu eti mahesabu ya METL kodi iwe pungufu ya hao waarabu walioshikilia hela za Mwinyi..

Nenda Department ya Large Taxes pale TRA HQ ukaupate ukweli wa nani ni tajiri kati ya METL na SSB..
 
Source ya huo utajiri ni majini au unatoka METL? Sijui kwanini mmekaria nadharia Bakhressa ni tajiri kuliko kila mfanyabiashara huku Tz.. Akina Marehemu Subhash Patel alikuwa tajiri kuliko hata hao akina Mo na Bakhressa.

After all Bakhressa unayemsifia kuna shares kama zote za Mzee Mwinyi huko ndani..
Acha kutuone wapuuzi kama vile siye hatuwajui wwafanyabiashara mji huu.

Skia wewe huyo subash patel alikua ni mdogo wa jeetu pate, enzi za mwinyi na mkapa jeetu patel alikua na hela kuliko kina bakhresa kabla bakhresa hajapanda mpaka kuwafunika.
Baada ya skendo la kupiga pesa za EPA za bot, jeetu ilibidi a step aside amkabidhi biashara zake subash ambaye alikua anamiliki Sea Cliff hotel. Kwaiyo hayo ma kiboko paint/pipe et all, sayona, kunduchi beach, ni pesa zimekuwa channeled through Azania group. Magari ya Eicher haya, ma apartments pale posta CBD yote ile pesa ya jeetu patel kapiga enzi za mwinyi na mkapa.
Ila kwa sasa hao wametulizwa na mtu pekee anaye make big moves ni bakhresa. Hata gsm spidi imepungua baada ya msoga kutoka mjengoni.
 
Sijui hayo mengine ila mo revenue kubwa ingharamikia mikopo na assets ambazo anaweka ni zile anazoomba bure serikalini huu ugomvi wake mkubwa na magufuli alipewa onyo akatishiwa kuchukuliwa mali zote za metl group kama mali za serikali zitachukuliwa na Bank za njee anakokopa ndio family yake ikaanza jikomba jikomba
Unapopimwa Utajiri yote hayo huzingatiwa.

MO amechukua Mkopo billioni 300 toka bank ya South Africa, nani atakupa Mkopo wote Huo bila kuwa na Asset ama pato la ku backup ombi lako la mkopo?

JAMAA ana contribute 2.5% ya GDP ya Tanzania, hilo pekee linahitimisha hii debate, ameajiri watu takriban 24,000 assume wanapata average mshahara laki 4 hio zaidi ya billioni 100 mshahara tu kwa mwaka. Kila data unayoiangalia inakuja mule mule kwamba yeye ni Bilionea.

Na mkuu mimi ni mkaazi wa Tanga kabla ya MO kuchukua mashamba Tanga nakumbuka viongozi wa serikali walikuwa wakipita Nyumba hadi Nyumba unapewa shamba Bure la mkonge, hakuna mtu aliyekuwa interested, mo akakomba Ardhi yote a kaanza kulima yeye, sasa hivi kelele ni nyingi sababu katani imepanda bei soko la Dunia, ila ikishuka Tena yanatekelezwa tena Mashamba yote..

Na mkuu Tajiri ni Tajiri Nchi za ulaya Matajiri wanapewa mpaka Ruzuku as long as anachofanya kina Faida kwa Taifa, hata Leo serikali ya Tanzania isipowapa mashamba na Viwanda vya zamani Basi nchi nyengine zitawapa.

Leo hii serikali isingetoa viwanda vya zamani tusingekuwa tunatengeneza Mashuka, Kanga, vitenge, jeans na mambo mbalimbali wenyewe. Sababu ya juhudi zilizofanyika kwenye Pamba Tunaona Viwanda vingi vimefufuka, even Levi's kampuni kubwa Kabisa Duniani ya Jean's ina Kiwanda Tanzania, Nchi zinazotuzunguka Nyingi tuna Supply bidhaa za Pamba kwao.
 
mnalinganisha Diamond na Ronaldo???really??
Diamond alinganishwe na Zari , Ronaldo mbona maji marefu sana hayo😀😀😀😀😀😀
 
Kaa ujue mo siyo billionea ni tapeli tu kampuni siyo ya kwake peke yake ni biashara ya azim dewji na gulamhusein dewji na ndugu zao, mo ni mtoto tu wa moja wa real owners ambaye ni mtendaji sema ni kawaida yao kumfanya aonekane kama ya kwake ili aonekane billionea ila wakigawana hisa hachukui hata $100m sasa sijui unamfananishaje na ronaldo, we duniani kuna billionea gani hajui hata private jet ikoje ndani? Afadhali hata unitajie bakhresa au gsm kidogo nitakuelewa ila siyo mo, janja janja yule anaagiza hadi mchele mbovu tapeli yule, wafanyakazi hawalipi vizuri.
Hata tapeli anaweza kuwa billionaire kama mali na fedha zake zanafika hesabu hizo, ni kweli MO ni mtoto wa Azim Dweji lakini Azim alishajitoa kitambo katika biashara na kuzikabidhi kwa mwanae. Unajua hata before MO came into the picture Azim was among the top three richest business moguls in TZ? I remember back then tajiri namba moja alikuwa ni Rostam Aziz wakifuata Bakhresa na Azim na kwa mbali namba nne akiwa Mengi na namba tano Ali Mufuruki baada ya kuhamishia biashara zake zote kutoka Kenya kuja Tanzania. Ila top three hawakuwa wameachana mbali kwa thamani za utajiri wao.
 
Source ya huo utajiri ni majini au unatoka METL? Sijui kwanini mmekaria nadharia Bakhressa ni tajiri kuliko kila mfanyabiashara huku Tz.. Akina Marehemu Subhash Patel alikuwa tajiri kuliko hata hao akina Mo na Bakhressa.

After all Bakhressa unayemsifia kuna shares kama zote za Mzee Mwinyi huko ndani..
Siyo Mwinyi peke yake, kumbuka akiwa kapuku hata Salim Ahmed Salim aliwekeza sana. Bakhresa hayuko peke yake lakini hilo si tatizo kwani wafanyabiashara wengi hutumia mfumo huo, there are always powerful personalities behind the scene ambao wao kazi walishamaliza kwa kuwekeza hivyo wakula faida tu.
 
Hata tapeli anaweza kuwa billionaire kama mali na fedha zake zanafika hesabu hizo, ni kweli MO ni mtoto wa Azim Dweji lakini Azim alishajitoa kitambo katika biashara na kuzikabidhi kwa mwanae. Unajua hata before MO came into the picture Azim was among the top three richest business moguls in TZ? I remember back then tajiri namba moja alikuwa ni Rostam Aziz wakifuata Bakhresa na Azim na kwa mbali namba nne akiwa Mengi na namba tano Ali Mufuruki baada ya kuhamishia biashara zake zote kutoka Kenya kuja Tanzania. Ila top three hawakuwa wameachana mbali kwa thamani za utajiri wao.
Sasa kwa huo mtazamo wako tajiri mwenye mali ni Azim ay mo
 
Unapopimwa Utajiri yote hayo huzingatiwa.

MO amechukua Mkopo billioni 300 toka bank ya South Africa, nani atakupa Mkopo wote Huo bila kuwa na Asset ama pato la ku backup ombi lako la mkopo?

JAMAA ana contribute 2.5% ya GDP ya Tanzania, hilo pekee linahitimisha hii debate, ameajiri watu takriban 24,000 assume wanapata average mshahara laki 4 hio zaidi ya billioni 100 mshahara tu kwa mwaka. Kila data unayoiangalia inakuja mule mule kwamba yeye ni Bilionea.

Na mkuu mimi ni mkaazi wa Tanga kabla ya MO kuchukua mashamba Tanga nakumbuka viongozi wa serikali walikuwa wakipita Nyumba hadi Nyumba unapewa shamba Bure la mkonge, hakuna mtu aliyekuwa interested, mo akakomba Ardhi yote a kaanza kulima yeye, sasa hivi kelele ni nyingi sababu katani imepanda bei soko la Dunia, ila ikishuka Tena yanatekelezwa tena Mashamba yote..

Na mkuu Tajiri ni Tajiri Nchi za ulaya Matajiri wanapewa mpaka Ruzuku as long as anachofanya kina Faida kwa Taifa, hata Leo serikali ya Tanzania isipowapa mashamba na Viwanda vya zamani Basi nchi nyengine zitawapa.

Leo hii serikali isingetoa viwanda vya zamani tusingekuwa tunatengeneza Mashuka, Kanga, vitenge, jeans na mambo mbalimbali wenyewe. Sababu ya juhudi zilizofanyika kwenye Pamba Tunaona Viwanda vingi vimefufuka, even Levi's kampuni kubwa Kabisa Duniani ya Jean's ina Kiwanda Tanzania, Nchi zinazotuzunguka Nyingi tuna Supply bidhaa za Pamba kwao.
Mkuu mimi wala sipingani na wewe walichokosna na mwendazake ni anapewa assets yeye hakuziendeleza walipo taka kunyanganya wakakuta hati zake zote zipo ulaya na sio hapo South na mbaya hakuna muendelezo na mkwanja mrefu kachukua mimi huko kwenye nani number moja sipo mie sipo maana hiyo proprietorship firms mwisho familia yake ndio inafaidika ila ukweli metl imewekeza sehemu kubwa huo ushindani wa nani tajir kumzidi mwenzie mie sijui
 
Sasa kwa huo mtazamo wako tajiri mwenye mali ni Azim ay mo
Kwa hilo wanaojua ni wao, wenyewe wanadai baba kila kitu kakabidhi kwa mwanae. Sisi ni outsiders hivyo wanaweza kutueleza chochote kadri wanavyojisikia.
 
Hata tapeli anaweza kuwa billionaire kama mali na fedha zake zanafika hesabu hizo, ni kweli MO ni mtoto wa Azim Dweji lakini Azim alishajitoa kitambo katika biashara na kuzikabidhi kwa mwanae. Unajua hata before MO came into the picture Azim was among the top three richest business moguls in TZ? I remember back then tajiri namba moja alikuwa ni Rostam Aziz wakifuata Bakhresa na Azim na kwa mbali namba nne akiwa Mengi na namba tano Ali Mufuruki baada ya kuhamishia biashara zake zote kutoka Kenya kuja Tanzania. Ila top three hawakuwa wameachana mbali kwa thamani za utajiri wao.
Azim dewji si baba yake MO sidhani hata kama ni ndugu. Baba yake MO anaitwa Gulam.
 
Kodi ya watu wa Soka pia ni kubwa wanakatwa 35 mpaka 45% ya kipato chao wasichokitumia. Na kila hela wanayolipwa haimaaanishi ni Thamani yao wanalipa mishahara, wanatumia na wao kama binadamu wengine, wanalipa kodi ya Nyumba etc. There is a reason hakuna Mwanasoka Bilionea so far.

Kuhusu MO mkuu Hebu twende Taratibu.

-MO ni exporter mkubwa wa mitiki, quality ndogo ya mitiki cubic meter ni $900 quality kubwa mpaka $1500 kontena la futi 20 ni Cubic meter 33, so tunaongelea milioni 60 mpaka 120 hivi kwa Container. Jamaa ana Yard nzima, kuna kipindi kila wiki zinaingia gari kama 10 toka mashambani huko Tanga ama Morogoro, so easily tunaongelea Mamia ya macontainer na Revenue makumi ya Bilioni.

-kwenye Katani jamaa ana Heka 40,000 na production yale ni Tani 10,000 kwa mwaka, bei ya Tani sasa hivi ni $850 mpaka $900 hivyo tunaongelea Dola milioni 8 ama 9 hivi ambayo ni zaidi ya bilioni 20.

-Njoo Pamba hapa napo tunaongelea Tani 30,000 mpaka 45,000 ambayo roughly ni hizo Bilioni 30 mpaka 45 haijakuja processed hapo, kiwanda cha nguo cha MO kina capacity ya kutengeneza Mita milioni 100 kwa mwaka, mita moja ya Fabric inategemea ya nini at minimum sokoni ni 1000 ila inaenda mpaka 8000 hivyo tunaongelea market ya mamia ya Bilioni.

Nikupe tu comparison moja hapa, Tanzania Nzima ina heka milioni 86, Metl mashamba wanayohudumia kwenye Pamba tu heka milioni 5.

-kwenye Mawese/crude oil jamaa anaingiza Tani 120,000 kwa mwaka bei ya Tani ni Around $600 hivyo anaspend around $72m kwenye hili, hii ni raw Material tu ya kiwanda ni around bilioni 200 bado haijatoka Final product ambayo ina Thamani zaidi.

Hivi Vyote mkuu, nimebase Kwenye kitu kimoja tu Agriculture, na sijamaliza mazao yote, kuna Korosho hapo, mbaazi, dengu na mengine mengi hata Sina ya Angalia ila tayari tunavuka Bilioni 500 tayari. Bado kuna viwanda na biashara etc. Na hio ni Tanzania tu jamaa yupo Nchi 12.

Naona uvivu kuweka source ya kila kitu, ukihitaji source ya data yoyote unayoitilia mashaka niambie nitakuekea.
Na bado ananunua cement na kusupply
 
Azim dewji si baba yake MO sidhani hata kama ni ndugu. Baba yake MO anaitwa Gulam.
You're right.
IMG_20210805_174944.jpg
 
Azim dewji si baba yake MO sidhani hata kama ni ndugu. Baba yake MO anaitwa Gulam.
Hahahahah oyaa acheni kutoa info za uzushi, kwani wakati Mo ametekwa nyie mlikua nchi gani wakati Azim dewji anaitisha press na kutangaza kiasi cha billioni moja kwa atakayetoa info za kupatikana kwa "mtoto wetu", .tena Azim ndiyo alikua msemaji kama mkuu wa ukoo na gulam babaake mo alikua pembeni mnasema hawana undugu .
Kaeni mkijua kwamba hela za billionea mo asilimia kubwa ni za Tajiri namba moja enzi za mwinyi wakati akiwa mfadhili wa simba mzee Azim, mo pale hana hata $100m ndo mana 20b za simba kidogo zimtoe roho.
 
Point of correction, MO ni mtoto wa Gulamabbas Dewji. View attachment 1881424
Hahahahah oyaa acheni kutoa info za uzushi, kwani wakati Mo ametekwa nyie mlikua nchi gani wakati Azim dewji anaitisha press na kutangaza kiasi cha billioni moja kwa atakayetoa info za kupatikana kwa "mtoto wetu", .tena Azim ndiyo alikua msemaji kama mkuu wa ukoo na gulam babaake mo alikua pembeni mnasema hawana undugu .
Kaeni mkijua kwamba hela za billionea mo asilimia kubwa ni za Tajiri namba moja enzi za mwinyi wakati akiwa mfadhili wa simba mzee Azim, mo pale hana hata $100m ndo mana 20b za simba kidogo zimtoe roho
 
Hahahahah oyaa acheni kutoa info za uzushi, kwani wakati Mo ametekwa nyie mlikua nchi gani wakati Azim dewji anaitisha press na kutangaza kiasi cha billioni moja kwa atakayetoa info za kupatikana kwa "mtoto wetu", .tena Azim ndiyo alikua msemaji kama mkuu wa ukoo na gulam babaake mo alikua pembeni mnasema hawana undugu .
Kaeni mkijua kwamba hela za billionea mo asilimia kubwa ni za Tajiri namba moja enzi za mwinyi wakati akiwa mfadhili wa simba mzee Azim, mo pale hana hata $100m ndo mana 20b za simba kidogo zimtoe roho.
Kuna uzi hapa pitia wanazungumziwa

Azim, Kasim na Dewji wengine ni jina tu kama una Sema Lyimo ama Tarimo.

Haimaaanishi watu wote wenye ubini wa kimaro ni ndugu.
 
Hahahahah oyaa acheni kutoa info za uzushi, kwani wakati Mo ametekwa nyie mlikua nchi gani wakati Azim dewji anaitisha press na kutangaza kiasi cha billioni moja kwa atakayetoa info za kupatikana kwa "mtoto wetu", .tena Azim ndiyo alikua msemaji kama mkuu wa ukoo na gulam babaake mo alikua pembeni mnasema hawana undugu .
Kaeni mkijua kwamba hela za billionea mo asilimia kubwa ni za Tajiri namba moja enzi za mwinyi wakati akiwa mfadhili wa simba mzee Azim, mo pale hana hata $100m ndo mana 20b za simba kidogo zimtoe roho
Check correctly, si mimi niliyesema hawana undugu ila hapa nime-Google kumjua biological father wake. That's all.
Suala la kuwa nchi gani si issue kwani kila information unaweza kuipata popote ulipo.
View attachment 1881621
 
Mtabishana mtachoka mwisho wa siku tajiri ndo anayejua utajiri wake Kama wa kwakwe au wa ndugu
 
Back
Top Bottom