Kuna watu wanapata like humu za ajabu

Kuna watu wanapata like humu za ajabu

Kitu nimekigundua hii JF kuna watu hata wa comment ''ahahahha'' yaani wacheke ama hata kuweka nukta tu kwenye comment zao wanakula like za kutosha.

Namaana gani? like zinatoka kwa kufahamiana na umaarufu na siyo pointi ama hoja atoazo mtu.. mwingine hata aandike pointi kiasi gani raia wanapita kama hawaoni tetteteehh..

Like za hivi zinaenda sana kwa Ke sijui ndo njia mpya ya kupata attention kutoka kwao. wanaJF kuweni fair kutoa like..
Nimekupa like ili uwe nazo nyingi nawe ili uridhike maana sijui umewaza kitu gani mpaka ukaona like ina umuhimu kiasi icha kuziandikia uzi aya sasa jisikie furaha mana una like sita tayari basi fungua champain ili tufanye kasherehe aaaa
 
Kitu nimekigundua hii JF kuna watu hata wa comment ''ahahahha'' yaani wacheke ama hata kuweka nukta tu kwenye comment zao wanakula like za kutosha.

Namaana gani? like zinatoka kwa kufahamiana na umaarufu na siyo pointi ama hoja atoazo mtu.. mwingine hata aandike pointi kiasi gani raia wanapita kama hawaoni tetteteehh..

Like za hivi zinaenda sana kwa Ke sijui ndo njia mpya ya kupata attention kutoka kwao. wanaJF kuweni fair kutoa like..
Kama hii niliyoitoa kwako hapa sijui nimetenda haki kweli?
 
Back
Top Bottom