Kuna watu wanapata like humu za ajabu

Kuna watu wanapata like humu za ajabu

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]umenikumbusha niliiba nyama nikaingia uvunguni nimejificha kichwa miguu nje nikaishia kutandikwa fimbo na mdingi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nimekupa like ili uwe nazo nyingi nawe ili uridhike maana sijui umewaza kitu gani mpaka ukaona like ina umuhimu kiasi icha kuziandikia uzi aya sasa jisikie furaha mana una like sita tayari basi fungua champain ili tufanye kasherehe aaaa
Kibinadamu unavyotoa kitu unachoamini ni pointi halfu watu wakachunia inaonekana kama kilaza Fulani mwisho wa siku unaacha kabisa kutoa michango yako humu.. Ina maana mkuu like si kitu kidogo
 
Kitu nimekigundua hii JF kuna watu hata wa comment ''ahahahha'' yaani wacheke ama hata kuweka nukta tu kwenye comment zao wanakula like za kutosha.

Namaana gani? like zinatoka kwa kufahamiana na umaarufu na siyo pointi ama hoja atoazo mtu.. mwingine hata aandike pointi kiasi gani raia wanapita kama hawaoni tetteteehh..

Like za hivi zinaenda sana kwa Ke sijui ndo njia mpya ya kupata attention kutoka kwao. wanaJF kuweni fair kutoa like..
Chief bila shaka wewe ulikuwa fb ila umekuja huku umekuta mambo tofauti,sio kwa povu hilo
 
Back
Top Bottom