Kuna watu wanapata like humu za ajabu

Nimekupa like ili uwe nazo nyingi nawe ili uridhike maana sijui umewaza kitu gani mpaka ukaona like ina umuhimu kiasi icha kuziandikia uzi aya sasa jisikie furaha mana una like sita tayari basi fungua champain ili tufanye kasherehe aaaa
 
Kama hii niliyoitoa kwako hapa sijui nimetenda haki kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…