Kuna watu wanapata like humu za ajabu

Kuna watu wanapata like humu za ajabu

Hahahahahahaaaaaaaa.

Kuna mwingine alisema uzi wake unabuma baadhi ya member wakicomment.
Mnachekesha sana aisee.

Likes japo maana yake halisi ni ''Kupongeza" mimi naitumia pia kama kumpa mtu ujumbe kuwa nimepita sehemu aliyopita yeye na yeye akija kuangalia notification ya like niliyompa ataweza kuja kusoma nilichokiandika pia.
Nakazia
 
kama wew Demmis hata ucheke tu like zinakufuata
Muwe mna like kwa wema kwa shem wangu, sio unampa like halafu unamkimbilia chemba na kumuuliza "umeona kule nimekupa like?" Nanini nanini zisiwe nyingi. Ukimfata umfate na sms ya tigopesa mbele.
 
Muwe mna like kwa wema kwa shem wangu, sio unampa like halafu unamkimbilia chemba na kumuuliza "umeona kule nimekupa like?" Nanini nanini zisiwe nyingi. Ukimfata umfate na sms ya tigopesa mbele.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kitu nimekigundua hii JF kuna watu hata wa comment ''ahahahha'' yaani wacheke ama hata kuweka nukta tu kwenye comment zao wanakula like za kutosha.

Namaana gani? like zinatoka kwa kufahamiana na umaarufu na siyo pointi ama hoja atoazo mtu.. mwingine hata aandike pointi kiasi gani raia wanapita kama hawaoni tetteteehh..

Like za hivi zinaenda sana kwa Ke sijui ndo njia mpya ya kupata attention kutoka kwao. wanaJF kuweni fair kutoa like..
Hahahahahah! Inabidi kila mtu ajijengee umaarufu ili kupata likes za kutosha
 
Mfano mimi, Sakie na pacha wangu hata wakiandika uchafu gani nawapa tu like

Mwingine ni Bi Faiza
 
Back
Top Bottom