Kuna watu wanapenda uharibu kazi

Kuna watu wanapenda uharibu kazi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Mfano

Kuna Ps
Kuna dereva
Halafu kuna wewe jumla mpo watatu mnadili na boss, mmoja boss anasafiri wote mna taarifa, watatu wengine hawana akitaka kusafiri au akiondoka wewe unawapa taarifa pc na dereva

Sasa akasafiri akatakiwa kurudi baada wiki mbili lakini gafla mambo yakabadilika akarudi baada ya siku moja, kabla ya kurudi unamuuliza dereva mmefika vipi? Kimya hajajibu sms kesho asubuhi unamuuliza tena vipi kaka ratiba zinaenda sawa? Kimya hajibu. Unaamua zako saa saba kunijimwaga kupumzika home gafla saa kumi boss anakutumia sms nipo njiani narudi unaanza wewe kukimbizana ili akukute pale kituoni wakati huo dereva anajua kila kitu na kakaa kimya

Ila wewe unawapa ishara zote ili waonekane wanawajibika vizuri ila wao ni kama wanaungana kukuharibia, hivi unaweza wachukuliaje?

Wanafika unamuuliza dereva vipi sms zangu haukuziona? Anacheka tu oh tutaongea. Hivi na mimi nikisema nianze kukaza fuvu kutowapa ishara tena nitakuwa nimekosea?
 
Mfano

Kuna Pc
Kuna dereva
Afu kuna wewe jumla mpo watatu mna dili na boss mmoja boss anasafiri wote mnatarifa watatu wengine hawana akitaka kusafir au akiondoka wew unawapa taarifa pc na dereva

Sasa akasafiri akatakiwa kurudi baada wiki mbili lakin gafla mamb yakabadirika akarudi baada ya siku moja kabla ya kurudi unamuuliza dereva mefika vip kimya ajajibu sms kesho morng unamuuliza tena vip kaka ratiba zinaenda sawa kimya ajajibu unaamua zako saa saba kunijimwaga kupumzika home gafla saa kumi boss anakutumia sms nipo njian narudi unaanza wewe kukimbizana ili akukute pale kituoni wakati uho dereva anajua kila kitu kakulia kimya

Ila wewe unawapa ishara zote ili waonekane wanawajibika vizuri ila wao ni kama wanaunga kukuharibia mimi unaweza wachukuliaje? Wanafika unamuuliza dereva vip sms zangu haukuziona? Anacheka tu oh tutaongea na mimi nikisema nianze kukaza fuvu kuto wapa ishara tena nitakuwa nimekosea?
Ishi nae kwa namna anayotaka yeye, lakini pia hakikisha unafuata ratiba zako za kazi.
 
Back
Top Bottom