kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
Shida ipo kwa mtu mmojaHampendan hapo offcn, mnanafkiana, pia kila mtu anapambana awe chawa wa boss ! Be careful
Nimekwazika sanaNdio mkuu tengeneza boundaries mtu atayevuka ikiwa anajua huyo atakuwa anakutafuta
Ni kweli kabissHakuna urafiki kazini,
Tabia ya kumchoma mtu kwa mkuu kwangu hiyo sina kabisa wengi wanashauri nifanye ivyo ila wapi nashindwaLengo kukuharibia kwa Boss. Kisha atasingizia Boss alisema ni siri