Kuna wengine hatujui tulipokosea

Hapo ulikosea nawe ungeacha Move uendelee 😅😅😅mtu anakupikia msosi mzuri hivo hadi nazi 😅😅😅
 
Nimeumia kwa nini hukuzaa na Dav 😊kwa lile Penzi shata shata
 
Dadakidoti
Mda sasa hujaenda kanda ya ziwa kwa akina baby ujue
kipenzi sioni cha kunipeleka kanda ya ziwa tena. mwaka juzi mwezi wa kumi nilimzika babu yangu mzaa mama, mwaka jana nimemzika mwezi wa tatu nikamzika babu mzaa mama na mwaka jana pia mwezi wa nne nikamzika tena bibi mzaa mama. kwahiyo hao waliokuwa kama wazazi kwangu wameondoka tena kwa kufuatana ulikuwa mwaka mgumu sana kwangu.
 
Poleni sanaa
 
sio pastor naomba nieleweke. nimesema mtumishi wa Mungu. kuna aina nyingi ya watumishi. labda ni mwimbaji, au mwinjilist au shemasi au vinginevyo. Achana nae huyo. sio kwamba nimeandika kila kitu mpenzi. nimeelezea tu kwa ufupi.
Mbona hukumrudia Omar...?!
 
Aisee, pole sanaa
 
Pole sana Dadakidoti
Kwa changamoto ulizopitia
Sijui kwann chozi limenitoka
Sijawahi kuona mama anakana watoto wake huyo si mma ni shetani
inauma sana ila ndio maisha fikria mtu una hamu kumuona unafikria ukimwona utakapomwona utamkumbatia kwa furaha lakini inakuwa tofauti. ila sasa hivi nishajionea sawa. namshukuru Mungu alinipa nafasi ya kumwona mama yangu kwa sura na bado naweza kumuona tofauti na wale wanaopoteza wazazi wao wakiwa wadogo. mama zao wanaishia kuona picha au kuadithiwa alikuwa hivi alikuwa vile. lakini mimi Mungu amanipa upendeleo wa kumuona japo hana mapenzi na mimi namshukuru sana Mungu kwa hilo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…