Kuna wengine hatujui tulipokosea

Ei nafikiri pole haikufai asee, unafaa hongera... Hongera sana.
Kuna Mdau alisema mara nyingi watu wanaonapitia kashkash nzito hua na kitu cha kipekee ndani. Nafikiri wewe ni miongoni. Wishing you Great Future.
 
Wakuu huo uzi ulioandikwa na patrickk naupataje? Mtu anipe link tafadhali
 
Dav ananitamani leo kesho. mimi nimepita matatizo mengi hvyo hata wazo la kuolewa sina kabisa akilini mwangu.
Pole sana dada kwa uliyopitia, maisha ni 10% ya Yale tunapitia na 99% ya vile tunaamua kurespond Yale tuliyopitia, sis tumesoma story tumeumia lakin wew uli experience hayo yote Tena ukiwa peke Yako. Hatuna nafasi sana ya kuweza kukushaur nin Cha kufanya sababu mwitikio wako kwa Yale uliyopitia yalikua ndyo yamekuweka hai na Hadi Sasa umekua na confidence ya kuweza kutusimulia.

Pamoja na kua hatuna nafasi kubwa ya kushauri lakin kwa Ile nafasi ndg tuliyonayo mim nami naunga mkono wa kuangalia kua na mahusiano Tena, naweza mpendekeza Dav lakin kama ukipinga basi mwingine yeyote ambae moyo wako utaridhia, hii ni kwa afya ya akili Yako na itapendeza mkiwa rasmi mbele za Mungu Ili iwe ni sehemu ya ibada pia🙏
 
Reactions: rr4
Ok
 
Ei nafikiri pole haikufai asee, unafaa hongera... Hongera sana.
Kuna Mdau alisema mara nyingi watu wanaonapitia kashkash nzito hua na kitu cha kipekee ndani. Nafikiri wewe ni miongoni. Wishing you Great Future.
asante sasa na mimi naamini hivyo lazima kuna sababu ya mimi kuyapitia hayo.
 
asante. nahitaji kutulia kwanza
 
nilikuwa napitia commet leo kuanzia page ya kwanza. walio upande wa Dav mnazidi kuwa wengi... basi niungeni na mimi mkono jmn. ujue wewe mimi ni mwanamke mwenzako wewe
Msimamo wangu ni uleule naomba nikuone na Dav mmalizie vizuri uzee wenu
 
Naweka kambi hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…