Kuna wengine hatujui tulipokosea

Kuna wengine hatujui tulipokosea

Ep 8

Naanza shule kumbe shule yenyewe ni kwa ajili ya kurudia mtihani wa kidato cha nne baba hajawahi kuonekana mbele ya macho yangu zaidi ya kuongea kwenye simu tu. Kipindi cha shule kilikuwa kigumu sana. Baba anatuma pesa kupitia simu ya mamkubwa kwa ajili ya nauli na matumizi mengine lakini napewa hela ndogo nauli napewa mitano tu na ni sehemu ya kupanda daladala mbili kwenda na kurudi ni mianane hapo hujanywa hata maji. Nalikuwa naambiwa kuwa wakati wa kwenda shule niwe nawahi kutoka nitembee kwa mguu alafu wakati wa kurudi sababu tunachelewa kutoka ndo nipande daladala.

Kwa bamkubwa hawana umeme wala solar hivyo wanatumia vibatali. Japo majirani zao wote wana umeme. Hivyo nilikuwa na bajate yangu ya kununua mafuta yangu kwa ajili ya kujisomea usiku siruhusiwi kutumia mafuta ya familia. Watoto wa mamkubwa wakawa wananichezea mchezo nikinunua mafuta wananivizia wanamwaga maji chini wanachukua mafuta yangu na kunambia kuwa mafuta yangu yamemwagika.

Namshukuru Mungu baba alikuwa anamwelewa shemeji yake yaani mamkubwa hivyo akituma pesa kwa mamkubwa ananitumia na mimi kisiri hayo ndo yakawa Maisha yangu ya shule. Masomo yalikuwa yanaanza saa sita mchana na kutoka jioni saa kumi na moja mpaka uje ufike nyumbani saa moja mpaka saa mbili.

Nimeshazoea mazingira naona sawa tu. Ukinywa chai asubuhi mpaka cha usiku na ukichelewa kufika nyumbani ukakuta wameshakula hawakuwekei chakula utasubiri asubuhi chai. Nilivyoona vile nikasema Lisa ukiendelea kuwa mzembe utakufa kwa njaa hapa. Kumbuka nalala na kuku tena wa kienyeji hivyo namimi nikaanza kuiba mayai usiku naiba mayai yangu matatu naweka kwenye begi naenda nayo shule napita kwa muuza chips nampa mayai matatu na sh miatano jioni napita nachukua chips yangu yai tena nakula nikishiba ndo narudi nyumbani. Nikute wamekula hawajala wala sina mpango na chakula chao. Mamkubwa anamwambia baba mwanao ameanza kuwa na wanaume huyu akirudi hali chakula nyumbani kila siku anasema kashiba kumbe mie najisevia mayai na hawakunigundua mpaka natoka pale.

Dav ananitafuta yeye anasoma Mzumbe University mawasilano yanakuwa nikiwa shule kama weekend mara kwa mara anakuja kunitembelea. Siku nyingine anakuja na marafiki zake ananitambulisha kwao kama mdogo wake. Tunaanza kuishi Maisha ya dada na kaka na Dav ananisaport vitu vidogo vidogo.

Shule na Maisha kwa bamkubwa hayakuwa rahisi hata kidogo. Kusimangwa kwa vitu vidogovidogo. Kuibiwa hela ukitoka tu wazee wanazama wanakupekua mpaka unasema nini hiki hata wakikutana n amia wanasepa nayo. Matokeo nimefeli tena.

Baba anarudi kutoka Tanga nafurahi kumwona baba amerudi amechoka hana nuru baba yangu yaani kazeeka sana. Baba nae hana pa kuishi amefikia pale kwa kaka yake. Hakuna kipindi nachukia kukikumbuka kama kipindi hiki.

Baada ya kufeli tena naambiwa nije dar kwa baba mdogo nije wanitafutie kozi yoyote nisomee. Hapo haulizwi kuwa utaenda au utaenda ni amri tu inatolewa nawe unafuata. Namshirikisha Dav ananiambia kwanini wanakwambia uende dar? Lisa unapita magumu sana huko dar unapoenda hujawajua bado kama ilivyokuwa kwa baba yako mkubwa na je ukikuta mambo ni magumu zaidi ya hapa utafanyaje? Kaka Dav ngoja niende itakavyokuwa hivyo hivyo sina jinsi tena. Natamani kurudi kijijini lakini siwezi ngoja nione Dar itakuwaje labda nitapata mwanga kidogo.

Dav anajua kwa uchache baadhi ya mapito yangu sababu namshirikisha na amekuwa mshuri wangu mkubwa sasa.

Nimefika Dar kwa baba mdogo Watoto wake wapo shule wanasoma boarding wapo na mdada wa kazi. Mazingira ni mazuri tu mama mdogo ndo anapewa jukumu la kufuatilia nafasi za chuo. Tunaenda magogoni tunakosa nafasi tunaambiwa nisubiri mpaka muhula mpya.

Wakati naendelea kusubiri natembezwa kwa baadhi ya ndugu zangu baba zangu wakubwa na wadogo ni wapo wengi sababu babu alikuwa ameoa wanawake watatu kwahiyo alikuwa na Watoto wengi. Wengi wao wapo hapa Dar na baadhi yao wamejipata wengine ndo hivo tena.

Ruti za kuzunguka kwa ndugu zangu zinaendelea napelekwa mpaka kwa mjomba wangu ambae anaishi na mdogo wangu tunayezaliwa tumbo moja kwa baba mama toka amezaliwa sijawahi kumwona nina hamu kubwa sana ya kukutana na mdogo wangu Joy (si jina lake)) nafika kwa mjomba joy ndo anafungua geti mzuri sana anafanana na baba copy na paste nieleweke baba nae ni hansome hivyo Joy japo nakufanana na baba ni mzuri sana.

Namkimbilia Joy kumuwao ananikwepa yaana hata kiherehere na mimi hana kabisa hii moment huwa inaniuma sana.

Nimeambiw nitakaa pale wiki mbili ili tuweze kuzoeana na Joy. Joy anaanza kulia na kumwambia mjomba kuwa hataki kuniona na ni bora ningekuwa nimekufa tu.

Kinaitwa kikao na mama anakuja Joy analazimishwa aniombe msamaha tena kwa kupiga magoti. Joy ananiomba msamaha kwa kulazimishwa ila bado ananichukia.

Mama naye analazimishwa twende naye kwake tupajue anapoishi. Mama anakubali kishingo upande. Njiani anatupa somo sikia nyie Watoto tukifika nyumbani sitaki kusikia mtoto hata mmoja ananiita mama yake atakayethubutu kufanya hivyo nitakachokifanya atasahau kuwa mimi ni mama yake niiteni shangazi mnasikia nyie wajinga wawili. Nimemnukuu mama.

Tunafika kwa mama kumbe mama ameolewa na mwanaume mwingine ana hela chafu mama anaishi kama malkia. Mume wa mama anamwambia mbona Lisa anafanana sana na wewe. Mama anajibu lazima tufanane sababu mimi ni shangazi yake.

Nimechoka uwii kuandika si mchezo.
 
Ep 8

Naanza shule kumbe shule yenyewe ni kwa ajili ya kurudia mtihani wa kidato cha nne baba hajawahi kuonekana mbele ya macho yangu zaidi ya kuongea kwenye simu tu. Kipindi cha shule kilikuwa kigumu sana. Baba anatuma pesa kupitia simu ya mamkubwa kwa ajili ya nauli na matumizi mengine lakini napewa hela ndogo nauli napewa mitano tu na ni sehemu ya kupanda daladala mbili kwenda na kurudi ni mianane hapo hujanywa hata maji. Nalikuwa naambiwa kuwa wakati wa kwenda shule niwe nawahi kutoka nitembee kwa mguu alafu wakati wa kurudi sababu tunachelewa kutoka ndo nipande daladala.

Kwa bamkubwa hawana umeme wala solar hivyo wanatumia vibatali. Japo majirani zao wote wana umeme. Hivyo nilikuwa na bajate yangu ya kununua mafuta yangu kwa ajili ya kujisomea usiku siruhusiwi kutumia mafuta ya familia. Watoto wa mamkubwa wakawa wananichezea mchezo nikinunua mafuta wananivizia wanamwaga maji chini wanachukua mafuta yangu na kunambia kuwa mafuta yangu yamemwagika.

Namshukuru Mungu baba alikuwa anamwelewa shemeji yake yaani mamkubwa hivyo akituma pesa kwa mamkubwa ananitumia na mimi kisiri hayo ndo yakawa Maisha yangu ya shule. Masomo yalikuwa yanaanza saa sita mchana na kutoka jioni saa kumi na moja mpaka uje ufike nyumbani saa moja mpaka saa mbili.

Nimeshazoea mazingira naona sawa tu. Ukinywa chai asubuhi mpaka cha usiku na ukichelewa kufika nyumbani ukakuta wameshakula hawakuwekei chakula utasubiri asubuhi chai. Nilivyoona vile nikasema Lisa ukiendelea kuwa mzembe utakufa kwa njaa hapa. Kumbuka nalala na kuku tena wa kienyeji hivyo namimi nikaanza kuiba mayai usiku naiba mayai yangu matatu naweka kwenye begi naenda nayo shule napita kwa muuza chips nampa mayai matatu na sh miatano jioni napita nachukua chips yangu yai tena nakula nikishiba ndo narudi nyumbani. Nikute wamekula hawajala wala sina mpango na chakula chao. Mamkubwa anamwambia baba mwanao ameanza kuwa na wanaume huyu akirudi hali chakula nyumbani kila siku anasema kashiba kumbe mie najisevia mayai na hawakunigundua mpaka natoka pale.

Dav ananitafuta yeye anasoma Mzumbe University mawasilano yanakuwa nikiwa shule kama weekend mara kwa mara anakuja kunitembelea. Siku nyingine anakuja na marafiki zake ananitambulisha kwao kama mdogo wake. Tunaanza kuishi Maisha ya dada na kaka na Dav ananisaport vitu vidogo vidogo.

Shule na Maisha kwa bamkubwa hayakuwa rahisi hata kidogo. Kusimangwa kwa vitu vidogovidogo. Kuibiwa hela ukitoka tu wazee wanazama wanakupekua mpaka unasema nini hiki hata wakikutana n amia wanasepa nayo. Matokeo nimefeli tena.

Baba anarudi kutoka Tanga nafurahi kumwona baba amerudi amechoka hana nuru baba yangu yaani kazeeka sana. Baba nae hana pa kuishi amefikia pale kwa kaka yake. Hakuna kipindi nachukia kukikumbuka kama kipindi hiki.

Baada ya kufeli tena naambiwa nije dar kwa baba mdogo nije wanitafutie kozi yoyote nisomee. Hapo haulizwi kuwa utaenda au utaenda ni amri tu inatolewa nawe unafuata. Namshirikisha Dav ananiambia kwanini wanakwambia uende dar? Lisa unapita magumu sana huko dar unapoenda hujawajua bado kama ilivyokuwa kwa baba yako mkubwa na je ukikuta mambo ni magumu zaidi ya hapa utafanyaje? Kaka Dav ngoja niende itakavyokuwa hivyo hivyo sina jinsi tena. Natamani kurudi kijijini lakini siwezi ngoja nione Dar itakuwaje labda nitapata mwanga kidogo.

Dav anajua kwa uchache baadhi ya mapito yangu sababu namshirikisha na amekuwa mshuri wangu mkubwa sasa.

Nimefika Dar kwa baba mdogo Watoto wake wapo shule wanasoma boarding wapo na mdada wa kazi. Mazingira ni mazuri tu mama mdogo ndo anapewa jukumu la kufuatilia nafasi za chuo. Tunaenda magogoni tunakosa nafasi tunaambiwa nisubiri mpaka muhula mpya.

Wakati naendelea kusubiri natembezwa kwa baadhi ya ndugu zangu baba zangu wakubwa na wadogo ni wapo wengi sababu babu alikuwa ameoa wanawake watatu kwahiyo alikuwa na Watoto wengi. Wengi wao wapo hapa Dar na baadhi yao wamejipata wengine ndo hivo tena.

Ruti za kuzunguka kwa ndugu zangu zinaendelea napelekwa mpaka kwa mjomba wangu ambae anaishi na mdogo wangu tunayezaliwa tumbo moja kwa baba mama toka amezaliwa sijawahi kumwona nina hamu kubwa sana ya kukutana na mdogo wangu Joy (si jina lake)) nafika kwa mjomba joy ndo anafungua geti mzuri sana anafanana na baba copy na paste nieleweke baba nae ni hansome hivyo Joy japo nakufanana na baba ni mzuri sana.

Namkimbilia Joy kumuwao ananikwepa yaana hata kiherehere na mimi hana kabisa hii moment huwa inaniuma sana.

Nimeambiw nitakaa pale wiki mbili ili tuweze kuzoeana na Joy. Joy anaanza kulia na kumwambia mjomba kuwa hataki kuniona na ni bora ningekuwa nimekufa tu.

Kinaitwa kikao na mama anakuja Joy analazimishwa aniombe msamaha tena kwa kupiga magoti. Joy ananiomba msamaha kwa kulazimishwa ila bado ananichukia.

Mama naye analazimishwa twende naye kwake tupajue anapoishi. Mama anakubali kishingo upande. Njiani anatupa somo sikia nyie Watoto tukifika nyumbani sitaki kusikia mtoto hata mmoja ananiita mama yake atakayethubutu kufanya hivyo nitakachokifanya atasahau kuwa mimi ni mama yake niiteni shangazi mnasikia nyie wajinga wawili. Nimemnukuu mama.

Tunafika kwa mama kumbe mama ameolewa na mwanaume mwingine ana hela chafu mama anaishi kama malkia. Mume wa mama anamwambia mbona Lisa anafanana sana na wewe. Mama anajibu lazima tufanane sababu mimi ni shangazi yake.

Nimechoka uwii kuandika si mchezo.
Aisee pole. Hujakosea popote. This touched me duh
 
Ep 8

Naanza shule kumbe shule yenyewe ni kwa ajili ya kurudia mtihani wa kidato cha nne baba hajawahi kuonekana mbele ya macho yangu zaidi ya kuongea kwenye simu tu. Kipindi cha shule kilikuwa kigumu sana. Baba anatuma pesa kupitia simu ya mamkubwa kwa ajili ya nauli na matumizi mengine lakini napewa hela ndogo nauli napewa mitano tu na ni sehemu ya kupanda daladala mbili kwenda na kurudi ni mianane hapo hujanywa hata maji. Nalikuwa naambiwa kuwa wakati wa kwenda shule niwe nawahi kutoka nitembee kwa mguu alafu wakati wa kurudi sababu tunachelewa kutoka ndo nipande daladala.

Kwa bamkubwa hawana umeme wala solar hivyo wanatumia vibatali. Japo majirani zao wote wana umeme. Hivyo nilikuwa na bajate yangu ya kununua mafuta yangu kwa ajili ya kujisomea usiku siruhusiwi kutumia mafuta ya familia. Watoto wa mamkubwa wakawa wananichezea mchezo nikinunua mafuta wananivizia wanamwaga maji chini wanachukua mafuta yangu na kunambia kuwa mafuta yangu yamemwagika.

Namshukuru Mungu baba alikuwa anamwelewa shemeji yake yaani mamkubwa hivyo akituma pesa kwa mamkubwa ananitumia na mimi kisiri hayo ndo yakawa Maisha yangu ya shule. Masomo yalikuwa yanaanza saa sita mchana na kutoka jioni saa kumi na moja mpaka uje ufike nyumbani saa moja mpaka saa mbili.

Nimeshazoea mazingira naona sawa tu. Ukinywa chai asubuhi mpaka cha usiku na ukichelewa kufika nyumbani ukakuta wameshakula hawakuwekei chakula utasubiri asubuhi chai. Nilivyoona vile nikasema Lisa ukiendelea kuwa mzembe utakufa kwa njaa hapa. Kumbuka nalala na kuku tena wa kienyeji hivyo namimi nikaanza kuiba mayai usiku naiba mayai yangu matatu naweka kwenye begi naenda nayo shule napita kwa muuza chips nampa mayai matatu na sh miatano jioni napita nachukua chips yangu yai tena nakula nikishiba ndo narudi nyumbani. Nikute wamekula hawajala wala sina mpango na chakula chao. Mamkubwa anamwambia baba mwanao ameanza kuwa na wanaume huyu akirudi hali chakula nyumbani kila siku anasema kashiba kumbe mie najisevia mayai na hawakunigundua mpaka natoka pale.

Dav ananitafuta yeye anasoma Mzumbe University mawasilano yanakuwa nikiwa shule kama weekend mara kwa mara anakuja kunitembelea. Siku nyingine anakuja na marafiki zake ananitambulisha kwao kama mdogo wake. Tunaanza kuishi Maisha ya dada na kaka na Dav ananisaport vitu vidogo vidogo.

Shule na Maisha kwa bamkubwa hayakuwa rahisi hata kidogo. Kusimangwa kwa vitu vidogovidogo. Kuibiwa hela ukitoka tu wazee wanazama wanakupekua mpaka unasema nini hiki hata wakikutana n amia wanasepa nayo. Matokeo nimefeli tena.

Baba anarudi kutoka Tanga nafurahi kumwona baba amerudi amechoka hana nuru baba yangu yaani kazeeka sana. Baba nae hana pa kuishi amefikia pale kwa kaka yake. Hakuna kipindi nachukia kukikumbuka kama kipindi hiki.

Baada ya kufeli tena naambiwa nije dar kwa baba mdogo nije wanitafutie kozi yoyote nisomee. Hapo haulizwi kuwa utaenda au utaenda ni amri tu inatolewa nawe unafuata. Namshirikisha Dav ananiambia kwanini wanakwambia uende dar? Lisa unapita magumu sana huko dar unapoenda hujawajua bado kama ilivyokuwa kwa baba yako mkubwa na je ukikuta mambo ni magumu zaidi ya hapa utafanyaje? Kaka Dav ngoja niende itakavyokuwa hivyo hivyo sina jinsi tena. Natamani kurudi kijijini lakini siwezi ngoja nione Dar itakuwaje labda nitapata mwanga kidogo.

Dav anajua kwa uchache baadhi ya mapito yangu sababu namshirikisha na amekuwa mshuri wangu mkubwa sasa.

Nimefika Dar kwa baba mdogo Watoto wake wapo shule wanasoma boarding wapo na mdada wa kazi. Mazingira ni mazuri tu mama mdogo ndo anapewa jukumu la kufuatilia nafasi za chuo. Tunaenda magogoni tunakosa nafasi tunaambiwa nisubiri mpaka muhula mpya.

Wakati naendelea kusubiri natembezwa kwa baadhi ya ndugu zangu baba zangu wakubwa na wadogo ni wapo wengi sababu babu alikuwa ameoa wanawake watatu kwahiyo alikuwa na Watoto wengi. Wengi wao wapo hapa Dar na baadhi yao wamejipata wengine ndo hivo tena.

Ruti za kuzunguka kwa ndugu zangu zinaendelea napelekwa mpaka kwa mjomba wangu ambae anaishi na mdogo wangu tunayezaliwa tumbo moja kwa baba mama toka amezaliwa sijawahi kumwona nina hamu kubwa sana ya kukutana na mdogo wangu Joy (si jina lake)) nafika kwa mjomba joy ndo anafungua geti mzuri sana anafanana na baba copy na paste nieleweke baba nae ni hansome hivyo Joy japo nakufanana na baba ni mzuri sana.

Namkimbilia Joy kumuwao ananikwepa yaana hata kiherehere na mimi hana kabisa hii moment huwa inaniuma sana.

Nimeambiw nitakaa pale wiki mbili ili tuweze kuzoeana na Joy. Joy anaanza kulia na kumwambia mjomba kuwa hataki kuniona na ni bora ningekuwa nimekufa tu.

Kinaitwa kikao na mama anakuja Joy analazimishwa aniombe msamaha tena kwa kupiga magoti. Joy ananiomba msamaha kwa kulazimishwa ila bado ananichukia.

Mama naye analazimishwa twende naye kwake tupajue anapoishi. Mama anakubali kishingo upande. Njiani anatupa somo sikia nyie Watoto tukifika nyumbani sitaki kusikia mtoto hata mmoja ananiita mama yake atakayethubutu kufanya hivyo nitakachokifanya atasahau kuwa mimi ni mama yake niiteni shangazi mnasikia nyie wajinga wawili. Nimemnukuu mama.

Tunafika kwa mama kumbe mama ameolewa na mwanaume mwingine ana hela chafu mama anaishi kama malkia. Mume wa mama anamwambia mbona Lisa anafanana sana na wewe. Mama anajibu lazima tufanane sababu mimi ni shangazi yake.

Nimechoka uwii kuandika si mchezo.
Pole sana asee!! Duh
 
Ep 8

Naanza shule kumbe shule yenyewe ni kwa ajili ya kurudia mtihani wa kidato cha nne baba hajawahi kuonekana mbele ya macho yangu zaidi ya kuongea kwenye simu tu. Kipindi cha shule kilikuwa kigumu sana. Baba anatuma pesa kupitia simu ya mamkubwa kwa ajili ya nauli na matumizi mengine lakini napewa hela ndogo nauli napewa mitano tu na ni sehemu ya kupanda daladala mbili kwenda na kurudi ni mianane hapo hujanywa hata maji. Nalikuwa naambiwa kuwa wakati wa kwenda shule niwe nawahi kutoka nitembee kwa mguu alafu wakati wa kurudi sababu tunachelewa kutoka ndo nipande daladala.

Kwa bamkubwa hawana umeme wala solar hivyo wanatumia vibatali. Japo majirani zao wote wana umeme. Hivyo nilikuwa na bajate yangu ya kununua mafuta yangu kwa ajili ya kujisomea usiku siruhusiwi kutumia mafuta ya familia. Watoto wa mamkubwa wakawa wananichezea mchezo nikinunua mafuta wananivizia wanamwaga maji chini wanachukua mafuta yangu na kunambia kuwa mafuta yangu yamemwagika.

Namshukuru Mungu baba alikuwa anamwelewa shemeji yake yaani mamkubwa hivyo akituma pesa kwa mamkubwa ananitumia na mimi kisiri hayo ndo yakawa Maisha yangu ya shule. Masomo yalikuwa yanaanza saa sita mchana na kutoka jioni saa kumi na moja mpaka uje ufike nyumbani saa moja mpaka saa mbili.

Nimeshazoea mazingira naona sawa tu. Ukinywa chai asubuhi mpaka cha usiku na ukichelewa kufika nyumbani ukakuta wameshakula hawakuwekei chakula utasubiri asubuhi chai. Nilivyoona vile nikasema Lisa ukiendelea kuwa mzembe utakufa kwa njaa hapa. Kumbuka nalala na kuku tena wa kienyeji hivyo namimi nikaanza kuiba mayai usiku naiba mayai yangu matatu naweka kwenye begi naenda nayo shule napita kwa muuza chips nampa mayai matatu na sh miatano jioni napita nachukua chips yangu yai tena nakula nikishiba ndo narudi nyumbani. Nikute wamekula hawajala wala sina mpango na chakula chao. Mamkubwa anamwambia baba mwanao ameanza kuwa na wanaume huyu akirudi hali chakula nyumbani kila siku anasema kashiba kumbe mie najisevia mayai na hawakunigundua mpaka natoka pale.

Dav ananitafuta yeye anasoma Mzumbe University mawasilano yanakuwa nikiwa shule kama weekend mara kwa mara anakuja kunitembelea. Siku nyingine anakuja na marafiki zake ananitambulisha kwao kama mdogo wake. Tunaanza kuishi Maisha ya dada na kaka na Dav ananisaport vitu vidogo vidogo.

Shule na Maisha kwa bamkubwa hayakuwa rahisi hata kidogo. Kusimangwa kwa vitu vidogovidogo. Kuibiwa hela ukitoka tu wazee wanazama wanakupekua mpaka unasema nini hiki hata wakikutana n amia wanasepa nayo. Matokeo nimefeli tena.

Baba anarudi kutoka Tanga nafurahi kumwona baba amerudi amechoka hana nuru baba yangu yaani kazeeka sana. Baba nae hana pa kuishi amefikia pale kwa kaka yake. Hakuna kipindi nachukia kukikumbuka kama kipindi hiki.

Baada ya kufeli tena naambiwa nije dar kwa baba mdogo nije wanitafutie kozi yoyote nisomee. Hapo haulizwi kuwa utaenda au utaenda ni amri tu inatolewa nawe unafuata. Namshirikisha Dav ananiambia kwanini wanakwambia uende dar? Lisa unapita magumu sana huko dar unapoenda hujawajua bado kama ilivyokuwa kwa baba yako mkubwa na je ukikuta mambo ni magumu zaidi ya hapa utafanyaje? Kaka Dav ngoja niende itakavyokuwa hivyo hivyo sina jinsi tena. Natamani kurudi kijijini lakini siwezi ngoja nione Dar itakuwaje labda nitapata mwanga kidogo.

Dav anajua kwa uchache baadhi ya mapito yangu sababu namshirikisha na amekuwa mshuri wangu mkubwa sasa.

Nimefika Dar kwa baba mdogo Watoto wake wapo shule wanasoma boarding wapo na mdada wa kazi. Mazingira ni mazuri tu mama mdogo ndo anapewa jukumu la kufuatilia nafasi za chuo. Tunaenda magogoni tunakosa nafasi tunaambiwa nisubiri mpaka muhula mpya.

Wakati naendelea kusubiri natembezwa kwa baadhi ya ndugu zangu baba zangu wakubwa na wadogo ni wapo wengi sababu babu alikuwa ameoa wanawake watatu kwahiyo alikuwa na Watoto wengi. Wengi wao wapo hapa Dar na baadhi yao wamejipata wengine ndo hivo tena.

Ruti za kuzunguka kwa ndugu zangu zinaendelea napelekwa mpaka kwa mjomba wangu ambae anaishi na mdogo wangu tunayezaliwa tumbo moja kwa baba mama toka amezaliwa sijawahi kumwona nina hamu kubwa sana ya kukutana na mdogo wangu Joy (si jina lake)) nafika kwa mjomba joy ndo anafungua geti mzuri sana anafanana na baba copy na paste nieleweke baba nae ni hansome hivyo Joy japo nakufanana na baba ni mzuri sana.

Namkimbilia Joy kumuwao ananikwepa yaana hata kiherehere na mimi hana kabisa hii moment huwa inaniuma sana.

Nimeambiw nitakaa pale wiki mbili ili tuweze kuzoeana na Joy. Joy anaanza kulia na kumwambia mjomba kuwa hataki kuniona na ni bora ningekuwa nimekufa tu.

Kinaitwa kikao na mama anakuja Joy analazimishwa aniombe msamaha tena kwa kupiga magoti. Joy ananiomba msamaha kwa kulazimishwa ila bado ananichukia.

Mama naye analazimishwa twende naye kwake tupajue anapoishi. Mama anakubali kishingo upande. Njiani anatupa somo sikia nyie Watoto tukifika nyumbani sitaki kusikia mtoto hata mmoja ananiita mama yake atakayethubutu kufanya hivyo nitakachokifanya atasahau kuwa mimi ni mama yake niiteni shangazi mnasikia nyie wajinga wawili. Nimemnukuu mama.

Tunafika kwa mama kumbe mama ameolewa na mwanaume mwingine ana hela chafu mama anaishi kama malkia. Mume wa mama anamwambia mbona Lisa anafanana sana na wewe. Mama anajibu lazima tufanane sababu mimi ni shangazi yake.

Nimechoka uwii kuandika si mchezo.
Aisee pole Sana kwa uliyopitia Sasa nikuoe tu uje upumzike tu Lisa kidoti🧐
 
Ep 8

Naanza shule kumbe shule yenyewe ni kwa ajili ya kurudia mtihani wa kidato cha nne baba hajawahi kuonekana mbele ya macho yangu zaidi ya kuongea kwenye simu tu. Kipindi cha shule kilikuwa kigumu sana. Baba anatuma pesa kupitia simu ya mamkubwa kwa ajili ya nauli na matumizi mengine lakini napewa hela ndogo nauli napewa mitano tu na ni sehemu ya kupanda daladala mbili kwenda na kurudi ni mianane hapo hujanywa hata maji. Nalikuwa naambiwa kuwa wakati wa kwenda shule niwe nawahi kutoka nitembee kwa mguu alafu wakati wa kurudi sababu tunachelewa kutoka ndo nipande daladala.

Kwa bamkubwa hawana umeme wala solar hivyo wanatumia vibatali. Japo majirani zao wote wana umeme. Hivyo nilikuwa na bajate yangu ya kununua mafuta yangu kwa ajili ya kujisomea usiku siruhusiwi kutumia mafuta ya familia. Watoto wa mamkubwa wakawa wananichezea mchezo nikinunua mafuta wananivizia wanamwaga maji chini wanachukua mafuta yangu na kunambia kuwa mafuta yangu yamemwagika.

Namshukuru Mungu baba alikuwa anamwelewa shemeji yake yaani mamkubwa hivyo akituma pesa kwa mamkubwa ananitumia na mimi kisiri hayo ndo yakawa Maisha yangu ya shule. Masomo yalikuwa yanaanza saa sita mchana na kutoka jioni saa kumi na moja mpaka uje ufike nyumbani saa moja mpaka saa mbili.

Nimeshazoea mazingira naona sawa tu. Ukinywa chai asubuhi mpaka cha usiku na ukichelewa kufika nyumbani ukakuta wameshakula hawakuwekei chakula utasubiri asubuhi chai. Nilivyoona vile nikasema Lisa ukiendelea kuwa mzembe utakufa kwa njaa hapa. Kumbuka nalala na kuku tena wa kienyeji hivyo namimi nikaanza kuiba mayai usiku naiba mayai yangu matatu naweka kwenye begi naenda nayo shule napita kwa muuza chips nampa mayai matatu na sh miatano jioni napita nachukua chips yangu yai tena nakula nikishiba ndo narudi nyumbani. Nikute wamekula hawajala wala sina mpango na chakula chao. Mamkubwa anamwambia baba mwanao ameanza kuwa na wanaume huyu akirudi hali chakula nyumbani kila siku anasema kashiba kumbe mie najisevia mayai na hawakunigundua mpaka natoka pale.

Dav ananitafuta yeye anasoma Mzumbe University mawasilano yanakuwa nikiwa shule kama weekend mara kwa mara anakuja kunitembelea. Siku nyingine anakuja na marafiki zake ananitambulisha kwao kama mdogo wake. Tunaanza kuishi Maisha ya dada na kaka na Dav ananisaport vitu vidogo vidogo.

Shule na Maisha kwa bamkubwa hayakuwa rahisi hata kidogo. Kusimangwa kwa vitu vidogovidogo. Kuibiwa hela ukitoka tu wazee wanazama wanakupekua mpaka unasema nini hiki hata wakikutana n amia wanasepa nayo. Matokeo nimefeli tena.

Baba anarudi kutoka Tanga nafurahi kumwona baba amerudi amechoka hana nuru baba yangu yaani kazeeka sana. Baba nae hana pa kuishi amefikia pale kwa kaka yake. Hakuna kipindi nachukia kukikumbuka kama kipindi hiki.

Baada ya kufeli tena naambiwa nije dar kwa baba mdogo nije wanitafutie kozi yoyote nisomee. Hapo haulizwi kuwa utaenda au utaenda ni amri tu inatolewa nawe unafuata. Namshirikisha Dav ananiambia kwanini wanakwambia uende dar? Lisa unapita magumu sana huko dar unapoenda hujawajua bado kama ilivyokuwa kwa baba yako mkubwa na je ukikuta mambo ni magumu zaidi ya hapa utafanyaje? Kaka Dav ngoja niende itakavyokuwa hivyo hivyo sina jinsi tena. Natamani kurudi kijijini lakini siwezi ngoja nione Dar itakuwaje labda nitapata mwanga kidogo.

Dav anajua kwa uchache baadhi ya mapito yangu sababu namshirikisha na amekuwa mshuri wangu mkubwa sasa.

Nimefika Dar kwa baba mdogo Watoto wake wapo shule wanasoma boarding wapo na mdada wa kazi. Mazingira ni mazuri tu mama mdogo ndo anapewa jukumu la kufuatilia nafasi za chuo. Tunaenda magogoni tunakosa nafasi tunaambiwa nisubiri mpaka muhula mpya.

Wakati naendelea kusubiri natembezwa kwa baadhi ya ndugu zangu baba zangu wakubwa na wadogo ni wapo wengi sababu babu alikuwa ameoa wanawake watatu kwahiyo alikuwa na Watoto wengi. Wengi wao wapo hapa Dar na baadhi yao wamejipata wengine ndo hivo tena.

Ruti za kuzunguka kwa ndugu zangu zinaendelea napelekwa mpaka kwa mjomba wangu ambae anaishi na mdogo wangu tunayezaliwa tumbo moja kwa baba mama toka amezaliwa sijawahi kumwona nina hamu kubwa sana ya kukutana na mdogo wangu Joy (si jina lake)) nafika kwa mjomba joy ndo anafungua geti mzuri sana anafanana na baba copy na paste nieleweke baba nae ni hansome hivyo Joy japo nakufanana na baba ni mzuri sana.

Namkimbilia Joy kumuwao ananikwepa yaana hata kiherehere na mimi hana kabisa hii moment huwa inaniuma sana.

Nimeambiw nitakaa pale wiki mbili ili tuweze kuzoeana na Joy. Joy anaanza kulia na kumwambia mjomba kuwa hataki kuniona na ni bora ningekuwa nimekufa tu.

Kinaitwa kikao na mama anakuja Joy analazimishwa aniombe msamaha tena kwa kupiga magoti. Joy ananiomba msamaha kwa kulazimishwa ila bado ananichukia.

Mama naye analazimishwa twende naye kwake tupajue anapoishi. Mama anakubali kishingo upande. Njiani anatupa somo sikia nyie Watoto tukifika nyumbani sitaki kusikia mtoto hata mmoja ananiita mama yake atakayethubutu kufanya hivyo nitakachokifanya atasahau kuwa mimi ni mama yake niiteni shangazi mnasikia nyie wajinga wawili. Nimemnukuu mama.

Tunafika kwa mama kumbe mama ameolewa na mwanaume mwingine ana hela chafu mama anaishi kama malkia. Mume wa mama anamwambia mbona Lisa anafanana sana na wewe. Mama anajibu lazima tufanane sababu mimi ni shangazi yake.

Nimechoka uwii kuandika si mchezo.
Maisha Haya, ila sisi wazazi buana hasa mama Mungu anatuona.
 
Back
Top Bottom