Dadakidoti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2024
- 399
- 1,409
- Thread starter
- #181
asanteNakusubiri sana dada kidoti tuenndelee maana unagusa hisia zangu.mh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asanteNakusubiri sana dada kidoti tuenndelee maana unagusa hisia zangu.mh.
Ila pia mnawezana kuoana ninyi kwa ninyi mna element za kujikubali sana na sifa kibao ,Pia hoja ya kupigana mkia ninyi kwa ninyi nimeisikia sana kwenye jamii zenundio
mimi sio mjaluo nilikubali tu mimi ni mtanzania basiIla pia mnawezana kuoana ninyi kwa ninyi mna element za kujikubali sana na sifa kibao ,Pia hoja ya kupigana mkia ninyi kwa ninyi nimeisikia sana kwenye jamii zenu
pole ndugu ndo mapito ya ulimwenguDaah!! Umenikumbusha mengi.
Baba yangu mzazi alinikataa kata kata nikiwa na mwaka mmoja, mama yangu akanipeleka kwa baba yake (babu yangu). Nimekulia huko na kusomea huko na kitu cha kushukuru niliandikishwa shule kwa jina la Babu yangu.
Sijawahi kumuona Baba kwa sura ila kwa sauti nimewahi kuongea kwa njia ya simu. Mara ya mwisho kuongea nae akiwa na dada yake ananiuliza una uhakika gani kama mimi ni Baba yako? Nilikata simu hadi leo sijawahi hata kuhangaika kumtafuta.
Nachojua tu kwao ni KAMACHUMU anaitwa REVOCATUS KAZINJA
kama hutaki pita kushoto watu nje ya jamii forum tuna majukumu. huwezi acha kitu kinachokiingizia mia kwa ajili ya kulidhisha watu wa jamii forumTushawachoka nyie story ikishaanza kunoga mnaanza visa habari za kuja kuanza kubembelezea chai hatutaki
Ova
Aiseee feel sorryDaah!! Umenikumbusha mengi.
Baba yangu mzazi alinikataa kata kata nikiwa na mwaka mmoja, mama yangu akanipeleka kwa baba yake (babu yangu). Nimekulia huko na kusomea huko na kitu cha kushukuru niliandikishwa shule kwa jina la Babu yangu.
Sijawahi kumuona Baba kwa sura ila kwa sauti nimewahi kuongea kwa njia ya simu. Mara ya mwisho kuongea nae akiwa na dada yake ananiuliza una uhakika gani kama mimi ni Baba yako? Nilikata simu hadi leo sijawahi hata kuhangaika kumtafuta.
Nachojua tu kwao ni KAMACHUMU anaitwa REVOCATUS KAZINJA
HAIJALISHI NITAPITIA HALI GANI, SIWEZI KURUHUSU MWANANGU WA KUZAA KWENDA KUISHI KWA NDUGU, JAMAA AU RAFIKI NIKIWA HAI. NITAPAMBANA SANA.kiapo changu nikiwa hai mwanangu hawezi kukaa kwa mtu nitapambana nae mwenye nikilala njaa nitalala nae njaa na tutalala kama wengine.
🙌Kaka Dev Anataka kuku-kula
Kaka dev mtu mbad anajua kujipigia pass 🤣🤣Nangoja kaka devu afanye mambo[emoji102]
Katunga tu.Ya kweli ya kutunga!Kama ya kweli tiririka mfululizo.
Ha ha haaaa, kuna sister wangu naye alikuwa na binti yake ambaye walikuwa wanakaribiana kiumri alimzaa akiwa katika adolescent age. Sasa binti kwa vile alikuwa na mwili wa kufutuka akamkuta njiani mamake wakawa kama mtu na mdogo wake. Sasa alipopata buzi la kumwoa akamgeuza binti yake awe mdogo wake na yule jamaa akawa anamwita binti shemeji! Kazi kweli kweli! Yule sister akawa hataki sisi ndugu zake twende kwake maana tunawwza kulisanua!Hapo pa kumuita mama shangazi..! umenikumbusha mama yangu alinambia nimuite mama mdogo by then alikuwa ameolewa kwngne ambako sio kwetu, huwa nikikumbuka wakati huu napatwa na PTSD...