Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Da..... Kama wewe unaona sio kosa tenda, ila sikushauri.Ulitakiwa ujue maana ya kubaka kabla hujatumia Tamko kubaka. Acheni utoto na ujinga ndiyo maana Kuna muda huwa naona ni ujinga kujadiliana na Wakristo yaani mnakuwa kama Masponji mnanyonya kila kimiminika.
Nasubiri uonyeshe kosa au ubaya wa kuoa mtoto wa miaka 9.
Tusilopoke nini ndugu? Nielimishe, huenda nimekosea.Hayo maneno yako yana muhusu vipi Mohamed ?
Mlianza kumwambia Mohamed maneno kibao naona sasa mnageuza kibao pumbavu nyinyi.
Siku nyingine kabla hamjazungumza msiropoke
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kijana usikimbie swali, nataka uonyeshe kwenye Qur'aan wapi ewataja hao kama Mayahudi. Nataka nikufundishe ya kuwa hii Elimu ni Amana, na Amana hurudishwa kwa watu wake. Acheni kushughulika na mambo msiyo yajua. Hapo unaiongelea Qur'aan ajabu hata kuisoma hujui. Halafu mje kuweza kudhibiti historia ya kuandika Historian ya Dunia ?Ndio maana Mtoa mada akakuambia mmeshikiwa AKILI.
Huwezi utenganisha uyahudi na uisrael.
Uyahudi ni Dini lakini pia ni utaifa.
Kwa mujibu wa Historia ya Waarabu kwenye vita ya pili ya dunia, Adolf Hitler alikuwa anaua Wayahudi au Waisrael? Nipe na reference.
MTU kama Albert Einstein ni Myahudi au muisrael? Uje na reference ya Historia ya kiarabu unayoitumia.
Kwa mujibu wa Historia ya Waarabu embu tueleze Zionism movement ni kitu gani?
Ili ujione ulivyokichwa Maji
Hao kina jim jones wakina nan hao😁?? Nipe intro kidogo.. Dunia ina mambo hii!!Akina Jim Jones na David Koresh na wenzao kumbe walikuwa Waislam! Tena hao ni kutokea huko kwa mnaowaona wana akili kuliko watu wote. Sijui "mazombie" wa huku wafuasi wa Kibwetere, Shilla, Tito na wengineo watakuwa katika hali gani.
Na kama ulikuwa hujui nakupa na nyongeza mpaka sasa kabila la wamang'ati wanawake wanaolewa wakiwa na miaka 10 mpaka 12 na hauto sikia wakihukumiwa popote paleTusilopoke nini ndugu? Nielimishe, huenda nimekosea.
Sasa MTU wa 1205 Wakati Ukristo unamiaka zaidi ya buku na history ya dunia imeshaandikwa Kwa sehemu kubwa ndio useme kuwa hakukuwa na mkristo aliyeandika Historia😂😂😂
Dini za kuletewa zinawasumbua Sana Vijana.
Kwa hiyo wanamfuata mtume ama?? Watoto tuwaache wasome tusiwaharibie future yao. Jamhuri ikiwajua jera itawahusu wahusika.Na kama ulikuwa hujui nakupa na nyongeza mpaka sasa kabila la wamang'ati watoto wa kike wanaolewa wakiwa na miaka 10 mpaka 12 na hauto sikia wakihukumiwa popote pale
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sasa acheni kuwatukana watu kwa ujinga wenu na chuki zenu. Mkiendelea hivi mtazidi kuonekana wajinga na votuko mbele ya watu wenye akili.Da..... Kama wewe unaona sio kosa tenda, ila sikushauri.
Unarudia tena haya lete sheria ya ndoa ya karne ya 7 inayo muhusu mtumeKwa hiyo wanamfuata mtume ama?? Watoto tuwaache wasome tusiwaharibie future yao. Jamhuri ikiwajua jera itawahusu wahusika.
Mimi nakushauri usimfuate mtume kuoa binti wa miaka 9, wewe unanituma kwa Isaka. Huyo Isaka ni juu yake na dhambi yake kama alifanya dhambi.Hayo maneno yako yana muhusu vipi Mohamed ?
Mlianza kumwambia Mohamed maneno kibao naona sasa mnageuza kibao pumbavu nyinyi.
Siku nyingine kabla hamjazungumza msiropoke
Alafu mwambie na isaka nae atafungwa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimetukana wapi, ndugu nionyeshe!Sasa acheni kuwatukana watu kwa ujinga wenu na chuki zenu. Mkiendelea hivi mtazidi kuonekana wajinga na votuko mbele ya watu wenye akili.
Kila mtu ana definition yake ya dini kwako hyo ni sahihi. Hata kwa RASTAFARIANS pia wana definition yao hata wahindu pia.. kila mtu ashinde mechi zakeHuu uzi unaonyesha ni namna gani Wakristo hawana akili. Ukitaka kujua maana ya ujinga waangalie Wakristo na Ukristo.
Kwanini unaandika uongo ? Hakuna watu wenye kujua maana ya Dini kuwazidi Waislamu.
Sikutaka kuchangia huu Uzi, ila kwa hiki ulichokiandika nikaamua kuchangia.
Maana ya DINI, Dini ni Tamko lenye asili ya Kiarabu lenye maana ya njia, au mfumo wa maisha ya mtu kuanzia anapo amka mpaka analala, lakini imekuja maana ya Dini kwa maana ya siku ya Malipo yaani Kiyama.
Kwa maana ya njia inayomfikisha katika lengo fulani au sehemu fulani. Hii ndiyo maana ya Dini. Ndiyo maana Allah akasema hakika Dini mbele yake ni UISLAMU.
Swali lingine wapi Waislamu umewauliza swali hili wakakimbia ?
Kuandika Mtume amebaka ni tusi, na huku hujui maana ya kunaka umeonyesha ulivyo mjinga wa kimatabaka.Nimetukana wapi, ndugu nionyeshe!
Yawezekana niliteleza NITAOMBA MSAMAHA, YAWEZEKANA MIMI MJINGA, NIONYESHE UJINGA WANGU BASI.
Akili kubwaHuwa nawaskitikiaga watu wanavyolilia vitu walivyovikuta , Elimikeni na mkubali kubadilika. Dini imeletwa na binadam kama nyie ili kuwatawala na kuwatia hofu, wakoloni walifanikiwa kuwashika pabaya mkashikika. Ukristu asili yake n wapi ? Uislam asili yake ni wapi? Hao waliowaletea hizo dini wamewaacha mnazozana hao hawana mda nazo....kila mtu anajiona Yeye ndo yuko upande sahihi ...siku mtakayokuja kuujua ukwel mtakua mmechelewa sana
Enyi Africa ni nan aliyewaloga? We uliwah skia mwarabu na mzungu wakitambiana haya? Wakat kiuhalisia hawa ndo waasisi wa hizi dini zote? Mmezaliwa mmezikuta mnajifanya mnazijua sana . We huyo MUNGU wa upande wako unaeamini ni yuko upande wako unauhakika na hilo?
Kila mtu aamini anachokiona kinafaa as long as havunji sheria acheni kutambiana upuuzi.
Sheria ya ndoa unayoitaka wewe, unaweza iweka hapa kwa faida yako; mimi naishi kwa sheria ya leo, ndio mana narudia tena kama hukunipata, usiige kuoa kabinti ka miaka 9 sheria hairuhusu ni kosa. Huelewi nini. Utaishia jera.Unarudia tena haya lete sheria ya ndoa ya karne ya 7 inayo muhusu mtume
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hapa nyinyi mlikurupuka mkaona kama Mohamed kakosea kweli kumuoa mtoto wa miaka 9 wakati huo huo historia yenyewe haina uhakika wa huo umri wa huyo aisha.Mimi nakushauri usimfuate mtume kuoa binti wa miaka 9, wewe unanituma kwa Isaka. Huyo Isaka ni juu yake na dhambi yake kama alifanya dhambi.
Watoto tuwaacje wasome.
Kwani mtume kaishi kwa sheria ya leo?Sheria ya ndoa unayoitaka wewe, unaweza iweka hapa kwa faida yako; mimi naishi kwa sheria ya leo, ndio mana narudia tena kama hukunipata, usiige kuoa kabinti ka miaka 9 sheria hairuhusu ni kosa. Huelewi nini. Utaishia jera.
Maana ya kubaka naijua, kwa sheria yetu. Ukimwingilia mtoto hata kama kakukubaria (Mmeoana) ni umebaka. Nikasema Muddy angekuwepo leo ndio kaoa, kosa hilo lingemuhusu. Sasa kwa uelewa wako wewe ulitaka tuwekeje? Kwamba kwa sheria ya sasa hakufanya kosa, kwa kuwa alifuata sheria za kipindi hicho. Tufupishe mjadala, NISAMEHE KAMA NIMEKUKWAZA SAWA.Kuandika Mtume amebaka ni tusi, na huku hujui maana ya kunaka umeonyesha ulivyo mjinga wa kimatabaka.
Mkuu naomba unieleweshe kidogo sijakuelewa,, hivi wakristo hao unaowasifia wameelimika ndio hawa waliombiwa na papa mwanaume kufihlwah sio dhambi au unawazungumzia hawa waliokufa kwa kukanyagana kisa kugombea mafuta kwa mwamposa,,?🤔Kujitambua kuwa wewe ni nani na kuwa mdadisi ni kitu kizuri ila ukishaunganishwa imani tu basi ndo akili inapotea.
Nazungumzia ndugu zetu wenye imani ya kiislamu kwa vijana wenzangu. Maisha tunayotafuta na makazi tunaishi na watu tofauti ila bahati nzuri asilimia kubwa maeneo niliyopo na kazi asilimia kubwa wenye imani ya Kiislamu.
Kiukweli kilichonishangaza siku moja mpaka naeleza hivi kuona mtu mwenye cheo cha sheik akiwaambia vijana kama kupotosha kuhusu mgogoro na vita inayoendelea huko Urusi na Ukraine. Ni kwamba Urusi inaipiga Ukraine sababu anatetea Uislamu, lengine kuhusu vita vya Kagera mpaka kuna CD zimejaza hayo hayo.
Kitu chengine sitasahau sheik mmoja anaeleza kuhusu Rwanda mauaji ya kimbali ni dini wakati ukabila na siasa.
Kuna mengi ambayo vijana wanadanganywa kwa kupandikizwa kitu bila kujua.