Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa

Da..... Kama wewe unaona sio kosa tenda, ila sikushauri.
 
Kijana usikimbie swali, nataka uonyeshe kwenye Qur'aan wapi ewataja hao kama Mayahudi. Nataka nikufundishe ya kuwa hii Elimu ni Amana, na Amana hurudishwa kwa watu wake. Acheni kushughulika na mambo msiyo yajua. Hapo unaiongelea Qur'aan ajabu hata kuisoma hujui. Halafu mje kuweza kudhibiti historia ya kuandika Historian ya Dunia ?

Hakuna taiga lililo itwa Uyahudi katika Historian sahihi. Uyahudi ni dini, na Tamko hili Lina maana nne utazikuta katika vitabu vya Historia.

Kingine usiulize maswali ya kitoto kijana, kwamba Fulani ni muisraeli au Myahudi. Taifa lililo asisiwa na kuitwa Israeli la mwaka 1948 ni zao la Wazayuni Hawa hawaingii katika nasaba zaidi ya kujipa jina tu. Na hapo kabla kuliwahi kuwepo taifa la jina Hilo zamani, ila hapajawahi kuwa na taifa liiatwalo Uyahudi.

Uzayuni ni jambo jipya Lilo kuja, na kuhusu Uzayuni, nanukuu :

"Ama Uzeyuni ni chama cha kisiasa kilichoanzishwa na Dkt. Theodore Herzl mwaka wa 1895 chenye uana memba wa Mayahudi pekee. Malengo yao yako wazi kabisa na lengo la msingi ni kuiteka na kuitawala Palestina milele. Nchi ambayo wanataka kuifanya ni ya Mayahudi pekee kusiwe na watu aina nyengine yoyote."
 
Akina Jim Jones na David Koresh na wenzao kumbe walikuwa Waislam! Tena hao ni kutokea huko kwa mnaowaona wana akili kuliko watu wote. Sijui "mazombie" wa huku wafuasi wa Kibwetere, Shilla, Tito na wengineo watakuwa katika hali gani.
Hao kina jim jones wakina nan hao😁?? Nipe intro kidogo.. Dunia ina mambo hii!!
 
Sasa MTU wa 1205 Wakati Ukristo unamiaka zaidi ya buku na history ya dunia imeshaandikwa Kwa sehemu kubwa ndio useme kuwa hakukuwa na mkristo aliyeandika Historia😂😂😂

Dini za kuletewa zinawasumbua Sana Vijana.

Niambie aliyeandika Historian ya Dunia alikuwa nani na ilikuwa lini na alipata wapi hizo habari. Usikimbie swali. Maana naona unakimbia kimbia maswali.

Kuandika siyo hoja huyu aliyeandika ameyatoa wapi haya aliyo yaandika ? Ndiyo maana huwa tuna hakiki habari.

Kijana acha porojo Jenga hoja na kosoa hoja.
 
Mimi nakushauri usimfuate mtume kuoa binti wa miaka 9, wewe unanituma kwa Isaka. Huyo Isaka ni juu yake na dhambi yake kama alifanya dhambi.
Watoto tuwaacje wasome.
 
Sasa acheni kuwatukana watu kwa ujinga wenu na chuki zenu. Mkiendelea hivi mtazidi kuonekana wajinga na votuko mbele ya watu wenye akili.
Nimetukana wapi, ndugu nionyeshe!
Yawezekana niliteleza NITAOMBA MSAMAHA, YAWEZEKANA MIMI MJINGA, NIONYESHE UJINGA WANGU BASI.
 
Kila mtu ana definition yake ya dini kwako hyo ni sahihi. Hata kwa RASTAFARIANS pia wana definition yao hata wahindu pia.. kila mtu ashinde mechi zake
 
Nimetukana wapi, ndugu nionyeshe!
Yawezekana niliteleza NITAOMBA MSAMAHA, YAWEZEKANA MIMI MJINGA, NIONYESHE UJINGA WANGU BASI.
Kuandika Mtume amebaka ni tusi, na huku hujui maana ya kunaka umeonyesha ulivyo mjinga wa kimatabaka.
 
Akili kubwa
 
Unarudia tena haya lete sheria ya ndoa ya karne ya 7 inayo muhusu mtume

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sheria ya ndoa unayoitaka wewe, unaweza iweka hapa kwa faida yako; mimi naishi kwa sheria ya leo, ndio mana narudia tena kama hukunipata, usiige kuoa kabinti ka miaka 9 sheria hairuhusu ni kosa. Huelewi nini. Utaishia jera.
 
Mimi nakushauri usimfuate mtume kuoa binti wa miaka 9, wewe unanituma kwa Isaka. Huyo Isaka ni juu yake na dhambi yake kama alifanya dhambi.
Watoto tuwaacje wasome.
Hapa nyinyi mlikurupuka mkaona kama Mohamed kakosea kweli kumuoa mtoto wa miaka 9 wakati huo huo historia yenyewe haina uhakika wa huo umri wa huyo aisha.

Mara mkipigwa ban sehemu moja mnakimbilia eneo jingine kujitetea. Sisi ni wasomi tuna elewa mambo tofauti na nyinyi mambulula

Sasa ili tuwe sawa tupe hiyo sheria ya ndoa ya karne ya 7

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuandika Mtume amebaka ni tusi, na huku hujui maana ya kunaka umeonyesha ulivyo mjinga wa kimatabaka.
Maana ya kubaka naijua, kwa sheria yetu. Ukimwingilia mtoto hata kama kakukubaria (Mmeoana) ni umebaka. Nikasema Muddy angekuwepo leo ndio kaoa, kosa hilo lingemuhusu. Sasa kwa uelewa wako wewe ulitaka tuwekeje? Kwamba kwa sheria ya sasa hakufanya kosa, kwa kuwa alifuata sheria za kipindi hicho. Tufupishe mjadala, NISAMEHE KAMA NIMEKUKWAZA SAWA.
ILA NAKUSHAULI USIMWIGE MUDDY KUOA KABINTI KA MIAKA 9, NI MAKOSA KWA SHERIA ZETU, UTABAKA NA JERA ITAKUHUSU. Watoto tuwaacbe wasome.
 
Mkuu naomba unieleweshe kidogo sijakuelewa,, hivi wakristo hao unaowasifia wameelimika ndio hawa waliombiwa na papa mwanaume kufihlwah sio dhambi au unawazungumzia hawa waliokufa kwa kukanyagana kisa kugombea mafuta kwa mwamposa,,?🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…