Thibitisha kwanza kama huo ukristo ni dini alafu ndio uendelee na porojo zako
Unafanya upumbavu unasema ujinga mnachomwa mpaka moto
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Thibitisha kwanza kama ukristo ni Dini unaweza ukawa unatetea kitu ambacho hakijulikani2021 vipi imemuongeza muhamad huko ndani au bado anachukuliwa kama tapeli tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Thibitisha kwanza kama ukristo ni Dini unaweza ukawa unatetea kitu ambacho hakijulikani
Ndio maana waisraeli wanawacheka maana mnaonekana mlivyo mapunguani
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unashindwa kuleta uthibitisho kama ukristo ni Dini unahangaikaThibitisha muhamad alitumwa na Mungu kama hayo mavu unayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio umethibitisha teyarNini maana ya dini??inaonekana hujui hata swali unalouliza.
Kujitambua kuwa wewe ni nani na kuwa mdadisi ni kitu kizuri ila ukishaunganishwa imani tu basi ndo akili inapotea.
Nazungumzia ndugu zetu wenye imani ya kiislamu kwa vijana wenzangu. Maisha tunayotafuta na makazi tunaishi na watu tofauti ila bahati nzuri asilimia kubwa maeneo niliyopo na kazi asilimia kubwa wenye imani ya Kiislamu.
Kiukweli kilichonishangaza siku moja mpaka naeleza hivi kuona mtu mwenye cheo cha sheik akiwaambia vijana kama kupotosha kuhusu mgogoro na vita inayoendelea huko Urusi na Ukraine. Ni kwamba Urusi inaipiga Ukraine sababu anatetea Uislamu, lengine kuhusu vita vya Kagera mpaka kuna CD zimejaza hayo hayo.
Kitu chengine sitasahau sheik mmoja anaeleza kuhusu Rwanda mauaji ya kimbali ni dini wakati ukabila na siasa.
Kuna mengi ambayo vijana wanadanganywa kwa kupandikizwa kitu bila kujua.
Sorry kwenye uislamu Hakuna vyeo
Kama kuthibitisha tu umeshindwa ndio maana waisraeli wana waona ninyi ni mapunguaniNimekuuliza swali,si unatakw elimu au unataka mabikra 72[emoji28][emoji28]
Kama unataka kuelewa jibu swali hilo hapo juu.
Umeamka nao?Kaa pale nani kama muhamad katika uislam[emoji28][emoji28]
Kama kuthibitisha tu umeshindwa ndio maana waisraeli wana waona ninyi ni mapunguani
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwani wewe unamtaka Yesu ambaye unampinga alipokwambia yeye ana Mungu ambaye ni Mungu wenye , Nyinyi mnampinga mnasema yeye Ndiye mungu?Kuna tofauti ya kuonwa punguani na kuwa punguani,waisrael hata Yesu hawamtaki[emoji23][emoji23],itakuwaje wawaelewe wakristo??
JINGA
jibu hoja, unataka uthibitisho gani wakati hata wewe huna hoja ya kuthibitisha uislam ni dini ya kweli? Mkiambiwa ni utamaduni wa kiarabu na uliletwa na waarabu msibisheThibitisha kwanza kama huo ukristo ni dini alafu ndio uendelee na porojo zako
Unafanya upumbavu unasema ujinga mnachomwa mpaka moto
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe mwenyewe inaonekana ni mtu mwenye hofu na kinyongo na waislamu.Ukisikia mtu mmoja akitamka kitu kuhusu waislamu unaamini hata kama ni maoni tu.Tena unasema mwenye cheo cha sheikh. Sisi waislamu kiakili tuko makini sana kuliko wewe na wenzako.Hatudanganywi kwa sababu dini yetu ndio inayohimiza udadisi na kutumia bongo kufikiri.Kujitambua kuwa wewe ni nani na kuwa mdadisi ni kitu kizuri ila ukishaunganishwa imani tu basi ndo akili inapotea.
Nazungumzia ndugu zetu wenye imani ya kiislamu kwa vijana wenzangu. Maisha tunayotafuta na makazi tunaishi na watu tofauti ila bahati nzuri asilimia kubwa maeneo niliyopo na kazi asilimia kubwa wenye imani ya Kiislamu.
Kiukweli kilichonishangaza siku moja mpaka naeleza hivi kuona mtu mwenye cheo cha sheik akiwaambia vijana kama kupotosha kuhusu mgogoro na vita inayoendelea huko Urusi na Ukraine. Ni kwamba Urusi inaipiga Ukraine sababu anatetea Uislamu, lengine kuhusu vita vya Kagera mpaka kuna CD zimejaza hayo hayo.
Kitu chengine sitasahau sheik mmoja anaeleza kuhusu Rwanda mauaji ya kimbali ni dini wakati ukabila na siasa.
Kuna mengi ambayo vijana wanadanganywa kwa kupandikizwa kitu bila kujua.
Ni mapunguani kabisa nyie mmeshindwa kuithibitishia kama ukristo ni Dini ndio maana mnapigwa mpaka moto
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kinyongo gani ? Zile cd za mazige na abdul logo nilitengeneza mimiWewe mwenyewe inaonekana ni mtu mwenye hofu na kinyongo na waislamu.Ukisikia mtu mmoja akitamka kitu kuhusu waislamu unaamini hata kama ni maoni tu.Tena unasema mwenye cheo cha sheikh. Sisi waislamu kiakili tuko makini sana kuliko wewe na wenzako.Hatudanganywi kwa sababu dini yetu ndio inayohimiza udadisi na kutumia bongo kufikiri.
jibu hoja, unataka uthibitisho gani wakati hata wewe huna hoja ya kuthibitisha uislam ni dini ya kweli? Mkiambiwa ni utamaduni wa kiarabu na uliletwa na waarabu msibishe