Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa


Sorry kwenye uislamu Hakuna vyeo
 
Hii sio sawa kabisa, tutakuja kuwa taifa la hovyo sana kama tutaendelea kuwa na akili za kupotoshana na kushikiliwa.
 
Kuna tofauti ya kuonwa punguani na kuwa punguani,waisrael hata Yesu hawamtaki[emoji23][emoji23],itakuwaje wawaelewe wakristo??

JINGA
Kwani wewe unamtaka Yesu ambaye unampinga alipokwambia yeye ana Mungu ambaye ni Mungu wenye , Nyinyi mnampinga mnasema yeye Ndiye mungu?
 
Thibitisha kwanza kama huo ukristo ni dini alafu ndio uendelee na porojo zako

Unafanya upumbavu unasema ujinga mnachomwa mpaka moto

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
jibu hoja, unataka uthibitisho gani wakati hata wewe huna hoja ya kuthibitisha uislam ni dini ya kweli? Mkiambiwa ni utamaduni wa kiarabu na uliletwa na waarabu msibishe
 
Wewe mwenyewe inaonekana ni mtu mwenye hofu na kinyongo na waislamu.Ukisikia mtu mmoja akitamka kitu kuhusu waislamu unaamini hata kama ni maoni tu.Tena unasema mwenye cheo cha sheikh. Sisi waislamu kiakili tuko makini sana kuliko wewe na wenzako.Hatudanganywi kwa sababu dini yetu ndio inayohimiza udadisi na kutumia bongo kufikiri.
 
Kinyongo gani ? Zile cd za mazige na abdul logo nilitengeneza mimi
 
jibu hoja, unataka uthibitisho gani wakati hata wewe huna hoja ya kuthibitisha uislam ni dini ya kweli? Mkiambiwa ni utamaduni wa kiarabu na uliletwa na waarabu msibishe

Achana na uislam,kuthibitisha tu utume wa muhamad ni zoezi zito sana kwa muislam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…