Tunza uwepo wa Mungu
Member
- Jun 10, 2020
- 42
- 51
Nyani haoni kundule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna ulimbukeni kutumia hayo majina ya kizungu,ni mtizamo wako tu,
Nikimuita mtoto Barack,au Baraka maana ni ile ile,tofauti ni kwamba jina moja lipo kiarab lingine kiswahili.
Wakristo na waislam huwapa majina watoto wao kwa heshima ya mitume na manabii waliopo kwenye dini zao
Majina Khadija,Amina,Hashim,Ali Mohamed,Lahman yana maana nzito sana kwa dini ya Kiislam,vile vile jina Immanuel(Yesu),Nehemiah,Saudi,Angel,hakuna ubaya,Wala si utumwa,zamani kwa wakristo ulikuwa huwezi kubatiza jina la lugha ya asili kama Marwa,Mwita,Mkude,Komba,baada ya kuelimika,leo kila kitu poa.
Ushamba,au ujinga ni zaidi ya jina,unaweza ukaitwa bhoke Mwita,Au lutengule Kambona,lakini ukawa Bado na fikra za kuamini wazungu Wana akili kuliko waafrika.
Mi Nina ndugu zangu,Wana majina ya kizungu,wamezaliwa ulaya,lakini kutokana na malezi waliyopewa,wakifika bongo hapa wanapiga kichaga,kisukuma huwezi amini kama Hawa jamaa wamezaliwa na kukulia ulaya.
Elimu na uelewa ni zaidi ya jina
Jina la ID yako asili yake ni mkoa gani??
Mkuu mie nachukia sana utumwa wa kifikra....unaogopa kutaja jina LA asili yako why?.Watanzania tuamke tuache kuogelea juu ya utamaduni wa watu wengine tunadharaulika sana. Majina yaliyokuja na meli tuachane nayo huo no utumwa!!!Dunia nzima ukisikia jina Ukechukwu, Obina directly linakupeleka kwenye asili yake. Ukisikia Patel, Sanjay, unapata asili yake. Ukisikia Yamamoto, Sadaaki Numata unapata mwanga huyo asili yake wapi. Hali kadhalika kwa Tanzania ukisikia majina kama Kamugisha, Aika, Bhoke unapata picha asili yao.
Nisiandike mengi lakini kuna nguvu katika kuikubali asili yako. Kwanza inaonesha ni jinsi gani kama jamii husika mnajiamini. Pili inapeleka ujumbe kuwa mnauimara na asili yenu na historia yenu.
Sasa tuje kizazi cha sasa, kuna wimbi kubwa sana la 'Ulimbukeni' na ushamba (ndio hivo) miongoni mwetu Watanzania hasa mtu akijua kusoma na kuandika au akiongeza na ka elimu kengine kwa juu. Kidogo utaskia mwanangu anaitwa Jayden, Brighton, Luqman, Norman, Umulkheir, Lincoln, Gianna mara Jadon, haya majina nimeyataja maksudi kwasababu yalikuja juzi juzi tu na upepo wa karate kid 2.
Basi mtanganyika hapo akafanikiwa kumpeleka english medium alafu ukakakuta kwenye watu wengi alafu kakaongea vile vingereza yani watu wanakafanya kavutio cha utalii kabisa kisa kinge. Yani bongo bana. Yani wanaona big deal yani hapo ndio mafanikio yapo kileleni kwa akili za Watanzania. Akili za kitumwa.
Kuna usemi "mkataa kwao mtumwa". Huu usemi una maana kubwa sana. Ukiangalia majina niliyoyataja hapo mwanzo , mataifa yao na yakwetu tunaojidharau asili zetu maendeleo ni tofauti kabisa. Nigeria pamoja na kuwa ni Africa, bado wanafahamika na kuheshimika sana kuanzia kwenye michezo mpaka sayansi. Hali kadhalika Japan , India pia. Ila sisi ambao utakuta mtoto anaitwa Jaden John Emmanuel ndio tupo kama tulivyo.
Wito wangu, ifike mahali tuache ulimbukeni, tujikubali kwanza ndio dunia itatukubali. Nimeamua mimi watoto wangu wote nawapa majina ya kinyumbani yenye maana nzuri ambayo ata padri wakati wa kubatiza hatutasumbuana. Yani ninataka kutengeneza identity. Kataa utumwa wewe chausiku.
Kuna hili jina Chogolo sijui limekaa je. Kuna majina yalioenda shule kama Chris Wallace, Franco Da'costa, Rodger Stones, Mcmanaman Littlejohn.Dunia nzima ukisikia jina Ukechukwu, Obina directly linakupeleka kwenye asili yake. Ukisikia Patel, Sanjay, unapata asili yake. Ukisikia Yamamoto, Sadaaki Numata unapata mwanga huyo asili yake wapi. Hali kadhalika kwa Tanzania ukisikia majina kama Kamugisha, Aika, Bhoke unapata picha asili yao.
Nisiandike mengi lakini kuna nguvu katika kuikubali asili yako. Kwanza inaonesha ni jinsi gani kama jamii husika mnajiamini. Pili inapeleka ujumbe kuwa mnauimara na asili yenu na historia yenu.
Sasa tuje kizazi cha sasa, kuna wimbi kubwa sana la 'Ulimbukeni' na ushamba (ndio hivo) miongoni mwetu Watanzania hasa mtu akijua kusoma na kuandika au akiongeza na ka elimu kengine kwa juu. Kidogo utaskia mwanangu anaitwa Jayden, Brighton, Luqman, Norman, Umulkheir, Lincoln, Gianna mara Jadon, haya majina nimeyataja maksudi kwasababu yalikuja juzi juzi tu na upepo wa karate kid 2.
Basi mtanganyika hapo akafanikiwa kumpeleka english medium alafu ukakakuta kwenye watu wengi alafu kakaongea vile vingereza yani watu wanakafanya kavutio cha utalii kabisa kisa kinge. Yani bongo bana. Yani wanaona big deal yani hapo ndio mafanikio yapo kileleni kwa akili za Watanzania. Akili za kitumwa.
Kuna usemi "mkataa kwao mtumwa". Huu usemi una maana kubwa sana. Ukiangalia majina niliyoyataja hapo mwanzo , mataifa yao na yakwetu tunaojidharau asili zetu maendeleo ni tofauti kabisa. Nigeria pamoja na kuwa ni Africa, bado wanafahamika na kuheshimika sana kuanzia kwenye michezo mpaka sayansi. Hali kadhalika Japan , India pia. Ila sisi ambao utakuta mtoto anaitwa Jaden John Emmanuel ndio tupo kama tulivyo.
Wito wangu, ifike mahali tuache ulimbukeni, tujikubali kwanza ndio dunia itatukubali. Nimeamua mimi watoto wangu wote nawapa majina ya kinyumbani yenye maana nzuri ambayo ata padri wakati wa kubatiza hatutasumbuana. Yani ninataka kutengeneza identity. Kataa utumwa wewe chausiku.
Nimecheka balaa GTJina la asili ni Maghayo tu.
🤣🤣
Bush aliyepata kuwa Rais wa nchi fulani, kiswahili ni Kichaka, sijui hili nalo ni la mitishamba? Au kwa vile liko kwa kinge basi halina shida.
Lorenzo LA wapi ndugu!?Malimbukeni hao hawajitambui.
Wanaona fahari na sifa kuita watoto majina ya kizungu. Ushamba mtupu!
Nakaziaaaa.Dini ya kiislam ina tamaduni za kiarabu, halikadhalika ukristo unatamaduni za huko mashariki ya kati na ulaya. Yani kimsingi bado tunatembea kwenye asili za watu. Kwanini tuache asili yetu?
Shimba ya bhuyenze[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] au siyo!Bujibuji... jina asilia kabisa
Ni maamuzi yanayiambatana na utumwa!!! Huwezi na hutasikia mzungu akiitwa atupele,mchina akaitwa bhoke ,mfaransa akaitwa mkude!!! Wao hawana maamuzi!?? Tukubali huu ni ulimbukeni na ushamba utumwa umetujaa vichwan ndiio ndio maana twaitwa kimaHayo ni maamuzi binafsi ya mtu
Mkuu wasikupe tabu hao.Dunia nzima ukisikia jina Ukechukwu, Obina directly linakupeleka kwenye asili yake. Ukisikia Patel, Sanjay, unapata asili yake. Ukisikia Yamamoto, Sadaaki Numata unapata mwanga huyo asili yake wapi. Hali kadhalika kwa Tanzania ukisikia majina kama Kamugisha, Aika, Bhoke unapata picha asili yao.
Nisiandike mengi lakini kuna nguvu katika kuikubali asili yako. Kwanza inaonesha ni jinsi gani kama jamii husika mnajiamini. Pili inapeleka ujumbe kuwa mnauimara na asili yenu na historia yenu.
Sasa tuje kizazi cha sasa, kuna wimbi kubwa sana la 'Ulimbukeni' na ushamba (ndio hivo) miongoni mwetu Watanzania hasa mtu akijua kusoma na kuandika au akiongeza na ka elimu kengine kwa juu. Kidogo utaskia mwanangu anaitwa Jayden, Brighton, Luqman, Norman, Umulkheir, Lincoln, Gianna mara Jadon, haya majina nimeyataja maksudi kwasababu yalikuja juzi juzi tu na upepo wa karate kid 2.
Basi mtanganyika hapo akafanikiwa kumpeleka english medium alafu ukakakuta kwenye watu wengi alafu kakaongea vile vingereza yani watu wanakafanya kavutio cha utalii kabisa kisa kinge. Yani bongo bana. Yani wanaona big deal yani hapo ndio mafanikio yapo kileleni kwa akili za Watanzania. Akili za kitumwa.
Kuna usemi "mkataa kwao mtumwa". Huu usemi una maana kubwa sana. Ukiangalia majina niliyoyataja hapo mwanzo , mataifa yao na yakwetu tunaojidharau asili zetu maendeleo ni tofauti kabisa. Nigeria pamoja na kuwa ni Africa, bado wanafahamika na kuheshimika sana kuanzia kwenye michezo mpaka sayansi. Hali kadhalika Japan , India pia. Ila sisi ambao utakuta mtoto anaitwa Jaden John Emmanuel ndio tupo kama tulivyo.
Wito wangu, ifike mahali tuache ulimbukeni, tujikubali kwanza ndio dunia itatukubali. Nimeamua mimi watoto wangu wote nawapa majina ya kinyumbani yenye maana nzuri ambayo ata padri wakati wa kubatiza hatutasumbuana. Yani ninataka kutengeneza identity. Kataa utumwa wewe chausiku.
Sijaehi kusikia mzungu anaitwa atupele!! Sijawahi sijia mwarabu anaitwa bhoke!! Cjaona mmarekan akiitwa kamugisha!! Cjaona mbrligiji akiitwa namkunda!!! Cjaona mreno akiitwa chuwa au limo!!!!tukubali ukweli waafrika ni watumwa na akili zao ni za kitumwa!??Tusipangiane, watoto wangu nawaita majina ninayopenda! Zaa wakwako waite majina ya mitishamba.
Boss mzungu anaakili kukuzidi wee kataa kubali huo ndio ukweliHakuna ulimbukeni kutumia hayo majina ya kizungu,ni mtizamo wako tu,
Nikimuita mtoto Barack,au Baraka maana ni ile ile,tofauti ni kwamba jina moja lipo kiarab lingine kiswahili.
Wakristo na waislam huwapa majina watoto wao kwa heshima ya mitume na manabii waliopo kwenye dini zao
Majina Khadija,Amina,Hashim,Ali Mohamed,Lahman yana maana nzito sana kwa dini ya Kiislam,vile vile jina Immanuel(Yesu),Nehemiah,Saudi,Angel,hakuna ubaya,Wala si utumwa,zamani kwa wakristo ulikuwa huwezi kubatiza jina la lugha ya asili kama Marwa,Mwita,Mkude,Komba,baada ya kuelimika,leo kila kitu poa.
Ushamba,au ujinga ni zaidi ya jina,unaweza ukaitwa bhoke Mwita,Au lutengule Kambona,lakini ukawa Bado na fikra za kuamini wazungu Wana akili kuliko waafrika.
Mi Nina ndugu zangu,Wana majina ya kizungu,wamezaliwa ulaya,lakini kutokana na malezi waliyopewa,wakifika bongo hapa wanapiga kichaga,kisukuma huwezi amini kama Hawa jamaa wamezaliwa na kukulia ulaya.
Elimu na uelewa ni zaidi ya jina
Brainwashed creatures aka msukuke.Tusipangiane, watoto wangu nawaita majina ninayopenda! Zaa wakwako waite majina ya mitishamba.