Kuna wimbi kubwa sana la Ulimbukeni na ushamba kwa Watanzania hasa Mtu akijua kusoma na kuandika

Kuna wimbi kubwa sana la Ulimbukeni na ushamba kwa Watanzania hasa Mtu akijua kusoma na kuandika

Dini ya kiislam ina tamaduni za kiarabu, halikadhalika ukristo unatamaduni za huko mashariki ya kati na ulaya. Yani kimsingi bado tunatembea kwenye asili za watu. Kwanini tuache asili yetu?
Hakuna ulimbukeni kutumia hayo majina ya kizungu,ni mtizamo wako tu,
Nikimuita mtoto Barack,au Baraka maana ni ile ile,tofauti ni kwamba jina moja lipo kiarab lingine kiswahili.

Wakristo na waislam huwapa majina watoto wao kwa heshima ya mitume na manabii waliopo kwenye dini zao

Majina Khadija,Amina,Hashim,Ali Mohamed,Lahman yana maana nzito sana kwa dini ya Kiislam,vile vile jina Immanuel(Yesu),Nehemiah,Saudi,Angel,hakuna ubaya,Wala si utumwa,zamani kwa wakristo ulikuwa huwezi kubatiza jina la lugha ya asili kama Marwa,Mwita,Mkude,Komba,baada ya kuelimika,leo kila kitu poa.

Ushamba,au ujinga ni zaidi ya jina,unaweza ukaitwa bhoke Mwita,Au lutengule Kambona,lakini ukawa Bado na fikra za kuamini wazungu Wana akili kuliko waafrika.

Mi Nina ndugu zangu,Wana majina ya kizungu,wamezaliwa ulaya,lakini kutokana na malezi waliyopewa,wakifika bongo hapa wanapiga kichaga,kisukuma huwezi amini kama Hawa jamaa wamezaliwa na kukulia ulaya.

Elimu na uelewa ni zaidi ya jina
 
Dunia nzima ukisikia jina Ukechukwu, Obina directly linakupeleka kwenye asili yake. Ukisikia Patel, Sanjay, unapata asili yake. Ukisikia Yamamoto, Sadaaki Numata unapata mwanga huyo asili yake wapi. Hali kadhalika kwa Tanzania ukisikia majina kama Kamugisha, Aika, Bhoke unapata picha asili yao.

Nisiandike mengi lakini kuna nguvu katika kuikubali asili yako. Kwanza inaonesha ni jinsi gani kama jamii husika mnajiamini. Pili inapeleka ujumbe kuwa mnauimara na asili yenu na historia yenu.

Sasa tuje kizazi cha sasa, kuna wimbi kubwa sana la 'Ulimbukeni' na ushamba (ndio hivo) miongoni mwetu Watanzania hasa mtu akijua kusoma na kuandika au akiongeza na ka elimu kengine kwa juu. Kidogo utaskia mwanangu anaitwa Jayden, Brighton, Luqman, Norman, Umulkheir, Lincoln, Gianna mara Jadon, haya majina nimeyataja maksudi kwasababu yalikuja juzi juzi tu na upepo wa karate kid 2.

Basi mtanganyika hapo akafanikiwa kumpeleka english medium alafu ukakakuta kwenye watu wengi alafu kakaongea vile vingereza yani watu wanakafanya kavutio cha utalii kabisa kisa kinge. Yani bongo bana. Yani wanaona big deal yani hapo ndio mafanikio yapo kileleni kwa akili za Watanzania. Akili za kitumwa.

Kuna usemi "mkataa kwao mtumwa". Huu usemi una maana kubwa sana. Ukiangalia majina niliyoyataja hapo mwanzo , mataifa yao na yakwetu tunaojidharau asili zetu maendeleo ni tofauti kabisa. Nigeria pamoja na kuwa ni Africa, bado wanafahamika na kuheshimika sana kuanzia kwenye michezo mpaka sayansi. Hali kadhalika Japan , India pia. Ila sisi ambao utakuta mtoto anaitwa Jaden John Emmanuel ndio tupo kama tulivyo.

Wito wangu, ifike mahali tuache ulimbukeni, tujikubali kwanza ndio dunia itatukubali. Nimeamua mimi watoto wangu wote nawapa majina ya kinyumbani yenye maana nzuri ambayo ata padri wakati wa kubatiza hatutasumbuana. Yani ninataka kutengeneza identity. Kataa utumwa wewe chausiku.
Mkuu mie nachukia sana utumwa wa kifikra....unaogopa kutaja jina LA asili yako why?.Watanzania tuamke tuache kuogelea juu ya utamaduni wa watu wengine tunadharaulika sana. Majina yaliyokuja na meli tuachane nayo huo no utumwa!!!
 
Sema usemavyo ndio ishakua siwezi kuanza kumpa mwanangu jina la mwafilombe au mangungo kipindi hichi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dunia nzima ukisikia jina Ukechukwu, Obina directly linakupeleka kwenye asili yake. Ukisikia Patel, Sanjay, unapata asili yake. Ukisikia Yamamoto, Sadaaki Numata unapata mwanga huyo asili yake wapi. Hali kadhalika kwa Tanzania ukisikia majina kama Kamugisha, Aika, Bhoke unapata picha asili yao.

Nisiandike mengi lakini kuna nguvu katika kuikubali asili yako. Kwanza inaonesha ni jinsi gani kama jamii husika mnajiamini. Pili inapeleka ujumbe kuwa mnauimara na asili yenu na historia yenu.

Sasa tuje kizazi cha sasa, kuna wimbi kubwa sana la 'Ulimbukeni' na ushamba (ndio hivo) miongoni mwetu Watanzania hasa mtu akijua kusoma na kuandika au akiongeza na ka elimu kengine kwa juu. Kidogo utaskia mwanangu anaitwa Jayden, Brighton, Luqman, Norman, Umulkheir, Lincoln, Gianna mara Jadon, haya majina nimeyataja maksudi kwasababu yalikuja juzi juzi tu na upepo wa karate kid 2.

Basi mtanganyika hapo akafanikiwa kumpeleka english medium alafu ukakakuta kwenye watu wengi alafu kakaongea vile vingereza yani watu wanakafanya kavutio cha utalii kabisa kisa kinge. Yani bongo bana. Yani wanaona big deal yani hapo ndio mafanikio yapo kileleni kwa akili za Watanzania. Akili za kitumwa.

Kuna usemi "mkataa kwao mtumwa". Huu usemi una maana kubwa sana. Ukiangalia majina niliyoyataja hapo mwanzo , mataifa yao na yakwetu tunaojidharau asili zetu maendeleo ni tofauti kabisa. Nigeria pamoja na kuwa ni Africa, bado wanafahamika na kuheshimika sana kuanzia kwenye michezo mpaka sayansi. Hali kadhalika Japan , India pia. Ila sisi ambao utakuta mtoto anaitwa Jaden John Emmanuel ndio tupo kama tulivyo.

Wito wangu, ifike mahali tuache ulimbukeni, tujikubali kwanza ndio dunia itatukubali. Nimeamua mimi watoto wangu wote nawapa majina ya kinyumbani yenye maana nzuri ambayo ata padri wakati wa kubatiza hatutasumbuana. Yani ninataka kutengeneza identity. Kataa utumwa wewe chausiku.
Kuna hili jina Chogolo sijui limekaa je. Kuna majina yalioenda shule kama Chris Wallace, Franco Da'costa, Rodger Stones, Mcmanaman Littlejohn.
 
Kama unaandika vyeti hospitali,kanakuja katoto kamenyolewa kiduku kamevalishwa kipensi na ka singland halafu kamepewa simu ya Baba au mama yake kachezee game au kaangalie Tom na jerry...ukiuliza jina lake nani?
Utasikia anaitwa Junior au Jaden.
Kwa kweli majina hayo yameshika kasi sana sana kwa hawa vijana waliosoma soma miaka hii ulimbukeni umewajaa wakujiona ni wazungu kisa degree walizopata kwa hiyo ili kuweka gap na watu wasiosoma ni kuwapa watoto wao majina ya kilimbukeni.
 
Dini ya kiislam ina tamaduni za kiarabu, halikadhalika ukristo unatamaduni za huko mashariki ya kati na ulaya. Yani kimsingi bado tunatembea kwenye asili za watu. Kwanini tuache asili yetu?
Nakaziaaaa.
Watanzania tupunguze ulimbukeni na Ushamba tuite watoto wetu majina yenye asili ya kwetu. Hayo Majina ya Wacheza Por-n wa Hollywood akina Jada, Isabela, Floyd nk mtakuja kubakwa na watoto wenu hivi hivi.
Kuna Mfipa mmoja wattoto kaita Roooney, Beckam, Fletcher nk. Nikajisemea hiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Hayo ni maamuzi binafsi ya mtu
Ni maamuzi yanayiambatana na utumwa!!! Huwezi na hutasikia mzungu akiitwa atupele,mchina akaitwa bhoke ,mfaransa akaitwa mkude!!! Wao hawana maamuzi!?? Tukubali huu ni ulimbukeni na ushamba utumwa umetujaa vichwan ndiio ndio maana twaitwa kima
 
Dunia nzima ukisikia jina Ukechukwu, Obina directly linakupeleka kwenye asili yake. Ukisikia Patel, Sanjay, unapata asili yake. Ukisikia Yamamoto, Sadaaki Numata unapata mwanga huyo asili yake wapi. Hali kadhalika kwa Tanzania ukisikia majina kama Kamugisha, Aika, Bhoke unapata picha asili yao.

Nisiandike mengi lakini kuna nguvu katika kuikubali asili yako. Kwanza inaonesha ni jinsi gani kama jamii husika mnajiamini. Pili inapeleka ujumbe kuwa mnauimara na asili yenu na historia yenu.

Sasa tuje kizazi cha sasa, kuna wimbi kubwa sana la 'Ulimbukeni' na ushamba (ndio hivo) miongoni mwetu Watanzania hasa mtu akijua kusoma na kuandika au akiongeza na ka elimu kengine kwa juu. Kidogo utaskia mwanangu anaitwa Jayden, Brighton, Luqman, Norman, Umulkheir, Lincoln, Gianna mara Jadon, haya majina nimeyataja maksudi kwasababu yalikuja juzi juzi tu na upepo wa karate kid 2.

Basi mtanganyika hapo akafanikiwa kumpeleka english medium alafu ukakakuta kwenye watu wengi alafu kakaongea vile vingereza yani watu wanakafanya kavutio cha utalii kabisa kisa kinge. Yani bongo bana. Yani wanaona big deal yani hapo ndio mafanikio yapo kileleni kwa akili za Watanzania. Akili za kitumwa.

Kuna usemi "mkataa kwao mtumwa". Huu usemi una maana kubwa sana. Ukiangalia majina niliyoyataja hapo mwanzo , mataifa yao na yakwetu tunaojidharau asili zetu maendeleo ni tofauti kabisa. Nigeria pamoja na kuwa ni Africa, bado wanafahamika na kuheshimika sana kuanzia kwenye michezo mpaka sayansi. Hali kadhalika Japan , India pia. Ila sisi ambao utakuta mtoto anaitwa Jaden John Emmanuel ndio tupo kama tulivyo.

Wito wangu, ifike mahali tuache ulimbukeni, tujikubali kwanza ndio dunia itatukubali. Nimeamua mimi watoto wangu wote nawapa majina ya kinyumbani yenye maana nzuri ambayo ata padri wakati wa kubatiza hatutasumbuana. Yani ninataka kutengeneza identity. Kataa utumwa wewe chausiku.
Mkuu wasikupe tabu hao.

We zaa tu watoto wako uwaite Atupakisye na Ndumieshiwakwe.

Wasikusumbue kabisa akili hawa akina Baba na Mama Junyia.
 
Tusipangiane, watoto wangu nawaita majina ninayopenda! Zaa wakwako waite majina ya mitishamba.
Sijaehi kusikia mzungu anaitwa atupele!! Sijawahi sijia mwarabu anaitwa bhoke!! Cjaona mmarekan akiitwa kamugisha!! Cjaona mbrligiji akiitwa namkunda!!! Cjaona mreno akiitwa chuwa au limo!!!!tukubali ukweli waafrika ni watumwa na akili zao ni za kitumwa!??
Eti ni maamuzi!!!:maamuzi ya kitumwa!?? Waafrica hajiamini ndio maana mnavaa mawigi na kujichubua!!!
Yan race mataifa mengine wasiwe na maamuzi ya kuiga majina ya waafrika!!! Ila waafrika ndio waige majina ya wengine!?
 
Hakuna ulimbukeni kutumia hayo majina ya kizungu,ni mtizamo wako tu,
Nikimuita mtoto Barack,au Baraka maana ni ile ile,tofauti ni kwamba jina moja lipo kiarab lingine kiswahili.

Wakristo na waislam huwapa majina watoto wao kwa heshima ya mitume na manabii waliopo kwenye dini zao

Majina Khadija,Amina,Hashim,Ali Mohamed,Lahman yana maana nzito sana kwa dini ya Kiislam,vile vile jina Immanuel(Yesu),Nehemiah,Saudi,Angel,hakuna ubaya,Wala si utumwa,zamani kwa wakristo ulikuwa huwezi kubatiza jina la lugha ya asili kama Marwa,Mwita,Mkude,Komba,baada ya kuelimika,leo kila kitu poa.

Ushamba,au ujinga ni zaidi ya jina,unaweza ukaitwa bhoke Mwita,Au lutengule Kambona,lakini ukawa Bado na fikra za kuamini wazungu Wana akili kuliko waafrika.

Mi Nina ndugu zangu,Wana majina ya kizungu,wamezaliwa ulaya,lakini kutokana na malezi waliyopewa,wakifika bongo hapa wanapiga kichaga,kisukuma huwezi amini kama Hawa jamaa wamezaliwa na kukulia ulaya.

Elimu na uelewa ni zaidi ya jina
Boss mzungu anaakili kukuzidi wee kataa kubali huo ndio ukweli
 
Aisee uku mtaani kwetu wadada wengi waliozalishwa home kwa wazazi majina yao ni JAYDEN na NILLAN... Kila demu akizalishwa ni majina ayo ayo. Ni ushamba kinoma aiseee.
 
Back
Top Bottom