Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunavitu vingine huwa vinauma sana moyoni kuvisahau
1.me kuna filamu fulani tvt mtu na mdogo wake wanaenda mjini toka moro..wa kiume anakuwa teja wakike anakuwa malaya
2.kuna zile zakina bi mchau kuna mateja uswahilini
3.kuna ile ya nyani king itv hio nishaijuaga
4.nitalipataje tunda mwijuma hio naijua
5.star TV sasa wanaanza kulia eeh eeh ooh nuhu tufungulie safina..!!fm academy wanadnanda cosovo.binadamu kidedea
6.kilimanjaro tupendane..itv sana na kina muumini
Old memories huwa nzuri sana unatamani maisha yarudi nyuma hayarudi
daaah na producer ni allan mapigo, senteeeeesasa wanaanza kulia eeh eeh ooh nuhu tufungulie safina..!!fm academy wanadnanda cosovo.binadamu kidedea
Ooh Africa_Franklin BoukakaKwa wajuzi mtu akiweza kuutambua kwa jinsi ntavyokua najaribu kuufanya aujue kuna elfu 20 yake
Master shivoo nimekuja kuijua jina baadae sana miaka ya juzi tu ila kwa miaka zaidi ya kumi nilishindwa niipataje sikuwa na idea.No:3 Ilikuwa cartoon yangu pendwa Master Shivoo na wale nyani na nguruwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na nyingine ya Scooby Doo
Nilikuwaga najua ni background music la tamthilia fulani star tv ila leo nikapata wazo ni search YouTube nikaandika ooh nuhu tufungulie safina..ndo nikapata kujua kumbe ni fm academy dooh.....sasa kuna movie fulani ya bongo fleva mateja wa uswazi ya enzi hizo nadhani mburahati,au kigogo,au manzese ile sijui kama ipo mtandaoni. Naitaman niicheki nijue hali halisi ya dar es salaam ya kitambo hiyo na sio zamani sana itakuwa ni 2010 hapodaaah na producer ni allan mapigo, senteeeee
Hyo filamu Teja anaitwa Ndende kijana toka BagamoyoKunavitu vingine huwa vinauma sana moyoni kuvisahau
1.me kuna filamu fulani tvt mtu na mdogo wake wanaenda mjini toka moro..wa kiume anakuwa teja wakike anakuwa malaya
2.kuna zile zakina bi mchau kuna mateja uswahilini
3.kuna ile ya nyani king itv hio nishaijuaga
4.nitalipataje tunda mwijuma hio naijua
5.star TV sasa wanaanza kulia eeh eeh ooh nuhu tufungulie safina..!!fm academy wanadnanda cosovo.binadamu kidedea
6.kilimanjaro tupendane..itv sana na kina muumini
Old memories huwa nzuri sana unatamani maisha yarudi nyuma hayarudi
fafanua hiyo nyimbo ilikuwa kwenye kipindi gani?, au ilikuwa inapigwa kwenye kipindi cha miziki?, midundo yake ni ya haraka au polepole?, vocals anaimba mtu mmoja au wengi?, sauti za vocals ni za watoto?, kiume?, au wanawake?, vocals ni za kutamkika au za mmmm mmmm?.Kwa wajuzi mtu akiweza kuutambua kwa jinsi ntavyokua najaribu kuufanya aujue kuna elfu 20 yake
Sure hiyohiyo sijui kama youtube ipo?Hyo filamu Teja anaitwa Ndende kijana toka Bagamoyo
Unayo hapo niutume sasa hivi?Kwa wajuzi mtu akiweza kuutambua kwa jinsi ntavyokua najaribu kuufanya aujue kuna elfu 20 yake
Magic SystemKwa wajuzi mtu akiweza kuutambua kwa jinsi ntavyokua najaribu kuufanya aujue kuna elfu 20 yake
Hiyo namba moja umenikumbusha mbali sana, ilikuwa inabuzunisha sana, huyo wa kiume alianza kuosha magari akaingia kwenye uteja na wakike wazee wakawa wanamsarandia.Kunavitu vingine huwa vinauma sana moyoni kuvisahau
1.me kuna filamu fulani tvt mtu na mdogo wake wanaenda mjini toka moro..wa kiume anakuwa teja wakike anakuwa malaya
2.kuna zile zakina bi mchau kuna mateja uswahilini
3.kuna ile ya nyani king itv hio nishaijuaga
4.nitalipataje tunda mwijuma hio naijua
5.star TV sasa wanaanza kulia eeh eeh ooh nuhu tufungulie safina..!!fm academy wanadnanda cosovo.binadamu kidedea
6.kilimanjaro tupendane..itv sana na kina muumini
Old memories huwa nzuri sana unatamani maisha yarudi nyuma hayarudi
Yeah ile sijui kama itakuwepo youtube jina lake hulijui?Hiyo namba moja umenikumbusha mbali sana, ilikuwa inabuzunisha sana, huyo wa kiume alianza kuosha magari akaingia kwenye uteja na wakike wazee wakawa wanamsarandia.