wimbo kaimba mwanamke mtu wa afrika magharibi..una saundi kama hivi amta marike amtarike...Ooh Africa_Franklin Boukaka
Hawa wacameroun sio.Magic System
Song: Premier Gaou
Miyoni na akilini unausikia ila sasa kuukumbuka shughuli.wimbo kaimba mwanamke mtu wa afrika magharibi..una saundi kama hivi amta marike amtarike...
NIMELISAHAU AISEEYeah ile sijui kama itakuwepo youtube jina lake hulijui?
Master shivoo nimekuja kuijua jina baadae sana miaka ya juzi tu ila kwa miaka zaidi ya kumi nilishindwa niipataje sikuwa na idea.
Scooby niliipenda zamani ila siku hzi nikicheki youtube hazininogei tena
Ila popeye the sailor na Tom and jerry hizo asee bado zina taste ile mbaÿaaaaaa nazikubali
huo wimbo una genre/miondoko gani?, ya afropop?, new age?, zouk? au ipi?wimbo kaimba mwanamke mtu wa afrika magharibi..una saundi kama hivi amta marike amtarike...