Kuna wimbo wa watu wa Afrika Magharibi nautafuta ulikua wapigwa ITV miaka ya 90


Hazinogi si ushakua mtu mzima [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tom &Jerry ni cartoon yangu ya muda wote
Me napenda kutazama vitu vya kunichekesha, sipendi vitu vya kuumiza hisia.
 
Inaumaga sana asee,mi buana kuna wimbo ulikuwa unapigwa sana channel o sjui jamaa ni mtaifa gani...unaimbwa i want you back,you forget about me,you forget about us(afu sauti ya hiyo chorous ni ile kama ya katoto kadogo,inafanywa na wasanii wengi mfano whenever you go ya jay z).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…