DOKEZO Kuna wizi unafanyika kwenye mifumo ya control number, sijui nani atachunguza labda Rais kuagiza watu wa usalama wa Taifa wachunguze

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
πŸ™„πŸ™„πŸ€”
 
Akina Madilu System wanajigamba serikali imedhibiti wizi kwa sasa ndiyo maana miradi inasonga.😁

Nilishangaa, inakuwaje vijana wa PSSSF wanatapeli kwa kuwapa wastaafu control number walipie michango ambayo mwajiri hakupeleka!

Si ni rahisi kuwa traced? Kumbe hizo Namba za malipo wanabumba tu wenyewe gizani wala hazitambuliki popote!
 
Kuhusu hoja ya kulazimishwa kulipa kiasi chote badala ya nusu kama ulivyojipanga, hii ni ishu ya anayetengeneza hiyo control number.... anaseti ilipwe full au partial.

Hiyo uliyolipia benki ulipigwa.
 
TANZANIA NI SHAMBA LA BIBI WAJANJA WANAPIGA KODI ZA MASIKINI NA HAKUNA ANAYEJALI
 
Nchi Kwa Sasa inajiendea tu.hatuna rais,tuna mhuni mmoja tu.Duniani kote hakuna utaratibu wa rais kupata mbeleko ya kurithi madaraka.je kama hana uwezo kama huyu wa kwetu ni hasara kubwa kama tunayoipata Kwa Sasa wtz.Nchi zinazojielewa hakuna huo uhuni wa kurithishana ispokuwa huwa wanaitisha uchaguzi upya ili kuepuka hasara ya kupata kiongozi legelege kama wa Sasa wa tz wanayetulazimisha chawa wake tumwite mama wakati siyo mama yetu.
 
Hiyo mifumo haichezewi na vijana makapuku waliokosa ajira inachezewa na vigogo wakubwa waliopo kwenye mfumo
 
sasa napata kuelewa ni vipi nakutanaga na fine za ajabu ajabu.
 
Bado malalamiko yako hayatoshi kuwa facts za kuonyesha kuna wizi kwa sababu zifuatazo:
1. Hoja kwamba ulishindwa kulipa laki 4 kwa awamu 2: Ufafanuzi ni kwamba anayeamua hatua za ulipaji ni mtengenezaji wa control number bill. Wakati wa kutengeneza bill unaweza ukaamua ilipwe kwa awamu au mara moja tu. Hiyo bill unaipa option ya "partial".
2. Hoja kwamba laki moja na hamsinj iliyolipwa kwa bill ya laki moja na sitini: Ufafanuzi ni kwamba control number/ bill ambayo siyo partial, haikubali kiasi tofauti na kiasi kilichowekwa wakati wa utengenezaji, iwe kubwa au ndogo. Hivyo ni sawa kwa bill kuendelea kuonekana haijalipwa.
3. Hoja ya gari yako kuendelea kuonekana mmiliki wa zamani: Hilo siwezi kujua kwa sababu sijui umebadilisha toka muda gani. Pengine bado mabadiliko bado yapo kwenye process.
Tunapotaka kujenga hoja za kutaka mabadiliko ya kweli, basi tufanye utafiti ili hoja zetu ziwe facts.
NB: Mimi siyo chawa wa awamu ya 6 kwa sababu wananiumiza sana wanapotaka kuchukua ardhi yote ya vijiji katika zetu za Longido, Simanjiro, Monduli, Ngorongoro na maeneo ya Ruvu Maasai kuwa maeneo ya wahuni kuwindia wanyama wetu.
 
Hao usalama wa Taifa wao hawawezi kufanya hiyo kazi Hadi waagizwe tu? Au wao kazi Yao ni kuhakikisha ccm haitolewi madarasani?
 
Huu usenge wa kulaumu Rais kwenye kila KITU tumeshauchoka SASA tumechoka tumechoka tumechoka,
Na bado...mpaka mseme! Dadadeq!
Huyu tunae na tutamsema sana,

Raisi amekuwa mlenda kuliko mlenda wenyewe, watu wanapiga pesa kweupe yeye kimya. Hata kauli ya kukemea tu hakuna... halafu mjinga mmoja anasema amechoka.
 
Hata wakipewa ajira wataiba
Coz wanaoiba wapo ofisin

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wakati mwingine unakaa unajiuliza kama tuna haja ya kuwa na Usalama wa Taifa nchi hii endapo mambo yenyewe ndo kama haya!

TISS mko wapi?

Au kazi yenu kubwa ni kushughulikia wale wanaomkosoa Rais na serikali kwa uozo unaoendelea?
 
Nakata tamaa, hivi hawa CCM watatufikisha pahala kweli kama mambo yenyewe ndiyo haya ndugu zangu.
 
Na bado...mpaka mseme! Dadadeq!
Huyu tunae na tutamsema sana,

Raisi amekuwa mlenda kuliko mlenda wenyewe, watu wanapiga pesa kweupe yeye kimya. Hata kauli ya kukemea tu hakuna... halafu mjinga mmoja anasema amechoka.
MJINGA mmoja ni wewe plus Ukoo wako wote
 
Usalama wa Taifa ni pamoja na kupambana na hujuma dhidi ya nchi, kama hili aliloliibua Mh. Makonda.
Makonda Mungu wa Mbinguni akubariki sana kaka, you deserve more.
Paul Makonda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…