Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Itakuwa ni ahueni kwa wafanyabiashara kama hali imekuwa shwari kwa sasa.Kwa sasa tausi iko vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa ni ahueni kwa wafanyabiashara kama hali imekuwa shwari kwa sasa.Kwa sasa tausi iko vizuri
Ni kweli inarahisisha sana, niliutumia kuombea leseni ya biashara fulani, ndani ya siku mbili tu, nikalipia namba ya malipo, na ku-print leseni hapo hapo.Itakuwa ni ahueni kwa wafanyabiashara kama hali imekuwa shwari kwa sasa.
Kabla ya kufika utumishi, msimamizi wako na mkuu wako wa taasisi wanatakiwa nao wapitishe kwenye mfumoJibu ni hakuna,waliopata vibali vya uhamisho ni wale wa kabla ya mfumo,Kuna jamaa yng kapata,kiukweli utumishi ndio kikwazo kikubwa ktk masuala ya uhamisho
Kama unatoka mijini kwenda vijijini ndani huko hausumbui shida kama uko kijijini unataka kuhamia mjini au kwenye majijiHuo mfumo ni shida sanaaaa yaani 😢😢😢😢
Ni kweli Kabisa..!! JAMII FORUMS ADMIN TUNAOMBA MTUSAIDIE KWENYE MAMLAKA HUSIKA UTUMISH KUHUSU SUALA YA UHAMISHO NA MFUMO WA ESS KWAKUWA NI CHANGAMOTO.Kuhusu barua kutakiwa au la na mambo mengineyo hasa kuhusu takwimu za wangapi wamehama na kuhusu mda ambao uhamisho unatakiwa kuwa umetoka,tunaomba jf watusaidie kuwasiliana na utumishi ili mkanganyiko uishe
Kama unatoka mijini kwenda vijijini ndani huko hausumbui shida kama uko kijijini unataka kuhamia mjini au kwenye majiji
Toka ulipoanza huu mfumo tareh 1 sep 2023 mpaka leo maombi yametulia tuu Akuna hata kinachoendelea ni bora waruhusu barua kama zaman mpaka mfumo utakapotulia..!Kiukweli huu mfumo upo tu kama kizuizi Cha watumishi wasihame maana haiwezekani ukienda Kwa IT anakuambia nenda utumishi ukienda utumishi anakuambia Rudi idara Yako ukirudi idara Yako napo kiongozi mkubwa kabisa anakupa majibu rahisi sijapewa role hivo siwezi pitisha daaah unajiuliza role natoa Mimi au inakuwaje mbona mfumo unajieleza kabisa role wanapewa na IT ma Ded wote na Ma Deo Ina bidi TAMISEMI ishughulike nao kikamilifu vinginevo Kuna mianya ya rushwa Ina tengenezwa au vinginevyo warudishe mfumo wa zamani wa barua au watumishi waende moja Kwa moja TAMISEMI
Tatizo ni taasisi unayotoka hawataki uameKiukweli huu mfumo upo tu kama kizuizi Cha watumishi wasihame maana haiwezekani ukienda Kwa IT anakuambia nenda utumishi ukienda utumishi anakuambia Rudi idara Yako ukirudi idara Yako napo kiongozi mkubwa kabisa anakupa majibu rahisi sijapewa role hivo siwezi pitisha daaah unajiuliza role natoa Mimi au inakuwaje mbona mfumo unajieleza kabisa role wanapewa na IT ma Ded wote na Ma Deo Ina bidi TAMISEMI ishughulike nao kikamilifu vinginevo Kuna mianya ya rushwa Ina tengenezwa au vinginevyo warudishe mfumo wa zamani wa barua au watumishi waende moja Kwa moja TAMISEMI
😂😂😂hii tuwaachie wenyewe kwanza wapambane nayoo
Tatizo ni taasisi unayotoka hawataki uame
Kama hawayaoni fungua akaunti yako uwaonyeshe, na 'status' pia ipo inakuonyesha ipo kwa nani.Maombi et hawayaonii😁😁
Akili ya saivi ni kwenda moja Kwa moja TAMISEMI na kuripoti uozo wote nao wakiwa vichwa. Maji ni kuchukua mkopo mkubwa na kuacha kazi mke huku mume kule ndoa Zina vunjika kisa kazi familia zina gawanyika kisa kaziKama hawayaoni fungua akaunti yako uwaonyeshe, na 'status' pia ipo inakuonyesha ipo kwa nani.
Kwa ujumla binadamu ni wazuri kwa uso, ila kwa ndani ni wahuni tu.
Mm naongelea kwa wale ambao tayari status inasoma utumishi,kama mfumo unarahisisha kazi,kwanini ichukue miezi kibao kuandikia watu vibali? Make mfumo ulivyo,kama sehemu nafas ya kuhamia hakuna,mfumo unakataa na kama IPO unakubali,sasa inakuaje utumishi wanacheleweshea watu uhamisho? Imagine sababu ya uhamisho ni kuuguza mgonjwa, au ugonjwa,hii ni sababu kubwa,sasa inakuaje mpaka kibali kutoka inachukua hata miezi 8,si huyo mgonjwa atakufa,yaani kibali kinatoka na tayari mgonjwa ashafarikiKabla ya kufika utumishi, msimamizi wako na mkuu wako wa taasisi wanatakiwa nao wapitishe kwenye mfumo
Kwa mazingira hayo kutakuwa na uzembe wa kibinadamu tuMm naongelea kwa wale ambao tayari status inasoma utumishi,kama mfumo unarahisisha kazi,kwanini ichukue miezi kibao kuandikia watu vibali? Make mfumo ulivyo,kama sehemu nafas ya kuhamia hakuna,mfumo unakataa na kama IPO unakubali,sasa inakuaje utumishi wanacheleweshea watu uhamisho? Imagine sababu ya uhamisho ni kuuguza mgonjwa, au ugonjwa,hii ni sababu kubwa,sasa inakuaje mpaka kibali kutoka inachukua hata miezi 8,si huyo mgonjwa atakufa,yaani kibali kinatoka na tayari mgonjwa ashafariki
SubutuuuHabari,
Kuna yeyote aliefanikiwa kuhama kwa kutumia huu mfumo? Aje atupe ushuhuda kidogo. Huu mfumo bado ni changamoto.
Matatizo kwa kweli..!!! Au wanataka wafuatwe..!Mm naongelea kwa wale ambao tayari status inasoma utumishi,kama mfumo unarahisisha kazi,kwanini ichukue miezi kibao kuandikia watu vibali? Make mfumo ulivyo,kama sehemu nafas ya kuhamia hakuna,mfumo unakataa na kama IPO unakubali,sasa inakuaje utumishi wanacheleweshea watu uhamisho? Imagine sababu ya uhamisho ni kuuguza mgonjwa, au ugonjwa,hii ni sababu kubwa,sasa inakuaje mpaka kibali kutoka inachukua hata miezi 8,si huyo mgonjwa atakufa,yaani kibali kinatoka na tayari mgonjwa ashafariki
Unamuonesha!! Na yeye anasema sawa yapo kwangu naona lakin kwangu siyaon..!😁😁😳😳😳Kama hawayaoni fungua akaunti yako uwaonyeshe, na 'status' pia ipo inakuonyesha ipo kwa nani.
Kwa ujumla binadamu ni wazuri kwa uso, ila kwa ndani ni wahuni tu.