the guy here i am
Member
- Nov 11, 2018
- 80
- 31
Unaeweza kunielekeza jinsi ya kuomba transfer tafadhari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yan ukitaka kutuma maombi supervisor wakoo haonii ayo maombi yako? si nasikia kuna watu inabidi wa approveMaombi msimamiz hayaoni
Hivi niulize na uhamisho wa ndan ya mkoa unatumia huu mfumo wa ESS?Mimi nilifanya Transfer Vacancy Request kwenda taasisi nyingine wakaiReject, na wakatoa sababu ya kureject.
Sasa kila nikijaribu kuomba sehemu nyingine wananiandikia "YOU HAVE OTHER PENDING REQUEST" ambayo tayari walishaiReject.
Nashindwa kwenda mbele, nashindwa kurudi nyuma. Na option ya kuiDelete ile request iliyokataliwa hamna.
Msaada wanakwetu wenye kujua jinsi ya kichomoka hapo.
Humo ni kila kitu mkuu.Hivi niulize na uhamisho wa ndan ya mkoa unatumia huu mfumo wa ESS?
Sawa,nasikia hata upandishwaj wa vyeo wanatumia mfumoHumo ni kila kitu mkuu.
Mimi pia ilikuwa hivyo supervisor hakuwa anaona. Nikambeba tukaenda wote kwa it akawa haoni pia...nilienda zaidi ya siku mbili kushughulikia hilo bila kukata tamaa, mwisho IT alifanikiwa na kunifoward kwa ACCOUNTING OFFICER. Nilipomuuliza HR way fowrd alisema sitaona chochote hata ikifika tamisemi bado itasoma kwake(accounting officer) But haikuwa hivyo baada ya siku 3 hivi ilisoma kwa (RAS) Na baada ya siku kama 3 au 4 hivi ikasoma (APPROVAL SATUS: APPROVED )Maombi msimamiz hayaoni
Utasubiri sana,hawana mpango walaMimi pia ilikuwa hivyo supervisor hakuwa anaona. Nikambeba tukaenda wote kwa it akawa haoni pia...nilienda zaidi ya siku mbili kushughulikia hilo bila kukata tamaa, mwisho IT alifanikiwa na kunifoward kwa ACCOUNTING OFFICER. Nilipomuuliza HR way fowrd alisema sitaona chochote hata ikifika tamisemi bado itasoma kwake(accounting officer) But haikuwa hivyo baada ya siku 3 hivi ilisoma kwa (RAS) Na baada ya siku kama 3 au 4 hivi ikasoma (APPROVAL SATUS: APPROVED )
So nadhani pia Kuna ugen mkubwa kwenye hii mifumo kwa waendeshaji.
Sijahama bado sielewi pia baada ya hapo nini kinafuata.( haya yote nimeyashugulikia chini ya mwezi mmoja)
Check upande wa attachment unaweza kuta barua yako huko.Mimi pia ilikuwa hivyo supervisor hakuwa anaona. Nikambeba tukaenda wote kwa it akawa haoni pia...nilienda zaidi ya siku mbili kushughulikia hilo bila kukata tamaa, mwisho IT alifanikiwa na kunifoward kwa ACCOUNTING OFFICER. Nilipomuuliza HR way fowrd alisema sitaona chochote hata ikifika tamisemi bado itasoma kwake(accounting officer) But haikuwa hivyo baada ya siku 3 hivi ilisoma kwa (RAS) Na baada ya siku kama 3 au 4 hivi ikasoma (APPROVAL SATUS: APPROVED )
So nadhani pia Kuna ugen mkubwa kwenye hii mifumo kwa waendeshaji.
Sijahama bado sielewi pia baada ya hapo nini kinafuata.( haya yote nimeyashugulikia chini ya mwezi mmoja)