Kuna yeyote aliefanikiwa kuhama kwa Mfumo wa Uhamisho ESS?

Kuna yeyote aliefanikiwa kuhama kwa Mfumo wa Uhamisho ESS?

Mimi nilifanya Transfer Vacancy Request kwenda taasisi nyingine wakaiReject, na wakatoa sababu ya kureject.

Sasa kila nikijaribu kuomba sehemu nyingine wananiandikia "YOU HAVE OTHER PENDING REQUEST" ambayo tayari walishaiReject.

Nashindwa kwenda mbele, nashindwa kurudi nyuma. Na option ya kuiDelete ile request iliyokataliwa hamna.

Msaada wanakwetu wenye kujua jinsi ya kichomoka hapo.
Hivi niulize na uhamisho wa ndan ya mkoa unatumia huu mfumo wa ESS?
 
Maombi msimamiz hayaoni
Mimi pia ilikuwa hivyo supervisor hakuwa anaona. Nikambeba tukaenda wote kwa it akawa haoni pia...nilienda zaidi ya siku mbili kushughulikia hilo bila kukata tamaa, mwisho IT alifanikiwa na kunifoward kwa ACCOUNTING OFFICER. Nilipomuuliza HR way fowrd alisema sitaona chochote hata ikifika tamisemi bado itasoma kwake(accounting officer) But haikuwa hivyo baada ya siku 3 hivi ilisoma kwa (RAS) Na baada ya siku kama 3 au 4 hivi ikasoma (APPROVAL SATUS: APPROVED )
So nadhani pia Kuna ugen mkubwa kwenye hii mifumo kwa waendeshaji.
Sijahama bado sielewi pia baada ya hapo nini kinafuata.( haya yote nimeyashugulikia chini ya mwezi mmoja)
 
Mimi pia ilikuwa hivyo supervisor hakuwa anaona. Nikambeba tukaenda wote kwa it akawa haoni pia...nilienda zaidi ya siku mbili kushughulikia hilo bila kukata tamaa, mwisho IT alifanikiwa na kunifoward kwa ACCOUNTING OFFICER. Nilipomuuliza HR way fowrd alisema sitaona chochote hata ikifika tamisemi bado itasoma kwake(accounting officer) But haikuwa hivyo baada ya siku 3 hivi ilisoma kwa (RAS) Na baada ya siku kama 3 au 4 hivi ikasoma (APPROVAL SATUS: APPROVED )
So nadhani pia Kuna ugen mkubwa kwenye hii mifumo kwa waendeshaji.
Sijahama bado sielewi pia baada ya hapo nini kinafuata.( haya yote nimeyashugulikia chini ya mwezi mmoja)
Utasubiri sana,hawana mpango wala
 
Mimi pia ilikuwa hivyo supervisor hakuwa anaona. Nikambeba tukaenda wote kwa it akawa haoni pia...nilienda zaidi ya siku mbili kushughulikia hilo bila kukata tamaa, mwisho IT alifanikiwa na kunifoward kwa ACCOUNTING OFFICER. Nilipomuuliza HR way fowrd alisema sitaona chochote hata ikifika tamisemi bado itasoma kwake(accounting officer) But haikuwa hivyo baada ya siku 3 hivi ilisoma kwa (RAS) Na baada ya siku kama 3 au 4 hivi ikasoma (APPROVAL SATUS: APPROVED )
So nadhani pia Kuna ugen mkubwa kwenye hii mifumo kwa waendeshaji.
Sijahama bado sielewi pia baada ya hapo nini kinafuata.( haya yote nimeyashugulikia chini ya mwezi mmoja)
Check upande wa attachment unaweza kuta barua yako huko.
 
Back
Top Bottom