Kuna yeyote aliyeona mabadiliko yoyote katika uwanja wa Mkapa?

Kuna yeyote aliyeona mabadiliko yoyote katika uwanja wa Mkapa?

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Baada ya kutazama mchezo wa Azam hapo jana, Binafsi sijaona mabadiliko ya maana katika uwanja wa Mkapa licha ya mabilioni yaliyomwagwa, kufungiwa kutumika mara kwa mara na muda mrefu kupita tangu ukarabati huo uanze.

Pitch bado haina mvuto kama ilivyo kwa viwanja vingine vikubwa, LED Display za matangazo hazifanyi kazi wala sijaona kama zimeboreshwa, angalau zingefungwa double juu na chini kama uwanja wa Amahoro hapo Rwanda, Hakuna TV kubwa uwanjani. Sasa kipi kimefanyika hapo?? Hata hiyo tarehe 8 siku ya derby ninaona bado uwanja hautakuwa na maendeleo yoyote, pitch LED Display haziwashwi wameweka mabango tu kama viwanja vya mikoani. INAKERA SANA!
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
 
1000004609.jpg

Jamaa wewe una ajenda binafsi na huu uwanja,hizi zote ni nyuzi zako na zote.umerudia rudia content na kuitaja Amahoro stadium kama mfano katika kila uzi.Kwa taarifa yako uwanja bado upo kwenye marekebisho mpaka so tulia kijana
 
View attachment 3249165
Jamaa wewe una ajenda binafsi na huu uwanja,hizi zote ni nyuzi zako na zote.umerudia rudia content na kuitaja Amahoro stadium kama mfano katika kila uzi.Kwa taarifa yako uwanja bado upo kwenye marekebisho mpaka so tulia kijana

Acha Kumjibu mtu Binafsi
Jibu kilicho letwa Hapa
Tokea Hiyo 2023 mpaka sasa miaka 2
Nini kilicho Fanyika!?
Uwanja Umebireshwa Kipi
Hizo 30Bl zimetumika Kwenye Nini!!
Liuwanja lipo lipo
 
View attachment 3249165
Jamaa wewe una ajenda binafsi na huu uwanja,hizi zote ni nyuzi zako na zote.umerudia rudia content na kuitaja Amahoro stadium kama mfano katika kila uzi.Kwa taarifa yako uwanja bado upo kwenye marekebisho mpaka so tulia kijana
Mpaka nahoji hivyo mkuu binafsi roho inaniuma sana, Natamani kutazama mpira wenye ladha kama kwenye Ligi za mbele, Pitch safi, uwanja wa kisasa, TV, LED Display zinavutia nk. Siku nilipotazama mchezo wa Azam na APR pale Amahoro nilivuyiwa sana na ule uwanja, Niliposikia Uwanja wa Mkapa unafanyiwa maboresho tena kwa zaidi ya B31 nilifurahi nikajua kwa pesa hiyo. Uwanja wa Mkapa unaenda kuwa Old Trafford ya Tanzania. Mbaya zaidi baadhi ya michezo ya muhimu ya CAFCL 2023 ilihamishiwa viwanja vingine, Hiyo iliniuma ila nikajua soon mambo yatakuwa mazuri sana. Huenda niliweka matarajio makubwa kuliko uhalisia 😀 hicho ndicho kinanitafuta, Anyways labda napaswa kupunguza Expectations na kukubaliana na uhalisia!
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
Sawa Mwamposa
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
MWIJAKU NA BABA LEVO.
 
Mechi ya YANGA na TP MAZEMBE nilikuwa uwanjani sijaona la maana mule.
labda zile rangi za kijani na nyekundu.
nilizunguka uwanja mzima baada ya mechi kuishi viti vibovu na mabomba yanayoshika viti wana kutu

sasa sijui walikarabati wapi kwa zile bilions of TSH?
 
Uwajibikaji 0, na ni juzi tu mama alikua hapo sijui aliona usemalo
 
Lakini jana mwonekano wa uwanja ulikuwa tofauti ni mzuri siyo kama awali,hapo kwenye mapungufu na hela zilizotumika wataalam mna haki ya kuhoji.
 
View attachment 3249165
Jamaa wewe una ajenda binafsi na huu uwanja,hizi zote ni nyuzi zako na zote.umerudia rudia content na kuitaja Amahoro stadium kama mfano katika kila uzi.Kwa taarifa yako uwanja bado upo kwenye marekebisho mpaka so tulia kijana
amahoro stadium umekarabatiwa kwa muda mfupi sana kushinda uchafu wetu wa benjamin mkapa stadium. Lakini benjamin mkapa tangu 2023 mpaka kesho hatuoni utofauti zaidi ya uwanja kuendelea kuwa mbaya
 
Taa naona wameboresha hatuoni vivuli vya wachezaji nadhani wameweka taa za blioni 5 kwa hiyo zimebaki blioni 25 ambapo blioni 2 ni running trucks
Viti ndio wameanza kung'oa
Taa za bilioni 5 zinamulika mbinguni mkuu? 😀
 
Mechi ya YANGA na TP MAZEMBE nilikuwa uwanjani sijaona la maana mule.
labda zile rangi za kijani na nyekundu.
nilizunguka uwanja mzima baada ya mechi kuishi viti vibovu na mabomba yanayoshika viti wana kutu

sasa sijui walikarabati wapi kwa zile bilions of TSH?
Hata pitch haina quality
 
Lakini jana mwonekano wa uwanja ulikuwa tofauti ni mzuri siyo kama awali,hapo kwenye mapungufu na hela zilizotumika wataalam mna haki ya kuhoji.
Mkuu kweli na yale mabango ya bati kuzunguka uwanja na pitch ile unakubali kwamba ukarabati umefika 80%?
 
amahoro stadium umekarabatiwa kwa muda mfupi sana kushinda uchafu wetu wa benjamin mkapa stadium. Lakini benjamin mkapa tangu 2023 mpaka kesho hatuoni utofauti zaidi ya uwanja kuendelea kuwa mbaya
Na utashangaa umetumoa gharama ndogo zaidi
 
View attachment 3249165
Jamaa wewe una ajenda binafsi na huu uwanja,hizi zote ni nyuzi zako na zote.umerudia rudia content na kuitaja Amahoro stadium kama mfano katika kila uzi.Kwa taarifa yako uwanja bado upo kwenye marekebisho mpaka so tulia kijana
Watutsi wamejazana humu,wanainjoi uhuru ambao kwao haupo
 
Back
Top Bottom