MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Baada ya kutazama mchezo wa Azam hapo jana, Binafsi sijaona mabadiliko ya maana katika uwanja wa Mkapa licha ya mabilioni yaliyomwagwa, kufungiwa kutumika mara kwa mara na muda mrefu kupita tangu ukarabati huo uanze.
Pitch bado haina mvuto kama ilivyo kwa viwanja vingine vikubwa, LED Display za matangazo hazifanyi kazi wala sijaona kama zimeboreshwa, angalau zingefungwa double juu na chini kama uwanja wa Amahoro hapo Rwanda, Hakuna TV kubwa uwanjani. Sasa kipi kimefanyika hapo?? Hata hiyo tarehe 8 siku ya derby ninaona bado uwanja hautakuwa na maendeleo yoyote, pitch LED Display haziwashwi wameweka mabango tu kama viwanja vya mikoani. INAKERA SANA!
Pitch bado haina mvuto kama ilivyo kwa viwanja vingine vikubwa, LED Display za matangazo hazifanyi kazi wala sijaona kama zimeboreshwa, angalau zingefungwa double juu na chini kama uwanja wa Amahoro hapo Rwanda, Hakuna TV kubwa uwanjani. Sasa kipi kimefanyika hapo?? Hata hiyo tarehe 8 siku ya derby ninaona bado uwanja hautakuwa na maendeleo yoyote, pitch LED Display haziwashwi wameweka mabango tu kama viwanja vya mikoani. INAKERA SANA!