Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,955
- 4,656
Habari!
Naomba kama kuna yeyote humu jamvini atoe ushuhuda kama alishawahi kuitwa katika usaili au kupata ajira kwa kupitia everythingDAR.
Hawa jamaa wanatangaza posts nyingi hivyo ningependa kujua kama kasi ya kutangaza nafasi hizo pia inaendana na kuajiri.
Aksante.
Naomba kama kuna yeyote humu jamvini atoe ushuhuda kama alishawahi kuitwa katika usaili au kupata ajira kwa kupitia everythingDAR.
Hawa jamaa wanatangaza posts nyingi hivyo ningependa kujua kama kasi ya kutangaza nafasi hizo pia inaendana na kuajiri.
Aksante.