Kunani Kagera? Kuna mvutano kati ya Mkuu wa Mkoa Chalamila na wanasiasa wa Kagera? Msikilize Mwijage!

Kunani Kagera? Kuna mvutano kati ya Mkuu wa Mkoa Chalamila na wanasiasa wa Kagera? Msikilize Mwijage!

Huyu mwanaCCM kapigwa risasi na nani? Hizi habari zinafichwafichwa au kuna nini?
Yupo mtu mwingine yule Mbarikiwa🙁 yule anayesema mtoto kauawa na Diwani Othman,wake pia wanagombana na Nape,nadhani ndio maana hatuwaoni kwenye gazeti) namuona katika internet lakini simuoni katika gazeti. What's happening.?
Maneno makali hapa yamesemwa kuhusu Masauni,kwamba asithubutu kwenda Kagera or something.
Sasa,mambo yawekwe public yajadiliwe.
 
Mkuu, una taarifa mzigo umetoka? Ishu ni mgao Sasa, hatuwapendi COVID 19 lakini matunda yao matamu, mpaka mawakili wamekosa maswali, soon unatangazwa msamaha
Matunda ya COVID 19 ni yapi kwa uelewa wako?.
 
Back
Top Bottom